Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 25,874
- 36,030
Kama nani?Watanzania wenye akili zetu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama nani?Watanzania wenye akili zetu.
Dawa ya watu kama hawa ni risasi tu, maana wana vimisukule vyao vipo nyuma yao siku zote na moja wapo wa kimsukule ni weweMataqo yako, jiwe ameharibu mentality zenu, kwahiyo kuwapiga risasi ndio sheria inataka hivyo, jiwe ameitia nchi hasara
Kama nani?
Kama Seth kazulumiwa na KANYABOYA kwanini asilpwe?Kwanini Bi KIZIMKAZI akuachia mahakama ifanye kazi yake?
Under duress.Huyu si ali plead guilty?
Kuna watu hawajisikii raha bila kufungwa jela , kazoea jela Sasa subiri na Punjab zakoSeth, aliyekuwa mmliki wa kampuni ya kufua umeme kwa jenereta almaarufu IPTL anatarajia kuishitaki Serikali ya Tanzania ili imrejeshee u miliki wa mitambo ile.
Pia, imlipe fidia ya hasara aliyoipata kwa kipindi chote ambacho mitambo yake ilizimwa na kutaifishwa.
Mipum.bavu kama wewe ndo inafanya yote hayo yatokee.Jiwe alikurupuka Sana
Utajifungua lini mimba ya Lisu?Hapa sasa Lisu anakenua meno yote kwa furaha
Watu kama wewe ndo wanasababisha waafrika tuitwe shit h...lJiwe alikurupuka Sana
Mama yk ndio mpu.mbavu kuzaa crazy km weweMipum.bavu kama wewe ndo inafanya yote hayo yatokee.
Kkenge wwDawa ya watu kama hawa ni risasi tu, maana wana vimisukule vyao vipo nyuma yao siku zote na moja wapo wa kimsukule ni wewe
Ngoja akusikie kama hajasema we uliwaona waliompiga risasi risasi 32 sijui 16Hapa sasa Lisu anakenua meno yote kwa furaha
Alikurupuka sana kufa na kutuachia hii mijambazi ya taifahuku nyuma angeenda nayo tu wakamalizane huko mbere kwa mbereJiwe alikurupuka Sana
Hata ukitumia sheria Kuna kukata rufaa ujueMatahira ya jiwe yanamlaumu mama,wakati jiwe ndio chanzo Cha yote na kukurupuka kwake bila kutumia akili na sheria, Kuna wengi wataifungulia serikali kesi ambao walizurumiwa na jiwe na kupewa kesi,
Wengi Sana,ni suala la muda tu
Kama kaonewa na kadhulumiwa HAKI zake adai fidia.Tumekwisha..Bado manji..nae aje kudai fidiaView attachment 2379301
Hali ikizidi kuwa mbaya kama tunavyosikia tutamwambia Muumbaji amtwae huyu mzee. Imeandikwa imempasa mmoja afe kwa ajili ya wengiKwamba Mzee yupo nyuma ya hili
Yaleyale ya mkulima wa SA yatajirudia kukamata ndege zetu kila uchwao ninapokwenda nje ya nchi🤔Huyu inabidi apigwe marufuku kukanyaga Tanzania