Mkata-tamaa
Senior Member
- Nov 21, 2018
- 180
- 312
Wakuu poleni na pilika za kutafuta tonge la kila siku
Wiki mbili zijazo natarajia kusafiri mimi na familia yangu kwa kutumia usafiri binafsi
safari ni kutoka mbeya kuja Dar
Lengo la kufungua uzi huu ni kuomba ushauri kwenu,ni servise gani hasa natakiwa kufanya ili niweze kusafiri salama na ki ISt changu?
Maana binafsi servise nilizozoea ni zile za kumwaga oil tu na kubadili filter.
Nini nikifanye hasa kwenye gari langu ili kuliweka katika hali salama ya kusafiri nalo?
Natanguliza shukrani zangu kwenu.
Wiki mbili zijazo natarajia kusafiri mimi na familia yangu kwa kutumia usafiri binafsi
safari ni kutoka mbeya kuja Dar
Lengo la kufungua uzi huu ni kuomba ushauri kwenu,ni servise gani hasa natakiwa kufanya ili niweze kusafiri salama na ki ISt changu?
Maana binafsi servise nilizozoea ni zile za kumwaga oil tu na kubadili filter.
Nini nikifanye hasa kwenye gari langu ili kuliweka katika hali salama ya kusafiri nalo?
Natanguliza shukrani zangu kwenu.