Vipi baada ya kuiivisha uliila na chips au ndizi choma mkuu?Mafundi Watakapo kuwa wanafanya services akikisha umesimamia. Mi mwaka jana nilikuwa nasafiri naenda Mbeya nilipeleka gari services. Kumbe fundi ni muhuni akuweka Gear box oil ya kutosha na Mimi ata sikuangalia kujiridhisha nikaanza safari tu. Nilikaanga gear box maeneo ya Igurusi
Alafu kitu cha manual transmissionImagine Landcruiser LX 76 series ilio na mguu wa BF Goodrich safi kabisa huku ikiwa na Diesel full tank litre 180 mtungini.
Ile ni kuwasha na kutembea tu na ukalii!
Hahahaha weweeeeee jamaaaCheck tyres.kama Hicho ulichoita Ki Ist ckako kilikuja na tyre badilisha hizo.hazitafika hata makambako.
uwe unajua angalau kubadilisha tyre.
beba coolant,break fuel na hydraulic kwa ajili ya emergence
Angalia betri kama ni nzima(hasa hiz dry cell)
kagua break pads,kagua gearbox oil(kama vipi badilisha).engine oil pia badilisha
Mwisho endesha kwa ustaarabu ustake kushindana shindana barabarani.
Halafu mwisho.epuka kuaga aga kwa kila mtu .wengine wanaroho mbaya sana.yaani acha zile sifa za wanyakyusa wa kyela.
over!
Ubarikiwe sana boss
Kwenye matairi kuna suala zima kubalance upepo
Wengine wananiambia upepo wa tairi za mbele uwe mdogo kuliko upepo wa tairi za nyuma ,je kuna ukweli hapa?
Na ni upepo kiasi gani unaotakiwa kwa tairi za mbele na tair za nyuma ni upepo kiasi gani?
Zile mashine 90% ni Manual shifters.Alafu kitu cha manual transmission
Chief hiyo safari nilishtukizwa na braza akataka kunipa uzoefu. Balaa lililotukuta ndiyo la kukwama Iyovi zaidi ya saa nne.Kwanini ulisafiri bila jeki? Kuna gari za kisasa huwa haziji na spare tyres wala jack zina tyre repair kit. Mfano VW, BMW na Toyota Vanguard. Lakini kibongobongo fanya juu chini upate spare tyre na jeki mazingira yetu hayasupport hayo mambo ya kutembea bila jack wala spare tyre
Hapo inabidi wahuni wakachomoe kwingine wakuletee. Naweza kukuuzia yangu sina kazi nayoMkuu wapi naeza pata tyre repair kit. Maana wahuni walichomoa
Kama yapi?Ila kuna migari safari ikifika unaliamsha tu,yaani limekaa kusafirisafiri tu.
Hivi Lx zina auto zake?nilizokutana nazo mimi hapa town so far zote ni Manual trans..Zile mashine 90% ni Manual shifters.
Hivi Lx zina auto zake?nilizokutana nazo mimi hapa town so far zote ni Manual trans..
Kununua Lx auto(kama zipo lkn) hio ni matumizi mabaya ya pesa, ni kama vile kuamua kununua gari za mambio kama Subaru impreza/forester STI auto au Golf Gti auto hapo ni kuchezea pesa kiaina.
Ni mtizamo wangu tu mazee.
Kweli aisee na sijawahi kukutana nazo.Ukiona LX automatic ujue labda ilikuwa special edition.