General Nguli
JF-Expert Member
- Apr 22, 2022
- 1,190
- 2,508
Ukiwa Wakili wa Serikali na enyewe Mzigoo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu bwana kwa hiyo hii nchi Kila tajiri na mbaya ni wa jk tu hebu acheni kutenda dhambiSeth na Rugemalila ni watu wa JK
Seth, aliyekuwa mmliki wa kampuni ya kufua umeme kwa jenereta almaarufu IPTL anatarajia kuishitaki Serikali ya Tanzania ili imrejeshee u miliki wa mitambo ile.
Pia, imlipe fidia ya hasara aliyoipata kwa kipindi chote ambacho mitambo yake ilizimwa na kutaifishwa.
Jiwe alikurupuka SanaSeth, aliyekuwa mmliki wa kampuni ya kufua umeme kwa jenereta almaarufu IPTL anatarajia kuishitaki Serikali ya Tanzania ili imrejeshee u miliki wa mitambo ile.
Pia, imlipe fidia ya hasara aliyoipata kwa kipindi chote ambacho mitambo yake ilizimwa na kutaifishwa.
Jiwe alikurupuka kuwashtaki haoNa atashinda kesi na kulipwa niko palee tuna so many boguses humu kwenye mamlaka
Mama ndio alitaifisha hiyo mitambo??jiwe ndio alikurupuka na sifa zake, ilitakiwa watumie sheria sio mabavuHii nchi bado haijafikia umri wa kuongozwa na Mama
Matahira ya jiwe yanamlaumu mama,wakati jiwe ndio chanzo Cha yote na kukurupuka kwake bila kutumia akili na sheria, Kuna wengi wataifungulia serikali kesi ambao walizurumiwa na jiwe na kupewa kesi,Jiwe ametuletea hasara sana!
Unamtoa ccm kisha unamuweka nani?Kama mlivyokuwa mnaua wengine kipindi cha dhalimu? Hawa wote ni matokeo ya wizi wa CCM, kwanini tusiotoe CCM madarakani?
Jiwe ndio alitaka kukutoa kwenye hasara ila nyie wapumbavu mkagoma kutoka hukoJiwe ametuletea hasara sana!
Mataahira ya mama ndio yanaona jiwe alileta hasara!Matahira ya jiwe yanamlaumu mama,wakati jiwe ndio chanzo Cha yote na kukurupuka kwake bila kutumia akili na sheria, Kuna wengi wataifungulia serikali kesi ambao walizurumiwa na jiwe na kupewa kesi,
Wengi Sana,ni suala la muda tu
Watanzania wenye akili zetu.Unamtoa ccm kisha unamuweka nani?
From which source of information is this rubbish comin from!Seth, aliyekuwa mmliki wa kampuni ya kufua umeme kwa jenereta almaarufu IPTL anatarajia kuishitaki Serikali ya Tanzania ili imrejeshee u miliki wa mitambo ile.
Pia, imlipe fidia ya hasara aliyoipata kwa kipindi chote ambacho mitambo yake ilizimwa na kutaifishwa.