Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah kuwa kwenye kiibodi sio ndo unaandika namna hii jamani.
Kaunga mi stak uchkoz bana! Hatukfanya kitu.Vipi kuhusu Paxman, Kaizer na maungamo ya weekend, Invisible na ile safari yenu ya Antananarivo, na Cool Gentleman kwenye blind date yenu, na kaka yangu KIKUNGU ila sijui nywele za kichwani utazipataje na upara wake. Wengine nimewasahau bwana, wea iz mai diare?
Siku zimekuwa zikienda najihisi tofauti tofauti, naona mwili wangu kama haupo kawaida.
Nikishika tits zangu I feel tender, najiona nimebadilika badilika tu but nashindwa kuelezea.
Saizi nakula zaidi kuliko kawaida yangu na najikuta nataka utulivu wa mara kwa mara.
Ndio nimetambua saizi nina mimba. Hio inafanya niwe nina habari mbili mbaya na nzuri.
Mbaya ni kuwa nina mimba ya mtu ambae sijui atakuwa yupi! Najiuliza baba watoto ni nani kati
ya wa 5 niliokutana nao katika zile siku za kutikisha mimba ule mwezi wa mwisho ambao niliacha sex rasmi.
Sina raha, sina amani sabb nataka mtoto ajue baba yake wa kweli ni yupi.
sina la kufanya ila mimba sitoi! Wangekuwa wote ni waswahili ningejipanga vizuri.
Tatizo katika hao wa 5 moja mchina, mwingine mzungu watatu waswahili. Wote nilitumia condom,
kasoro mmoja, nimesahau ni yupi.
Habari nzuri I am pregnant with twins nilikuwa nawatafuta kwa nguvu zote.
Bonus ni kuwa najisikia kufanya kila mara. Naomba mnisaidie ushauri pliiiiiz!
No mwaaaaah! nahisi kuzimia! :faint2:
Paxman ni gentoman, bado tupo stage ya kissing.
Kaizer kila nikienda maungamo nakuta kachokaaaa, nimeambiwa na
Elizabeth Dominic kumbe u kip his books za appointment ukijua naenda
ww unaenda b4 and sqeez the hell out of him! :tonguez:
Ile safari niliyoenda na Invisible antanarivo, did i not giv u fdbak? ngoja niku pm.
Cool Gentleman na KIKUNGU sijawahi wallah ku dou nao.
Hehehehe Kachina kameshafanya vitu vyake 🙂🙂...msubiri kwa hamu half cast wa Kitanzania na kichina 🙂
uwe na weekend njema Erotica
hapo utakuwa unaongopa. tuli kiss papito. au hio does not count? was it that bad?
Du! Afadhali, maana Mchakato haujamalizika Wadada wangenielewa vibaya. Ila nakusifu sana hata nilipokataa KU- DO ME na wewe, na kulia saaaaana wala hujanichukia. Ila acha kuwa Jamvi la wageni bana!
Rogi wewe huoni raha jinsi watu wanavokurupuka kujudge?
haya ni mambo halisi ambayo yapo katika jamii. hapa tunatumia majina fake,
kweli hata mawazo yawe feki? mbona jamii yetu ina maovu mengi? wadada/kaka wenye wapenzi
wengi? hao watu sio memba wa jf kweli? au sbb wengine wanatafuta wapenzi humu humu
ndio maana wanaogopa kujiachia? mbona mie najiachia na wapenzi napata vile vile?
hapa natumia tafsida, ukitaka nikusimulie scenario nzima ya kuji do hadi nikoj** si basi utazimia ww?
Mi staki useme uongo. Nilikataa ukawa unalia tu. Sasa mwenyewe kila mwanaume unamtaka. Si uanzishe shule tu ya watu kukunanihii?
Umemsikia Babu Jinga? Offside Trick =Aambiwe (Babu jinga) - YouTube
teh teh teh. ktk wote ukiniuliza ni yupi ambae nina probability kubwa sio baba.
atakuwa yule mchina. nilipomuona niliona aibu tu kukataa kuendelea sbb tulikua tumechojoa.[/QUOTE]
Mhhhhh! Kumbe Wachina nao wana mvuto eeh! 🙂.... ukishayavulia nguo maji shurti uyaoge 🙂
Cool Gentleman ivi pale unaona i cried? hivi mm nikilia nataka uni****e unadhani unaweza resist ww?
teh teh teh. shukuru Mungu sbb nilikuona uko serious na malengo yako nikakuonea huruma. ohoooo!
Ningejuaje, l wish wewe ndio ungekuwa baba wa twins mngekuwa one big happy family! LOL
We dogo janja wewe mtu mzima dawa. Unafikiri ungeniweza wewe? Mwiso wa reli hapa. Si quantity bali quality. Ila nasikitika ni yule ambaye roho yangu imemchagua. Usiombe niahirishe zoezi langu . . . Haaaaa haaaa
Paxman ni gentoman, bado tupo stage ya kissing.
Kaizer kila nikienda maungamo nakuta kachokaaaa, nimeambiwa na
Elizabeth Dominic kumbe u kip his books za appointment ukijua naenda
ww unaenda b4 and sqeez the hell out of him! :tonguez:
Ile safari niliyoenda na Invisible antanarivo, did i not giv u fdbak? ngoja niku pm.
Cool Gentleman na KIKUNGU sijawahi wallah ku dou nao.