Sex is Gateway to your soul kuwa makini

Sex is Gateway to your soul kuwa makini

DR Mambo Jambo

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2012
Posts
11,622
Reaction score
26,005
Kwamba tendo la ndoa (kwa wanandoa)/Zinaa (Kwa wasio wanandoa) huweza kuwa njia huweza kuwa njia au mlango wa kuifikia roho yako kwa namna hama nyingine.

Watu wawili wakiwa wanashiriki tendo hilo huwa si tena wawili wanakuwa wameungana na kuwa mwili mmoja kabisa, hii inawaunganisha kimwili, Kiakili/Kihisia na kiroho, hili jambo lina siri nzito sana.

Kwa wale wasoma biblia ukipita

Waefeso 5:31-32

"Kwa sababu hiyo mwanamume atamwacha baba yake na mama yake naye atashikamana na mke wake, na hao wawili watakuwa mwili mmoja. Siri hii takatifu ni kubwa. Sasa ninasema kwa habari ya Kristo na kutaniko."

Ukiwa na mtu ambaye mnakuwa actively mnashiriki nae sex jua fika mtashare mambo mengi katika ulimwengu wa hisia na kiroho pia hata kama mtakuwa hampo karibu kwa wakati huo.


Bani Isra'il / Al Isra aya ya 32

وَلَا تَقْرَبُوا۟ ٱلزِّنَىٰٓ ۖ إِنَّهُۥ كَانَ فَٰحِشَةًۭ وَسَآءَ سَبِيلًۭا

Wala taqraboo alzzina innahu kana fahishatan wasaa sabeelan

Wala msikaribie zinaa, Hakika huo ni uchafu Mkubwa sana na njia ya Upotovu..


Hii ni kwa sababu SEX ni ibada kamili kabisa, sex ni mkataba ambao miongoni mwa makubaliano ya huo mkataba ni kuwa connected.

Hii ndio maana inakuwia ngumu kumsahau na kumtoa akilini mtu ambaye mlikuwa nae active kwenye sex hata kama ilikuwa zamani na mna muda hamjaonana, bado ataendelea kuwa kwenye mind yako.

Nguvu yeyote ya kihisia na kiroho ikiweza kumpata mmoja wenu kutokana na sababu mbalimbali iwe kutakuwa na maamuzi sahihi.

Kusababishwa na mwigine inapata upenyo na mwanya wa kuweza kumpata mwenza wake maana ameacha njia ya upenyo na wao wanamkataba wa kuwa mwili mmoja.

Sex Huconnect Moto Uliopo kwenye Miili yetu ili kuchochea nafsi Kuiacha Roho itawale..

Ndo maana Kuna Ule Usemi wa peleka Moto au Kupata Joto au Kupeana Joto watu wengi hawajui maana Yake..

Mhubiri 4:9-11

"Afadhali kuwa wawili kuliko mmoja; Maana wapata ijara njema kwa kazi yao.
Kwa maana wakianguka, mmoja wao atamwinua mwenzake; lakini ole wake aliye peke yake aangukapo, wala hana mwingine wa kumwinua!

Tena, wawili wakilala pamoja, hapo watapata moto; lakini mmoja aliye peke yake tu awezaje kuona moto?"

Wale watu wa Sexual Alchemy watanielewa Zaidi hapo..

Kuna wakati badala ya kuhangaika na matatizo yanayo kufika hiwe ni mawazo yasiyoisha, mikosi n.k.

Anza kuhangaika kuondoa ties ulizo funga na wenza wako ni lazima kutakuwa kuna hole imetengenezwa na mmoja kati ya hao uliowahi shiriki nao, bila kuondoa hizo ties utakuwa kila siku unasolve na kutafuta njia za kuwa katika hali but vitu havikomi maana still vinapata njia ya kuja kwako, vunja tie hizo kwanza.

