Tetesi: Seth wa IPTL kuishtaki Serikali ya Tanzania akitaka arejeshewe umiliki wa IPTL

Hii kitaalamu tunasema,"Back to square one under Ntu Kati"
Akicheka Nchale, Ukinyamaza Nchale, Ukilia Nchale,Ukinuna Nchale na Ukikimbia Nchale!
Wadanganyika Twafwaaa!
 
 

Attachments

  • 50234306-5F8A-49DE-870E-464004CDF07B.jpeg
    32.5 KB · Views: 3
Jiwe alikurupuka Sana
 
Jiwe ametuletea hasara sana!
Matahira ya jiwe yanamlaumu mama,wakati jiwe ndio chanzo Cha yote na kukurupuka kwake bila kutumia akili na sheria, Kuna wengi wataifungulia serikali kesi ambao walizurumiwa na jiwe na kupewa kesi,

Wengi Sana,ni suala la muda tu
 
Kama mlivyokuwa mnaua wengine kipindi cha dhalimu? Hawa wote ni matokeo ya wizi wa CCM, kwanini tusiotoe CCM madarakani?
Unamtoa ccm kisha unamuweka nani?
 
Matahira ya jiwe yanamlaumu mama,wakati jiwe ndio chanzo Cha yote na kukurupuka kwake bila kutumia akili na sheria, Kuna wengi wataifungulia serikali kesi ambao walizurumiwa na jiwe na kupewa kesi,

Wengi Sana,ni suala la muda tu
Mataahira ya mama ndio yanaona jiwe alileta hasara!

Sikia dogo! Jiwe ndio alitaka kututoa huko kwenye hizo hasara ila nyie mataahira mkagoma kutoka huko!

Kiufupi hao kina seth walikuwa wakupigwa risasi wafe tu kuliko kuendelea na huu upumbavu.
 
Ngoja nisome comment


Sukuma gang vs CCM vs Wana Sacco's
 
From which source of information is this rubbish comin from!

So that's the deal behind the scenes,that Makamba & Msoga team are planning on!

Huh.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…