Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
- Thread starter
-
- #181
🤣🤣🤣 na ametepetaMou bado ana mbinu za kishamba
Wijnaldum kapoa sanaHii sub ya kumwingiza wijnaldum naona haijazaa kitu zaidi ya kuzurura
Ni kweli belloti sura yake ni ya kukosa kosaRoma anakufa kwenye matuta. Hawa wakina belloti ni machizi watakosa penalt
Hakuna wachezaji wenye quality nzuriRoma is loosing this shit, sub anazofanya haziwezi kumpa matokeo
Naona game inaenda penatiHii sub ya Roma kuna kitu ngoja tuone!!!
Hamna mchezaji hapo ata sijui alifikaje kucheza professional footballRoma anakufa kwenye matuta. Hawa wakina belloti ni machizi watakosa penalt
Kusema ukweli mambo ni magumu Sana Kwa Roma..Mourinho kaanzisha ugomvi nje ya uwanja huku