Sex huweza kutumika kama njia kufikia roho yako (sex is a gate way to your soul)

Sex huweza kutumika kama njia kufikia roho yako (sex is a gate way to your soul)

Umechambua vizuri sana hapo kwenye tone moja la mbegu kuwa sawa na matone 40 ya damu.

Lakini ninachojua ni kuwa nguvu hii iliyoko kwenye kutengeneza mbegu mpya za kiume isipoelekezwa kwa umakini katika mambo ya kiroho na mambo ya kuijenga nafsi hupelekea kurudi katika mwili na kuwa na negative impact zaidi ya nguvu ya kwanza.

Kwamba, si kila mtu anaye abstain kufanya sex au kutoa mbegu zake huwa anapata mafanikio ya kiroho au kinafsi kwa sababu ya nguvu hio, wapo wengi tu ambao nguvu hio hurudi kuuharibu mwili na hata nafsi kwa kutibua emotions na free will kitu kinachomfanya mtu awe "mnyama zaidi" kuliko kuwa "binadamu zaidi" na jambo hili ni scientifically and spiritually proven.

Zipo njia nyingi sana za ku divert nguvu hii iwe ya kiroho au itumike kuijenga nafsi lakini kuu 4 ni KUFUNGA, KUFANYA MEDITATION na VISUALIZATION na MAOMBI.

Ndio maana mtu asiye fanya miongoni mwa hayo nguvu hii humpelekea kua mtu wa kuwaka tamaa za ngono muda wote au mtu wa aibu sana au hasira sana au mtu wa kujitenga na watu na upweke na mambo yote machafu unayoyajua.

Hapa umefafanua vizuri sana hadi nimefurahi.
Hapa tunaona pia utoaji wa mbegu za kiume/kike kwa kila siku madhara yake mtu anakuwa kama mnyama na kujiona sio wa thamani tena
 
Punyeto nimeiwekea tahadhari kwa kuwa 90% ya wapiga pull huwa hawawezi tena hata kujiwekea ratiba japo hata kwa week mara moja.
Wao huwa kama sio asubuhi na usiku, basi itakuwa ni kwa siku mara moja ambayo haitakiwi kabisa.
Madhara yake ni makubwa sana kuanzia kimwili na kiroho pia.

Madhara ya kiroho ni kama wewe kuwa wa bahati mbaya kila siku na kama utafanya tahajud/meditation itakuchukua muda mrefu kuona matokeo kama sio kushindwa kabisa.

Madhara ya kimwili ni wewe mwenyewe kukosa kujiamini, kusahau sahau hovyo.
Mfano kukumbuka kitu kwa wakati uleule kinapohitajika unakuwa ni mdogo, kujidharau mwenyewe/kutokujipenda, macho nayo saa nyingine huwa yanauma, kukondeana, kama hutumii madawa ya kulevya au pombe utakuwa unajitenga na watu.
Kuwa na uchovu muda wote, kuwa na aibuaibu sana mbele za watu nk:

Madhara haya si kwa mpiga punyeto tu.
Hata kama wewe unalala kimwili na mtu kwa siku mara 2 au zaidi kila siku madhara yake ni kama hayo hapo juu.
Haya mambo niliyapitia nikiwa sijui na baada ya kujua pia nikayafanyia tena uchunguzi.

Kama wewe utakuwa unafanya huu mchezo kila siku mara 2 au zaidi, utakuwa ni shahidi. Hata kama unafanya kila siku mara 1 utakuwa shahidi pia japo utakuwa hujaathirika kama wale wa mara 2 kwa siku.
Yap ni kweli hili unalolisema na hata mimi nimelishuhudia mwenyewe.

Swali kubwa ni nini kifanyike kuleta suluhisho la haraka maana najua kinachotakiwa ni kuacha huu mchezo au kubadili tabia.

Lakini swali ni je hata kama mtu ataacha michezo hii itamchukua muda gani kuona matokeo chanya ukizingatia "AMEKUBUHU" katika hii michezo
 
Yap ni kweli hili unalolisema na hata mimi nimelishuhudia mwenyewe.

Swali kubwa ni nini kifanyike kuleta suluhisho la haraka maana najua kinachotakiwa ni kuacha huu mchezo au kubadili tabia.

Lakini swali ni je hata kama mtu ataacha michezo hii itamchukua muda gani kuona matokeo chanya ukizingatia "AMEKUBUHU" katika hii michezo

Kinachoweza kumtoa mtu kwenye mtego huu ni Maditation tu.
Wanaoweza kutoka kwa njia nyingine ni wachache kuliko wanaobaki.
Na ili hii meditation iweze kukusaidia kwa haraka, itakupasa pia ujizuie kwa sana kuacha huu mchezo kwanza. Kama itakuwa vigumu kuacha, unajitahidi kupunguza.
Kama ulikuwa unapiga mara 2 kwa siku, unapiga mara moja. Pia baada ya muda tena unapunguza unapiga mara moja kwa siku mbili. Vivyo hivyo ukipunguza tu huku ukiendelea na meditation.
Kumbuka ukishaweza kufanya meditation hakuna tatizo litakalokutawala maana meditation inakufanya kuwa na ushirika na roho yako ambayo huutiisha mwili kwa kila tamaa iliyoko mbele yako.

