ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Mimi ni mkatoliki japo ni shabiki wa Laliga atakae shida sawa tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila wamekutana na Mourinho mtata'We own this league' -Sevilla haooo.
TawireeeeNatembea na Roma kwa vyovyote!
Na inaonesha kabisa hili ni kombe la losers kama lile la Yanga.Viwango hovyo kabisa vya mpiraHapo ni dumu na mfuniko wamekutana. Tunaweza kushuhudia draw dk 90 za kawaida
I am neither a prophet nor...
Haya ngoja tuone leo🤣🤣Mkuu ikiitwa tu Europa league hata aje man city anakufa kwa hawa jamaa. In short mimi kama mganga nasema hawa jamaa WAMECHANJIWA
🤣🤣🤣 Sevilla nadhani target yao huwa ni Europa league maana waliibeba mara tatu mfululizo.......Wameshawafanya kama pombe ya ngomani
Bila kuitaja Yanga siku hiendi kabisaNa inaonesha kabisa hili ni kombe la losers kama lile la Yanga.Viwango hovyo kabisa vya mpira
Ila wote hawa wanahistoria ya kupoteza fainali....... Sevilla vs Morinho16' Sevilla 0-0 As Roma
Wako vizuri sana ila leo wamekutana na Mourinho ( Sisu )🤣🤣🤣 Sevilla nadhani target yao huwa ni Europa league maana waliibeba mara tatu mfululizo.......
Vita ni vita muraaaHii mechi wamepaniana kweli, dakika ya 16 tu lakini tayari madaktari wameingia uwanjani mara mbili
Ni kweli Mou anajua sana kuzicheza fainali.Kuna mdau hapo juu kasema akikutangulia tu umekwisha.Anashusha kontena.Ila wamekutana na Mourinho mtata
Na hajawahi kushindwa akifika finalWako vizuri sana ila leo wamekutana na Mourinho ( Sisu )
Usimu-underrate Mourinho lakiniKombe la sevilla hili
Naaam ni record ya aina yakeNa hajawahi kushindwa akifika final