Seti Mbili za Treni ya Umeme na vichwa 8 vya Umeme "Samia Express" vyawasili Nchini

Ukweli ni kwamba.
Naipongeza serikali kwa kuendelea kuboresha usafiri wa treni.

Ila mafisadi yametuchelewesha sana.
 
Ndio maana watu wamechoka mpaka wanachoma picha ya raisi maisha magumu mtaani hasa kwa vijana ajira hakuna na ukipata ajira mshahara hautoshi gharama za maisha....bora treni zingeitwa trc express na zipewe namba kutofautisha sijawahi kusikia nchi yoyote treni zikipewa majina ya raisi ukizingatia mradi wenyewe tunajenga kwa mkopo na tuta suffer kuzilipa
 
Ndio maana watu hawapendi kulipa kodi, huku mtaani TRA ni kama malaika mtoa roho
 
Kati ya makosa makubwa sana aliyofanya Magufuli ni ______.
 
Ila hizi treni ukiziona zikiwa kwenye mwendo Ile nginja nginja yake haina tofauti na zile za TRC na vile zinavyotembea sidhani kama nitakuja kupanda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…