Hata kuumwa huumwi kamwe. Labda wewe uruhusu tu ndipo utakapoumwa.
Matokeo chanya yataonekana kwa haraka sana.
Mfano ukiweza kuacha huu mchezo mbaya hata kwa mwezi tu unabadilika hadi mwili.
Kuna matokeo huonekana hata kwa week moja tu ambayo ni kule kuwa na uchovu kila day kutaondoka, macho kutokuuma tena, aibu nayo hupungua kwa kasi ya ajabu.
Pia mikosi huondoka
 
Kinachoweza kumtoa mtu kwenye mtego huu ni Maditation tu.
Wanaoweza kutoka kwa njia nyingine ni wachache kuliko wanaobaki.
Na ili hii meditation iweze kukusaidia kwa haraka, itakupasa pia ujizuie kwa sana kuacha huu mchezo kwanza. Kama itakuwa vigumu kuacha, unajitahidi kupunguza.
Kama ulikuwa unapiga mara 2 kwa siku, unapiga mara moja. Pia baada ya muda tena unapunguza unapiga mara moja kwa siku mbili. Vivyo hivyo ukipunguza tu huku ukiendelea na meditation.
Kumbuka ukishaweza kufanya meditation hakuna tatizo litakalokutawala maana meditation inakufanya kuwa na ushirika na roho yako ambayo huutiisha mwili kwa kila tamaa iliyoko mbele yako.

Hata kuumwa huumwi kamwe. Labda wewe uruhusu tu ndipo utakapoumwa.
Matokeo chanya yataonekana kwa haraka sana.
Mfano ukiweza kuacha huu mchezo mbaya hata kwa mwezi tu unabadilika hadi mwili.
Kuna matokeo huonekana hata kwa week moja tu ambayo ni kule kuwa na uchovu kila day kutaondoka, macho kutokuuma tena, aibu nayo hupungua kwa kasi ya ajabu.
Pia mikosi huondoka
Shukrani sana mkuu, Nimekupata vizuri sana

Mie ni mtu wa totoz sana. tatizo kila nikifanyaga hio kitu kesho yake ninakuwa "down" sana mood na kila kitu, kiufupi siku inakua mbaya sana.

Cha ajabu pia kila nikimaliza kufanya hio kitu siku hizi lazima niparamie vyakula vya sukari nyingi mno mpaka najishangaa mara nyingine inanibidi nirambe sukari mno kama mtoto mdogo.

Umenisaidia sana kwa kushare hii info hapa mkuu
Ubarikiwe mno
 
housegirl ukisoma katika maelezo yangu sijazungumzia kuhusu zile ishu one nyt stand. Nmezungumzia mtu ambaye mlikuwa na strong connection,maana katika strong connection kunakuwa na strong bond ambayo huweza last for a long period of time. Jaribu kusoma maelezo yangu utaelewa vema.swala lako la kuhusu walimu ni ishu nyingine haifanyi hoja yangu isiwe na mashiko.

....salute Mkuu
 
Shukrani sana mkuu, Nimekupata vizuri sana

Mie ni mtu wa totoz sana. tatizo kila nikifanyaga hio kitu kesho yake ninakuwa "down" sana mood na kila kitu, kiufupi siku inakua mbaya sana.

Cha ajabu pia kila nikimaliza kufanya hio kitu siku hizi lazima niparamie vyakula vya sukari nyingi mno mpaka najishangaa mara nyingine inanibidi nirambe sukari mno kama mtoto mdogo.

Umenisaidia sana kwa kushare hii info hapa mkuu
Ubarikiwe mno

Kitu kingine kilichokuwa kikinisibu mimi pale ninapokuwa nimefululiza hili tendo ni kushindwa kula vizuri na kuchagua vyakula vilaini laini kama supu, uji, wali bokoboko, maziwa matunda na vingine vya aina hiyo.
Yani unakuta sio mgonjwa lakini unaendekeza vitu ambavyo hata mgonjwa hafanyi, na kama ikitokea umekaa siku kama 4 au 5 bila kufanya hilo tendo unajiona na wewe ni Mtu kati ya watu. Lakini ile furaha inakufa ghafla siku hiyo hiyo maana unajikuta umerudia tena kwa kasi kuliko siku uliyoishia.
Haya nayosema hapa, wapo ambao wanateseka sana na hii hali ya kuwa watumwa wa tamaa za kimwili na wengine hata wanafikia kutamani kujiua.
Kipindi naanza kuweza kuacha huu mchezo, kuna vijana tulikutana kwenye mtandao hivihivi na katika kubadilishana mawazo nilishangaa kuona hali zetu zinafanana na wengine walikiri kuwa walishajaribu kujiua sababu ya huu mchezo.