Sex haifanyiwi nje ya mwili hufanywa ndani ya mwili, katika kuthibitisha hili ukisoma, 1Wakorinto 6:18 inaonyesha kuwa sex hufanywa ndani ya mwili kwahiyo ina direct impact katika roho yako.

Kumbuka roho na mwili haviwezi tengana hadi kifo kikufike, kwahiyo connection ambayo umeziweka na uliesex nao huweza kuondoka pale mmoja wenu atakapofariki, Otherwise vunja ties na connection zenu.

Kuna watu hujikuta wanatamani kusex au kuingiliwa na wanaume wenzao, hata inafikia kiwango mtu kuota ana msodoma mwanaume mwenzie.

Ukiangalia wewe si Gay lakini ukicheza utajikuta unafanya kweli , Swali, Kwanini?

Kuna reason nyingi zinapeleka watu kutamani mapenzi ya jinsi moja ikiwemo roho za ajabu.

Sasa kama kuna vibinti ambacho umewahi kushiriki nae amaenza kufanya au kutamani hayo mambo ile roho inayompelekea kufanya hayo inapata na inatafuta upenyo kwako pia maana kupitia huyo kuna njiaa ya kuja kwako.

20241029_231910.jpg

images (27) (9).jpeg
 
Somo zuri sana, naamini lina muendelezo. Maswali
1)Je kama sex is a gateway to my soul, is it a good thing or a bad thing?
2)Na kama ni kitu kibaya nifanyeje kuilinda hiyo soul?
3) je unaliongeleaje kwa wanandoa? Je wao hawaathiriki na hizo soul ties zinazotokana na sex? Wafanyeje kujikinga?
 
Hahaha kuna wale wa MBUZI GAGOMA, vijana mnaita Dog Style Hao nao wana kuwa mwili mmoja, na vipi wale Vyangudoa watu wana sema ni chap chap nyuma ya ukuta wa Bar, kuna feeling zozote pale au pale inakuwa siyo sex?

Any way maswali meengi ila tuishie hapo.
 
Somo zuri sana, naamini lina muendelezo. Maswali
1)Je kama sex is a gateway to my soul, is it a good thing or a bad thing?
Kuhusu Bad thing au Good Thing its depend na Utumiaji wake..

Kwa mfano siwezi moja kwa Moja nikakuambia Kisu ni kitu kibaya sana kwa sababu kinaua watu wakichomwa..

vipi kama mimi situmii kisu hicho kwa kuchoma watu na Nikakitumia kwa ajili ya Kukata Viungo vya kupikia Na Kukata Matunda na Mboga...

bado nitakiiita Kitu kibaya kwa sababu kuna Mtu anakitumia Vbaya?
Jibu Ni Hapana its matter How Unaitumia hiyo sex..

Kuna Kitabu kimoja cha NAPOLEAON HILLS cha GROW RICH kwenye Sura ya Nane ya Kile kitabu inaelezea "How toTransmute Sex Emotion into Achievement Power"
Screenshot_20241030_000242_Adobe Acrobat.jpg

2)Na kama ni kitu kibaya nifanyeje kuilinda hiyo soul?
Ilinde kwa Kutokufanya Uncommited Sex, Ukienda kwa wale wa Sexual Alchemy Kutoka Kwa Gnosis kabbalah na Taoism watakuwambia Dont spill sexual Energy Just...

Transmute sexual Energy dont spills Semen..Just do sex with only yo wife and Dont spill semen just transmute them into Vital Energy

3) je unaliongeleaje kwa wanandoa? Je wao hawaathiriki na hizo soul ties zinazotokana na sex? Wafanyeje kujikinga?
Soul Ties kama zilikuwepo Haziondoki mpaka Ufanye baadhi ya Ritual Na baadhi ya Hizo ritual Mshana Jr amezifundisha Sana Huko Nyuma Kama Ya Matumizi ya Chumvi ya Mawe kuondoa hizo ties na Ukitumia Chumvi hakikisha Hurudii tena...
Na ndo maana kwa wasomaji wa Biblia imeandikwa..

