Serious talk: Je, kubeti kunaweza kuendesha maisha walau kwa vijana hata wawili kati ya kumi wanaobeti?

Serious talk: Je, kubeti kunaweza kuendesha maisha walau kwa vijana hata wawili kati ya kumi wanaobeti?

NetMaster

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2022
Posts
1,454
Reaction score
4,925
Yes nimeahi sikia kwamba kuna watu wamepiga mshindo kwenye betting lakini hao watu ni nadra sana wanaweza kuwa katika kipimo cha mtu 1 kati 100 ya wale wanaobeti.

Ili kitu kiwe na uhakika wa kitu flani kuweza kuendesha maisha ya mtu kiuchumi basi walau huwa kuna kipimo angalau hata watu wawili kati ya 10 ya watu wanakifanya wanaendesha maisha yao kwa kukitegemea

Je katika makundi ya kila vijana 10 wanaobeti kunaweza kuwa na vijana hata wawili wanaoweza kuendesha maisha kwa betting
 
Kwa jinsi wengi wanavyostake, Tsh.500 hadi 1000 kwa odds 20 hadi 5000 ni ngumu sana betting kumpa mtu maisha ya kila siku.

Wale wanaoweka 2odds hadi 5odds kwa Tsh.100,000 au zaidi ni rahisi sana kuona wanachokifanya.
Umemaliza kila kitu, kwahiyo wanaweza.
 
Very few people are born lucky kuwa na wastani mkubwa wa kupata faida kuliko hasara na wengi wao wapo kundi la wapiga debe na wachache wenye biashara na wanapata pesa za kubet daily, majority wanaishia stress na kupotea kabisa betting kama uvutaji wa heroin addict
 
945ba872-78d1-4ca5-8632-216c47ca548e.jpg
 
Hv mshawahi ona mtu ameweza au anaendesha .maisha yake kwa kubeti tu binafsi ningekua nategemea betting ndio nipate hela ya kula Basi ningekua nishakufa na njaa zamani tu hii mishe n noma adi odds 1.03 ya goal au option yoyote inachana Tena vizuri tu kwa upande wenu vp ushawahi ona mtu anatusua kwa kubet
 
Hv mshawahi ona mtu ameweza au anaendesha .maisha yake kwa kubeti tu binafsi ningekua nategemea betting ndio nipate hela ya kula Basi ningekua nishakufa na njaa zamani tu hii mishe n noma adi odds 1.03 ya goal au option yoyote inachana Tena vizuri tu kwa upande wenu vp ushawahi ona mtu anatusua kwa kubet
Mm hap.[emoji41]
 
Kuna Mwamba anaendesha familia kwa ajili ya betting ukitaka nikuambie nifuate PM ili nikuelekeze sehemu anayobetia ni Throne bet hapa Dar 😂😂😂😂
 
Nina jamaa yangu kazi zetu kuna muda zinakua hamna kazi hata miezi 6 sasa yeye hataki kufanya kitu kingine pemben na issue zetu!! Basi yeye ni kubet tu na anaishi na mke na mtoto.
 
Back
Top Bottom