Kiujumla unamwathiri kisaikolojia mwenye kuufanya hata kufikia kujiua kutokana na yale anayopitia.
 
Shukrani sana mkuu, Nimekupata vizuri sana

Mie ni mtu wa totoz sana. tatizo kila nikifanyaga hio kitu kesho yake ninakuwa "down" sana mood na kila kitu, kiufupi siku inakua mbaya sana.

Cha ajabu pia kila nikimaliza kufanya hio kitu siku hizi lazima niparamie vyakula vya sukari nyingi mno mpaka najishangaa mara nyingine inanibidi nirambe sukari mno kama mtoto mdogo.

Umenisaidia sana kwa kushare hii info hapa mkuu
Ubarikiwe mno

....cha msingi kula shiba ndo ugonge mzigo....asubuhi piga supu chapati nyingi kwa sana.....mayai ya kienyeji kwa sana ...kama wewe ni mpagani mchana sindikiza na Noah mboga za majani......dadeki mwili unarudi upya kwa mapambano mengine iwe ugenini au nyumbani
 
Vipi kuhusu prostitutes ambao let's say ana msururu wa watu 400 aliosex nao. Naye au hao wateja wake wana ties?
 
....cha msingi kula shiba ndo ugonge mzigo....asubuhi piga supu chapati nyingi kwa sana.....mayai ya kienyeji kwa sana ...kama wewe ni mpagani mchana sindikiza na Noah mboga za majani......dadeki mwili unarudi upya kwa mapambano mengine iwe ugenini au nyumbani

Fanya hicho kitendo mara mbili kwa siku kila siku alafu ule yote hayo uliyosema siku ukikosa hayo mahitaji yote utakoma. Utadorora kwa kasi hadi ushangae 🙂
Lakini bado hata ukitumia hayo yote bado tu utaona athari japo sio nyingi kama wale wasiojiweza
 
bibie utakuwa si mpenzi wa maandiko,anacho kisema ametoa kwenye bible

Kumbe kuna mahala kwenye biblia wameandika kuwa sex ni ibada kamili ikiwa Yesu mwenyewe katika miaka yake ya utume hakuwahi kuelezewa kuwa na mke wala kujihusisha na tendo hilo kwa namna yoyote ile. Inakuwaje hapo mkuu?
Au ibada hiyo sio ya lazima? Hebu nipe ufafanuzi kidogo maana mie mgeni
 
Hi Naomba nijaribu kuweka baadhi ya mambo sawa kidogo...hapa kuna issue nyingi zimeongelewa...kwaio..ntazielezea kwa kifupi tu...
Kabla ya hapo naomba kutoa tahadhari ...ambacho nitasema kinaweza kukinzana na Imani ambazo labda wengi wamekua nazo..wamefundishwa etc..ambacho nitakisema kwa kifupi...Nimeambiwa na Guides (kwa Astral Projectors watanielewa). kwaio i take it 99% of what im about to tell you ndo ukweli halisi...now kubali au kataa...utaendelea kubaki hivyo.. nitaweka hoja zangu into 3 concepts:

Concept 1: kwanza Inabidi uelewe concept ya Mwili na roho, ntaeleza kwa kifupi sana,
Ndugu ,Mwili sio ORIGINAL nature/form yetu sisi wanadamu..naamini nikisema sio original nature yetu nimeeleweka.. mwanadamu ki asili ni roho..hapo wewe ulipo ni roho/spirit/soul etc, Mwili ni cover /housing/ protective case Tu...ili kuwezesha roho yako ku survive kwenye hii sayari (ambayo hatukuumbiwa sisi..ila thats another topic)..hivyo basi umeelewa kua roho ndo wewe...wewe ni roho...na ufahamu/consciousness/awareness/nafsi yako viko attached/part ya roho yako...kwa mantiki hii ...ukifa..utaendelea kujifahamu..utatambua kua umekufa..na utaendelea kuwafahamu watoto wako au ndugu zako..utafahamu ulisoma chuo gani etc...kufa ni kitendo tu cha mwili kuchakaa..au kuchoka (kifo za uzee, hivi vifo vingine ni topic nyingine).Rejea kwenye bibilia..kwa wale wasomaji..Mara nyingi sana Yesu amekua akionesha jinsi gani miili haina thamani..mwili wako ni nothing.hupaswi kujisikia au kujivuna kwa lolote la ki mwili ...ni kasha tu. roho ndo kila kitu.

