Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
DELETE MESSAGES,ITS FULL,i wonder who fills that inbox........
Bwana Mungu akikuadhibu ni kwasababu ya kosa lako hili katika post hii.
as i was window shopping....
i came across this one......
![]()
love it?
Haya anza kunigombania mimi kama exesaizi!!!
as i was window shopping....
i came across this one......
![]()
love it?
si umevaa maskin tight au ? namalizana na michelle halaf ntakwambia uinuke. ulinkera sana ujue yaani afazali naanza kupungua mihasiraSasa msamaha ndo umeukataa ama???Mwenzio magoti yameanza kuchubuka!!!!:sad:
Michelle ukija mtaaani will you pleeeeeeeeeeeeeez let me try it on???:twitch:
si umevaa maskin tight au ? namalizana na michelle halaf ntakwambia uinuke. ulinkera sana ujue yaani afazali naanza kupungua mihasira
![]()
damn i love this ending.....
Michelle ukija mtaaani will you pleeeeeeeeeeeeeez let me try it on???:twitch:
Ndio dearest.....at least nyota yako isafishike nawe upate wa kukuvesha ka hiyo......l.o.l
klorokwini is loging out please leave the message after the tone.............twiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Mi nakugombania kiroho.....coz ww sio wa morogoro.
Mi nakupenda shingo yangu....wewe unaweza kubeba na kugeuza unavyotaka kichwa.
Sasa usitumie utii wangu kuninyanyasa jamani!!!!!:twitch::twitch:si umevaa maskin tight au ? namalizana na michelle halaf ntakwambia uinuke. ulinkera sana ujue yaani afazali naanza kupungua mihasira
Hivi rings zina size? Mi nitumie size....hizi size 36 C ipo? Hizi size za pete bana....very complicated....zinz number na herufi kwa wakati mmoja!
Asante sana dearest!!!Yani kuwepo hapa tu naona ishaanza kung'aa!!Bigie anataka kunigombania!!!!:roll:
Size 36 C zimeisha labda kwa special order ndo zinatoka......jibebe.....