Peramiho yetu
JF-Expert Member
- May 25, 2018
- 5,303
- 14,983
Ndio maana ikaitwa FUTUHI na hili la huku likaitwa LOSERS au COMEDY SHOW[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wale mnaosema inakuwaje timu ya shirikisho ipo nafasi ya 10 ila kawa bingwa
VIP kuhusu SEVILA ambaye yupo nafas ya 11 lakn n bingwa wa Europa?
Tukubaliane tu kuwa YANGA msimu huu ipo vizuri imejipanga kushinda nyie mliocheza miaka yote na kuishia robo
Yanga inajua kucheza mashindano ya mtoano
Tuipe heshima yake na Jana imeonesha ukubwa wake hebu nikumbusheni n mwaka gan Simba iloshinda ardhi ya mwarabu?
Sent using Jamii Forums mobile app
we kweli ni matakleNdio maana ikaitwa FUTUHI na hili la huku likaitwa LOSERS au COMEDY SHOW[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tuambie lini bingwa wa UCL au CAFCL alitoka nje ya big5
WE HUONI LINAANZA KUCHEZWA KWANZA KUWAWEKA WATU TAYARI KWA MECHI KWELI YA FAINAL YA MABINGWA.
Arsenal baada ya kufanya ivo ameambulia nni?Europa League ndio kama kombe la Shirikisho huko Ulaya
Timu kubwa nyingi huwa zinaalidharau na kujitoa makusudi ili zipate muda wa kujiimarisha kwenye ligi za ndani ili kupata nafasi ya kushiriki Champions League msimu unaofuata
Mfano Barcelona, Arsenal zote ziliona ni bora zitoke Europa mapema msimu huu zijikite kwenye ligi ya ndani
Kwan ukilichukua hilo kombe la shirikisho au Europa huko Ulaya msimu unaofata hushikiri champions league..?...Europa League ndio kama kombe la Shirikisho huko Ulaya
Timu kubwa nyingi huwa zinaalidharau na kujitoa makusudi ili zipate muda wa kujiimarisha kwenye ligi za ndani ili kupata nafasi ya kushiriki Champions League msimu unaofuata
kwaiyo kuhoji hivi Ndo unajiona una akili,na kama huu uwezo wa kufikili unautumia pia kwenye kuvukia barabara basi jitafakari dogo"Tuambie lini bingwa wa UCL au CAFCL alitoka nje ya big5"
Hujui kitu afu kwenu ww ndo kipanga kazi kwel kwel.
Achana na hyo pimbi.Arsenal baada ya kufanya ivo ameambulia nni?
Jifunze kwanza kuandika halafu urudi hapa.kwaiyo kuhoji hivi Ndo unajiona una akili,na kama huu uwezo wa kufikili unautumia pia kwenye kuvukia barabara basi jitafakari dogo
Akili za kitopolo hizo. HAELEWI HUYO MUELEWESHENdio maana ikaitwa FUTUHI na hili la huku likaitwa LOSERS au COMEDY SHOW[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tuambie lini bingwa wa UCL au CAFCL alitoka nje ya big5
WE HUONI LINAANZA KUCHEZWA KWANZA KUWAWEKA WATU TAYARI KWA MECHI KWELI YA FAINAL YA MABINGWA.
Ni kama Argentina tu bila Messi ni kama Mashujaa United.Yanga ni mayele, bila mayele yanga ni ihefu
Anashiriki UEFA mwakaniArsenal baada ya kufanya ivo ameambulia nni?
Umeandika vizuri kabisaaaEuropa League ndio kama kombe la Shirikisho huko Ulaya
Timu kubwa nyingi huwa zinaalidharau na kujitoa makusudi ili zipate muda wa kujiimarisha kwenye ligi za ndani ili kupata nafasi ya kushiriki Champions League msimu unaofuata
Mfano Barcelona, Arsenal zote ziliona ni bora zitoke Europa mapema msimu huu zijikite kwenye ligi ya ndani
Rage aheshimiwe sana popote alipo, Chelsea ampomtoa Barca na kuchukua ubingwa wa UEFA dhidi ya Bayern alikuwa nafasi ya ngapi EPL ?Ndio maana ikaitwa FUTUHI na hili la huku likaitwa LOSERS au COMEDY SHOW[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tuambie lini bingwa wa UCL au CAFCL alitoka nje ya big5
WE HUONI LINAANZA KUCHEZWA KWANZA KUWAWEKA WATU TAYARI KWA MECHI KWELI YA FAINAL YA MABINGWA.
UEFA ndio walijaribu kufanya hivyo ili kulipa mvuto kidogo ila haijasaidia sanaKwan ukilichukua hilo kombe la shirikisho au Europa huko Ulaya msimu unaofata hushikiri champions league..?...
Daaah jaman tutumien akili kidogo tu sio lazma ucomment mda mwingine unakausha tu.
Unakumbuka Chelsea kikombe chake Cha kwanza anachukua uefa alikuwa nafas ya ngapi?Ndio maana ikaitwa FUTUHI na hili la huku likaitwa LOSERS au COMEDY SHOW[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tuambie lini bingwa wa UCL au CAFCL alitoka nje ya big5
WE HUONI LINAANZA KUCHEZWA KWANZA KUWAWEKA WATU TAYARI KWA MECHI KWELI YA FAINAL YA MABINGWA.
Aisee vitoto vya juzi havijui kitu vipuuze.Rage aheshimiwe sana popote alipo, Chelsea ampomtoa Barca na kuchukua ubingwa wa UEFA dhidi ya Bayern alikuwa nafasi ya ngapi EPL ?
Kwenye soka hakuna timu inajitoa makusudi ,Arsenal huoni Saka ndani Ode hadi dakika za mwisho waliokuwa wanfosi goli kwa nguvu sasa kama makusudi si wangerahisisha kupiga pasi za nyuma.Europa League ndio kama kombe la Shirikisho huko Ulaya
Timu kubwa nyingi huwa zinaalidharau na kujitoa makusudi ili zipate muda wa kujiimarisha kwenye ligi za ndani ili kupata nafasi ya kushiriki Champions League msimu unaofuata
Mfano Barcelona, Arsenal zote ziliona ni bora zitoke Europa mapema msimu huu zijikite kwenye ligi ya ndani