Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Muda mchache ujao pale katika dimba la Puskas Arena jijini Budapest nchini Hungary kutapigwa mchezo wa fainali ya Europa League. Ni Sevilla Vs AS Roma
Ikumbukwe Sevilla hajawahi kufungwa pindi akiingia kwenye fainali ya Europa League wakati Mourinho naye hajawahi kufungwa mchezo wa Fainali.
Nani kuibuka na ushindi? Tukutane Saa 4:00 Usiku. Mchezo upo mubashara Chaneli 225 ya DStv
Unampa nani karata yako?
Ikumbukwe Sevilla hajawahi kufungwa pindi akiingia kwenye fainali ya Europa League wakati Mourinho naye hajawahi kufungwa mchezo wa Fainali.
Nani kuibuka na ushindi? Tukutane Saa 4:00 Usiku. Mchezo upo mubashara Chaneli 225 ya DStv
Unampa nani karata yako?