Waefeso 5:31-32

"Kwa sababu hiyo mwanamume atamwacha baba yake na mama yake naye atashikamana na mke wake, na hao wawili watakuwa mwili mmoja. Siri hii takatifu ni kubwa. Sasa ninasema kwa habari ya Kristo na kutaniko."

Kuna njia ya Kujikinga Ila nitaielezea Tu usijali nikumbushe baadae Japo inahitaji Uende Phamarcy au Maduka ya Sunna Ukanunue hiyo Bidhaa
 
Hahaha kuna wale wa MBUZI GAGOMA, vijana mnaita Dog Style Hao nao wana kuwa mwili mmoja, na vipi wale Vyangudoa watu wana sema ni chap chap nyuma ya ukuta wa Bar, kuna feeling zozote pale au pale inakuwa siyo sex?

Any way maswali meengi ila tuishie hapo.
Tena kwa Hii ni mbaya sana kwa Mwanaume kuliko hata Huyo mwanamke japo na yeye Kuna wakati anaweza akashikwa Na hisia Zikamzidi..
Ila hii Ni hatari sana kwa Mwanaume..

Mwanaume Kupata Hisia huwa ni kitu cha Sekunde na Hata anapokuwa anataka Kutoa Mbegu huwa connection inapotea na anaweza Connection na yule mwanamke na hapo ndo hasa Gate nalozungumzia Hufunguka hata kama ni sekunde 2 zimatosha sana kuharibu baraka zako
 
Kuhusu Bad thing au Good Thing its depend na Utumiaji wake..

Kwa mfano siwezi moja kwa Moja nikakuambia Kisu ni kitu kibaya sana kwa sababu kinaua watu wakichomwa..

vipi kama mimi situmii kisu hicho kwa kuchoma watu na Nikakitumia kwa ajili ya Kukata Viungo vya kupikia Na Kukata Matunda na Mboga...

bado nitakiiita Kitu kibaya kwa sababu kuna Mtu anakitumia Vbaya?
Jibu Ni Hapana its matter How Unaitumia hiyo sex..

Kuna Kitabu kimoja cha NAPOLEAON HILLS cha GROW RICH kwenye Sura ya Nane ya Kile kitabu inaelezea "How toTransmute Sex Emotion into Achievement Power"
View attachment 3138678

Ilinde kwa Kutokufanya Uncommited Sex, Ukienda kwa wale wa Sexual Alchemy Kutoka Kwa Gnosis kabbalah na Taoism watakuwambia Dont spill sexual Energy Just...

Transmute sexual Energy dont spills Semen..Just do sex with only yo wife and Dont spill semen just transmute them into Vital Energy


Soul Ties kama zilikuwepo Haziondoki mpaka Ufanye baadhi ya Ritual Na baadhi ya Hizo ritual Mshana Jr amezifundisha Sana Huko Nyuma Kama Ya Matumizi ya Chumvi ya Mawe kuondoa hizo ties na Ukitumia Chumvi hakikisha Hurudii tena...
Na ndo maana kwa wasomaji wa Biblia imeandikwa..

Waefeso 5:31-32

"Kwa sababu hiyo mwanamume atamwacha baba yake na mama yake naye atashikamana na mke wake, na hao wawili watakuwa mwili mmoja. Siri hii takatifu ni kubwa. Sasa ninasema kwa habari ya Kristo na kutaniko."

Kuna njia ya Kujikinga Ila nitaielezea Tu usijali nikumbushe baadae Japo inahitaji Uende Phamarcy au Maduka ya Sunna Ukanunue hiyo Bidhaa
Asante sana mkuu
 
Ingekuwa sex inaunganisha watu wawili kihisia, kiakili na kiroho kama unavyodai,

Malaya wote wanao sex na matajiri wangepata akili za kitajiri.