Concept 2: Sex, kwenye hii thread tunaongelea sex, kama umenielewa concept ya kwanza..now..understand..wakati roho imeumbwa..ndo ilipewa maagizo kuhusu sex, naomba nirudie..roho zipo tayari ila sio zote zina miili..kwa lugha nyingine..ingeweza kutokea wewe kuzaliwa kabla ya mzazi wako...roho zenu zilikuepo already ila ...ya kwake yeye ilitangulia kupata mwili (Rejea kitabu cha mwanzo (bibilia), sura ya kwanza Adamu na eva roho zao zilikuepo zote kwa pamoja, Sura ya pili..unaona adam anapewa mwili wa kwanza..kisha eva anafata( kutoka ubavu wa adamu)). ILA roho ndo iliambiwa kuhusu kuzaa na sex...
Hapa ndipo complication ya sex inakuja....Lengo hasa la sex ni kuzaa..(Reproduction) hio ndo purpose ya sex sio vinginevyo..ila kilichopewa maagizo ni Roho / why?? kwanini iwe roho na wakati sex ni kitendo cha mwili??
Sex ni kitendo cha kuipa roho mwili...roho ambayo ipo tayari (Rejea bibilia,"Nimekujua kabla hujatungwa mimba"). kufanikisha hili..lazma roho nyingine zihusike kutengeneza path/gate ili roho nyingine iingie kwenye mwili(mtoto tumboni) . hivyo basi ...kufanya sex na watu hovyo..watu wengi ni hatari..mana lengo linakua sio kuzaa..na mnajiweka kwenye mazingira hatarishi ya kuingiza roho nyingine juu yenu kila mnapokutana..hii roho inayoingia..inaweza kubaki ndani ya mmoja wenu..
ni kwa sababu hii ...ubikira imekua ikichukuliwa kua kigezo kikubwa katika kuunganisha watu wawili kwenye ndoa.
kwa kifupi sana..kama una uwezo wa kukaa bila kufanya sex ...ni vema sana..otherwise jiepushe na sex na kila mtu.

concept 3: punyeto: kuelewa hili...turudi kwenye suala la mwili...Sperms ni product tu ya mwili kama yalivyo machozi...au jasho , sperm zinapozidi mwilini NATURALLY zinatoka zenyewe ( wet dreams) .. punyeto ni kitendo tu cha kulazimisha kuzitoa...punyeto ikizidi ambacho kinaweza kutokea ni mwili kukosa nguvu..etc...ukilazimisha kitu chochote kutoka mwili tofauti na utaratibu wa mwili..utapata side effects zile zile za punyeto...ni sawa na mtu anaeharisha..(anapoteza maji mengi mwilini), hivyo hukosa nguvu,macho/kichwa kuuma etc Punyeto haina uhusiano wowote whatsoever na roho..hakuna muunganiko wowote unaofanya na roho yoyote unapofanya punyeto kwakua haiwezi kupelekea tokeo lolote linalohusisha roho.
Sperms zimekua zikiitwa fuel ya life kwa sababu 90% ya sperm ni protein (ambayo ndo building block ya cells/mwili) hio 10% ndo kuna zinc etc (fuatilia chemical content ya sperms).nb: yai la kiumbe chochote ni more than 90% protein ...mfano yai la kuku etc
mengi yanaongelewa..ila ukiwa na bahati kwa wale wanaofanya SAFE meditation na SAFE trips to astral world..ukiwa na bahati pia..ya kupata GUIDE..utaelezwa all the secrets of this world.. kwa wale wanaosoma bibilia..naamini kuna mambo labda yataanza kua clear kwenye akili zenu.

my advise..Dont do sex with everyone for fun..or dont do it at all..
 
Mkuu bona nimekuelewa vizuri sana nina maswali madogo 2
kwanza,umesema ku sex na watu wengi inapelekea kuungana nao kiroho yani sex italeta binadamu ambaye atapata roho nyingine sasa kama ume sex na mtu bt mtoto hakupatikana inakuwaje tena kuwe na bond?? Si inakuwa sawa na aliyepiga punyeto maana hamna sprit yyte iliyo waunganisha?
Pili,umesema roho tayari zipo ila zinahitaji miili tu ni kwa nini hizo roho zisibaki bila miili kuna ulazima gani? Maana at the end bado miili inakufa na kuiacha roho ni kama inarudi vilevile yaani bila miili
tatu,kwa mantiki hyo una manisha roho za watu ambazo zilikuwa zimepata miili badaye miili hyo kupote-kufa zinarudi tena duniani kwenye miili ya watu wengine au?
Nne,nini ultimate yake sasa? Kama roho zitakuwa zinajirudia rudia kwa watu?
Mada yako imenifikirisha kichwa!
 
Back
Top Bottom