Tetesi: Seth wa IPTL kuishtaki Serikali ya Tanzania akitaka arejeshewe umiliki wa IPTL

Matahira ya jiwe yanamlaumu mama,wakati jiwe ndio chanzo Cha yote na kukurupuka kwake bila kutumia akili na sheria, Kuna wengi wataifungulia serikali kesi ambao walizurumiwa na jiwe na kupewa kesi,

Wengi Sana,ni suala la muda tu
Kwahiyo walipo plead guilty wakatoka mahakamani wizuiwa kufungua kesi? Ni nchi ya deal tu.
 
Naomba msiniruhusu kuendelea kusoma uzi huu.
 
Hii kesi inataka kutengenezwa na wajanja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…