Malaya wote wanao sex na viongozi wa kidini kama mapadri, masheikh n.k na wao wangepata roho ya kuachana na hayo matendo yao.

Lakini sivyo, Malaya wanabaki na umaskini wao licha ya kusex na kutembea na matajiri.

Pia Malaya haohao wanabaki na umalaya wao licha ya kusex na viongozi wa kiroho.
 
Tena kwa Hii ni mbaya sana kwa Mwanaume kuliko hata Huyo mwanamke japo na yeye Kuna wakati anaweza akashikwa Na hisia Zikamzidi..
Ila hii Ni hatari sana kwa Mwanaume..

Mwanaume Kupata Hisia huwa ni kitu cha Sekunde na Hata anapokuwa anataka Kutoa Mbegu huwa connection inapotea na anaweza Connection na yule mwanamke na hapo ndo hasa Gate nalozungumzia Hufunguka hata kama ni sekunde 2 zimatosha sana kuharibu baraka zako
Hahah hili somo gumu sana, na vipi wale vijana wa Kataa ndoa na CHAPUTA?
 
Ingekuwa sex inaunganisha watu wawili kihisia, kiakili na kiroho kama unavyodai,

Malaya wote wanao sex na matajiri wangepata akili za kitajiri.

Malaya wote wanao sex na viongozi wa kidini kama mapadri, masheikh n.k na wao wangepata roho ya kuachana na hayo matendo yao.

Lakini sivyo, Malaya wanabaki na umaskini wao licha ya kusex na kutembea na matajiri.

Pia Malaya haohao wanabaki na umalaya wao licha ya kusex na viongozi wa kiroho.
Info!
Malaya Hafanyi Mapenzi na mtu mmoja Kumbuka Hilo kwanza, Kwahyo anaweza kufanya Na Tajiri kesho akafanya na Fukara kesho kutwa kafanya Chokora Kesho kutwa kafanya na yule..

Hivyo malaya Hupata Mixed souls Na zinamtesa Muda wote Tafuta Muda nenda kaa na Malaya muulize Kuhusu Afya yake kiakili atakuambia Jinsi ambayo anahisi Stress na Kuna WKati anaweza asijue stress hizo ni za nini..Akili yake inakuwa haijatulia (Mixed souls) na wengi wanatamani Kuacha Ila waulize kwanini hawaachi..Akili yao Inawarudisha Kule kwa kuwa Kuna Ukinzani katika Souls zilizochanganyika naye..

Napenda Kutumia Biblia, Quran na Bhagavad Gita kama Refference zangu so utanisamehe..

1 Wakorintho 6:16, 18

"Au hamjui ya kuwa yeye aliyeungwa na kahaba ni mwili mmoja naye? Maana asema, Wale wawili watakuwa mwili mmoja.

Ikimbieni zinaa. Kila dhambi aitendayo mwanadamu ni nje ya mwili wake; ila yeye afanyaye zinaa hutenda dhambi juu ya mwili wake mwenyewe."

Katika watu ambao Nakushauri usiwawekee Dhamana Ni Viongozi wa Dini nakuambia kwa sababu Nina Experience ya Nisemacho Nimewahi kuwa kiongozi wa Dini, Mchungaji wa Kanisa X kwa miaka kadhaa so Viongozi wa Dini ni watu kama wewe, Tunatukana kama wewe, Tunafanya maovu kama Wewe..Kwahyo Kiongozi wa Dini Akiwa Public na Kiongozi wa Dini Akiwa Private ni vitu Viwili tofauti..

Mimi huwa nawafananisha Viongozi wa Dini Ni Kama wagonjwa Kwenye Medical Tunaita Dissociative Identity Disorder (DID) au Multiple Personality Disorder..

Anao uwezo wa Kubadilika Na ukashangaa Kama sio yeye kuna personality anayo ivaa akiwa Public na nyingine akiwa Private..

