Peramiho yetu
JF-Expert Member
- May 25, 2018
- 5,303
- 14,983
Wale mnaosema inakuwaje timu ya shirikisho ipo nafasi ya 10 ila kawa bingwa
VIP kuhusu SEVILA ambaye yupo nafas ya 11 lakn n bingwa wa Europa?
Tukubaliane tu kuwa YANGA msimu huu ipo vizuri imejipanga kushinda nyie mliocheza miaka yote na kuishia robo
Yanga inajua kucheza mashindano ya mtoano
Tuipe heshima yake na Jana imeonesha ukubwa wake hebu nikumbusheni n mwaka gan Simba iloshinda ardhi ya mwarabu?
VIP kuhusu SEVILA ambaye yupo nafas ya 11 lakn n bingwa wa Europa?
Tukubaliane tu kuwa YANGA msimu huu ipo vizuri imejipanga kushinda nyie mliocheza miaka yote na kuishia robo
Yanga inajua kucheza mashindano ya mtoano
Tuipe heshima yake na Jana imeonesha ukubwa wake hebu nikumbusheni n mwaka gan Simba iloshinda ardhi ya mwarabu?