Serious..serious..!natafuta mke mtarajiwa!

Serious..serious..!natafuta mke mtarajiwa!

DELETE MESSAGES,ITS FULL,i wonder who fills that inbox........

as i was window shopping....
i came across this one......
images


love it?
 
Haya anza kunigombania mimi kama exesaizi!!!

Mi nakugombania kiroho.....coz ww sio wa morogoro.
Mi nakupenda shingo yangu....wewe unaweza kubeba na kugeuza unavyotaka kichwa.
 
as i was window shopping....
i came across this one......
images


love it?

OMG!......can that be mine??? FROM YOU,mmmhhh where did the money come from???will you give me security when wearing it!!!!

OMG! am Excited......OMG! OMG! OMG!......can't belive this is actually happening.....wow......i love it.....

 
Sasa msamaha ndo umeukataa ama???Mwenzio magoti yameanza kuchubuka!!!!:sad:
si umevaa maskin tight au ? namalizana na michelle halaf ntakwambia uinuke. ulinkera sana ujue yaani afazali naanza kupungua mihasira
 
Michelle ukija mtaaani will you pleeeeeeeeeeeeeez let me try it on???:twitch:

Ndio dearest.....at least nyota yako isafishike nawe upate wa kukuvesha ka hiyo......l.o.l
 
si umevaa maskin tight au ? namalizana na michelle halaf ntakwambia uinuke. ulinkera sana ujue yaani afazali naanza kupungua mihasira

mmmhhhh roho nzuri hiyo ya mwanaume mwaminifu......:laugh::laugh:
 
klorokwini is loging out please leave the message after the tone.............twiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
 
Michelle ukija mtaaani will you pleeeeeeeeeeeeeez let me try it on???:twitch:

Hivi rings zina size? Mi nitumie size....hizi size 36 C ipo? Hizi size za pete bana....very complicated....zinz number na herufi kwa wakati mmoja!
 
Ndio dearest.....at least nyota yako isafishike nawe upate wa kukuvesha ka hiyo......l.o.l

Asante sana dearest!!!Yani kuwepo hapa tu naona ishaanza kung'aa!!Bigie anataka kunigombania!!!!:roll:
 
Mi nakugombania kiroho.....coz ww sio wa morogoro.
Mi nakupenda shingo yangu....wewe unaweza kubeba na kugeuza unavyotaka kichwa.

Bigie utafanya kweli kama Hashy au utanisanii kama Kloro????
 
si umevaa maskin tight au ? namalizana na michelle halaf ntakwambia uinuke. ulinkera sana ujue yaani afazali naanza kupungua mihasira
Sasa usitumie utii wangu kuninyanyasa jamani!!!!!:twitch::twitch:
 
Hivi rings zina size? Mi nitumie size....hizi size 36 C ipo? Hizi size za pete bana....very complicated....zinz number na herufi kwa wakati mmoja!

Size 36 C zimeisha labda kwa special order ndo zinatoka......jibebe.....
 
Asante sana dearest!!!Yani kuwepo hapa tu naona ishaanza kung'aa!!Bigie anataka kunigombania!!!!:roll:

Mpotezee baki kwa yule tulioongea....Biggie kaoa.....:laugh::laugh:
 
Back
Top Bottom