Na Kingine Material Accumulation au Material Possesion Au Fedha huwa sio Kitu kinachoweza Kubebwa Dharma kwenye Roho au Kwenye Nafsi ni kitu kilicho kwenye Only Physical tu..

Na katika roho na Nafsi wote Tuko level sawa..
Umewahi kufanya Astral Projection???
 
Vipi wale wanaosex na condom connection inakuwa vipi hapo?

Au ndio mnakuwa connected partially na sio fully?

Sina hakika kwa kuthibitisha, ila nishawahi kusikia baadhi kwa mwanaume kudai akilala na demu fulani anapata bahati

Isivyo bahati sijawahi kusikia mdada akisema akilala na mwanaume fulani anapata bahati
 
Info!
Malaya Hafanyi Mapenzi na mtu mmoja Kumbuka Hilo kwanza, Kwahyo anaweza kufanya Na Tajiri kesho akafanya na Fukara kesho kutwa kafanya Chokora Kesho kutwa kafanya na yule..

Hivyo malaya Hupata Mixed souls Na zinamtesa Muda wote Tafuta Muda nenda kaa na Malaya muulize Kuhusu Afya yake kiakili atakuambia Jinsi ambayo anahisi Stress na Kuna WKati anaweza asijue stress hizo ni za nini..Akili yake inakuwa haijatulia (Mixed souls) na wengi wanatamani Kuacha Ila waulize kwanini hawaachi..Akili yao Inawarudisha Kule kwa kuwa Kuna Ukinzani katika Souls zilizochanganyika naye..

Napenda Kutumia Biblia, Quran na Bhagavad Gita kama Refference zangu so utanisamehe..

1 Wakorintho 6:16, 18

"Au hamjui ya kuwa yeye aliyeungwa na kahaba ni mwili mmoja naye? Maana asema, Wale wawili watakuwa mwili mmoja.


Ikimbieni zinaa. Kila dhambi aitendayo mwanadamu ni nje ya mwili wake; ila yeye afanyaye zinaa hutenda dhambi juu ya mwili wake mwenyewe."

Katika watu ambao Nakushauri usiwawekee Dhamana Ni Viongozi wa Dini nakuambia kwa sababu Nina Experience ya Nisemacho Nimewahi kuwa kiongozi wa Dini, Mchungaji wa Kanisa X kwa miaka kadhaa so Viongozi wa Dini ni watu kama wewe, Tunatukana kama wewe, Tunafanya maovu kama Wewe..Kwahyo Kiongozi wa Dini Akiwa Public na Kiongozi wa Dini Akiwa Private ni vitu Viwili tofauti..

Mimi huwa nawafananisha Viongozi wa Dini Ni Kama wagonjwa Kwenye Medical Tunaita Dissociative Identity Disorder (DID) au Multiple Personality Disorder..

Anao uwezo wa Kubadilika Na ukashangaa Kama sio yeye kuna personality anayo ivaa akiwa Public na nyingine akiwa Private..

Na Kingine Material Accumulation au Material Possesion Au Fedha huwa sio Kitu kinachoweza Kubebwa Dharma kwenye Roho au Kwenye Nafsi ni kitu kilicho kwenye Only Physical tu..

Na katika roho na Nafsi wote Tuko level sawa..
Umewahi kufanya Astral Projection???
Lakini pia watu wengi sana hasa wanandoa wanaume huchepuka na kufanya sex na michepuko yao.

Lakini bado wameungana na wake zao wa ndoa kimwili, kihisia na kiakili.

Na wengi husema huchepuka kwa tamaa za kimwili tu, Lakini hisia, akili na saikolojia yao yote ipo kwa wake zao wa ndoa.

Sasa wewe unathibitisha vipi kwamba sex huunganisha watu kiakili na kihisia?

