Serious..serious..!natafuta mke mtarajiwa!

Serious..serious..!natafuta mke mtarajiwa!

heee nimesahau ngoja niirudie kuisoma hii thread hivi wajua kama mpaka wakati huu tread mi bado sijaisoma??? maana nilivyoona mchangiaji wa mwisho alikuwa ni hashycool ndio nikaona hebu niifungue hii thread ndio nikakutana na mengine sasa ya kuisoma thread yakawa yamekaa pembeni lakini sasa ngoja nisome nitoe ushauri na mie...lol...
Si huyu aliyeanzisha hii thread
 
heee nimesahau ngoja niirudie kuisoma hii thread hivi wajua kama mpaka wakati huu tread mi bado sijaisoma??? maana nilivyoona mchangiaji wa mwisho alikuwa ni hashycool ndio nikaona hebu niifungue hii thread ndio nikakutana na mengine sasa ya kuisoma thread yakawa yamekaa pembeni lakini sasa ngoja nisome nitoe ushauri na mie...lol...
:laugh::laugh::laugh::laugh::laugh::laugh:
 
There is a say that "there is so many women but few wives"SO i need one from these few jamani!
My introduction-Naitwa john miaka 25,nipo mwaka wa tatu chuo cha mlimani UDSM,kabila langu ni mhee a.k.a kitukuu cha Mkwawa,urefu wangu ni 5.8",si mweupe,si mweusi sitajiri si masikini,
sifa za yule nimtakae-Awe tayari kujuana kitabia kabla ya kuingia kwenye rasmi kwenye mapenzi,awe mvumilivu,mwenye akili ya kujitegemea,awe na mtizamo wa mbele,asiwe wa kutoka kaskazini(samahani)!awe na umri kati ya miaka 20-23,awe natura,Elimu kuanzia kidato cha nne na kuendelea,awe mkarimu,sura sio ishu,nikimpata aliyekwisha wahi kuumizwa moyo ana nafasi kubwa sana maana nahisi atatulia.
Mawasiliano:Ningependa anitumie email kwanza ndipo nitamtumia namba ya simu kwani siwezi kuidisplay hapa.E-mail yangu ni feyz18@yahoo.com
NOT JOKE......PLIZ BE SERIOUS

Mm nitakupa dada angu nihakikishie kwanza kama hutamlisha mmbwa
 
Ana bahati imeanza kuchakachuliwa page ya 7

You know bro...this young boy XOXOQY yupo serious anatafuta jiko, but wadau baadala ya kumpigia cross, wamegeuza hii ni venue ya either kujipigia mapande au kupalilia relationships zao.....not good!

Get back to the topic: XOXOQY ANATAFUTA MKE WA KUMWOA.......!
 
You know bro...this young boy XOXOQY yupo serious anatafuta jiko, but wadau baadala ya kumpigia cross, wamegeuza hii ni venue ya either kujipigia mapande au kupalilia relationships zao.....not good!

Get back to the topic: XOXOQY ANATAFUTA MKE WA KUMWOA.......!

Unaotuona hatukwalifai!Kama wapo watamuibukia PM!
 
There is a say that "there is so many women but few wives"SO i need one from these few jamani!
My introduction-Naitwa john miaka 25,nipo mwaka wa tatu chuo cha mlimani UDSM,kabila langu ni mhee a.k.a kitukuu cha Mkwawa,urefu wangu ni 5.8",si mweupe,si mweusi sitajiri si masikini,
sifa za yule nimtakae-Awe tayari kujuana kitabia kabla ya kuingia kwenye rasmi kwenye mapenzi,awe mvumilivu,mwenye akili ya kujitegemea,awe na mtizamo wa mbele,asiwe wa kutoka kaskazini(samahani)!awe na umri kati ya miaka 20-23,awe natura,Elimu kuanzia kidato cha nne na kuendelea,awe mkarimu,sura sio ishu,nikimpata aliyekwisha wahi kuumizwa moyo ana nafasi kubwa sana maana nahisi atatulia.
Mawasiliano:Ningependa anitumie email kwanza ndipo nitamtumia namba ya simu kwani siwezi kuidisplay hapa.E-mail yangu ni feyz18@yahoo.com
NOT JOKE......PLIZ BE SERIOUS

Aisee!

Kaskazini ya: Iringa, UDSM, Dar, Kinondoni au Mwnanyamala Hospitali.

Huku kaskazini mwa Dar yaani Bunju B kuna wanyalu kibao wana sifa ulizozitaja....tatizo wako kaskazini!

Kama bado mnatafuta wake kwa vigezo vya Jiografia, mmepitwa na wakati kweeeeeli kweli!

Kila la kheri thou:A S thumbs_down::A S thumbs_down:
 
You know bro...this young boy XOXOQY yupo serious anatafuta jiko, but wadau baadala ya kumpigia cross, wamegeuza hii ni venue ya either kujipigia mapande au kupalilia relationships zao.....not good!

Get back to the topic: XOXOQY ANATAFUTA MKE WA KUMWOA.......!

Sawa Taluma,vipi wewe ulifanikiwa?uliona ile thread ya kuwepo dating site?? mtu mwenye nia na XOXOQY atam-PM....hatuwezi acha thread iishie message 10.....na kama unavyoona hapa,tumempa mtiririko wa maisha ya mahusiano hadi ndoa.....yeye ajifunze toka kwetu....tunajua tunalofanya...ingekuwa tunapiga siasa ungesema but unaona hapa ni mahusiano.....ila tumekusikia.....tunaondoka zetu.....:laugh::laugh:
 
Back
Top Bottom