Wakati kuna wanaume wengi tu wanachepuka na kusex na wanawake wengi ila moyo, akili na hisia zao zimebaki kwa wake zao.
 
Vipi wale wanaosex na condom connection inakuwa vipi hapo?

Au ndio mnakuwa connected partially na sio fully?

Sina hakika kwa kuthibitisha, ila nishawahi kusikia baadhi kwa mwanaume kudai akilala na demu fulani anapata bahati
Hahaha Connection sio kutkana Sehemu zikikutana..Comnection ni ile Mind inavyotulia na yake inavyotulia Kuvita Hisia na hatimaye kumaliza..Kuna ile hisia Ambayo huwezi kuielezea na kwa pamoja mwanamke naye huwa hawezi kuielezea Na hiyo hisia inapokuwa imefika Peak ndo connection hufanyika
Isivyo bahati sijawahi kusikia mdada akisema akilala na mwanaume fulani anapata bahati
Hata wanawake pia Husema..
Alipokuwa na Mwanaume fulani mambo yake yalienda sana na alifanya hivi na vile
 
Lakini pia watu wengi sana hasa wanandoa wanaume huchepuka na kufanya sex na michepuko yao.

Lakini bado wameungana na wake zao wa ndoa kimwili, kihisia na kiakili.

Na wengi husema huchepuka kwa tamaa za kimwili tu, Lakini hisia, akili na saikolojia yao yote ipo kwa wake zao wa ndoa.

Sasa wewe unathibitisha vipi kwamba sex huunganisha watu kiakili na kihisia?

Wakati kuna wanaume wengi tu wanachepuka na kusex na wanawake wengi ila moyo, akili na hisia zao zimebaki kwa wake zao.
Unawezaje kuthibitisha kuhusu Hisia Za kimapenzi na Moyo Wa upendo kutokana na Maneno ya mtu..

Hisia haithibitishwi kwa kuongea au mimi kukwambia kuwa Nina hisia na Fulani..

Its More of Psychs Kuliko Physical maybe kipindi anasema Hayo maneno tungempima kwa Polygraph au GSR bhasi ungegundua anayosema huenda sio kweli..
 
Unawezaje kuthibitisha kuhusu Hisia Za kimapenzi na Moyo Wa upendo kutokana na Maneno ya mtu..

Hisia haithibitishwi kwa kuongea au mimi kukwambia kuwa Nina hisia na Fulani..

Its More of Psychs Kuliko Physical maybe kipindi anasema Hayo maneno tungempima kwa Polygraph au GSR bhasi ungegundua anayosema huenda sio kweli..
Vipi wale watu ambao wakati anasex na mtu anavuta hisia za mtu mwingine ambaye kiuhalisia hayupo hapo physically, Lakini ana assume ndio huyo anayefanya nae sex kwa muda huo?

Kama kweli sex inaunganisha watu wawili kihisia, Kwa nini mtu avute hisia za mtu mwingine ambaye kiuhalisia hasex naye hapo?

Kama kweli sex inaunganisha watu wawili "kihisia" wakisex kama unavyodai, Kwa nini mtu hapati hisia za mtu huyohuyo anaye sex naye kwa muda huohuo mpaka avute hisia za mtu mwingine ambaye hayupo?
 
Ingekuwa sex inaunganisha watu wawili kihisia, kiakili na kiroho kama unavyodai,

Malaya wote wanao sex na matajiri wangepata akili za kitajiri.

Malaya wote wanao sex na viongozi wa kidini kama mapadri, masheikh n.k na wao wangepata roho ya kuachana na hayo matendo yao.

Lakini sivyo, Malaya wanabaki na umaskini wao licha ya kusex na kutembea na matajiri.

Pia Malaya haohao wanabaki na umalaya wao licha ya kusex na viongozi wa kiroho.
wanakuza mambo. sex is sex. mengine ni imani zisizo na uthibitisho
 
Back
Top Bottom