Sex is Gateway to your soul kuwa makini

Sex is Gateway to your soul kuwa makini

Mboneko Yupi Huyu Bwana Mdogo Kataruga Verus..
😅😅🤣🤣
Kama ni Huyo Mtoto sana Kamaliza Med school namuona Bhana 🤣🤣
Hahah sijui jina la pili ila nakumbuka wakati Prof.Magori anaondoka alibaki Prof.Ngassapa, Dr.Jane wakati katoka Japan, na Mboneko.

Enzi zile ofisi yako iko huku inapakana na seng'enge za Azania.
 
Nishafanya hivyo ika backfire saivi labda nijaribu kukaa miaka 2 no sex, no masturbation nione itakavyokuwa saivi sirudii kabisa nikumwa nangangana hivyo hivyo
Ndio maana nimekwambia change your Habitat maana hapo ulipo hama hamia sehemu nyingine kisha fanya replacements kuna trigger hua inakupa signal ndio una mastabet kabla huja-kesha out kwa replace na kitu kingine unachopenda mfano kupiga gitaa au piano au kupiga ngoma au kusali ule muda ambao trigger inakua kwenye finger ingia ibadani utakua umefanya replacement na taratibu utajikuta unaacha hadi unazoea sio ugonjwa eti usipomwaga manii utaugua sio kweli na kingine manii yatatolewa yenyewe na mwili bila wewe kushikabolo
 
Vipi wale wanaosex na condom connection inakuwa vipi hapo?

Au ndio mnakuwa connected partially na sio fully?

Sina hakika kwa kuthibitisha, ila nishawahi kusikia baadhi kwa mwanaume kudai akilala na demu fulani anapata bahati

Isivyo bahati sijawahi kusikia mdada akisema akilala na mwanaume fulani anapata bahati
Kukula ni kukula tu 🤒
 
Ndio maana nimekwambia change your Habitat maana hapo ulipo hama hamia sehemu nyingine kisha fanya replacements kuna trigger hua inakupa signal ndio una mastabet kabla huja-kesha out kwa replace na kitu kingine unachopenda mfano kupiga gitaa au piano au kupiga ngoma au kusali ule muda ambao trigger inakua kwenye finger ingia ibadani utakua umefanya replacement na taratibu utajikuta unaacha hadi unazoea sio ugonjwa eti usipomwaga manii utaugua sio kweli na kingine manii yatatolewa yenyewe na mwili bila wewe kushikabolo
Naam naam Shukran mkuu mi kinachonifanya nifanye hivyo ni comfort zone za mara moja moja ila saivi acha nitafute hobby kwanza nishaipata hiyo najua itanisaidia sana tu
 
Ukipata wasaa elezea na BAO LA USINGIZINI kwa hao Taoist & Daoistm linamaanisha nini?
Mkuu leta maelezo ya BAO LA USINGIZI tupe elimu lina nguvu gani
Hii Ni mada Ngumu Sana tena Hili swali linaonyesha Wewe Ni mmoja wa Taoist au Daoist..

Japo Mimi sio Tao ila Nitakueleza Kwa jinsi navyojua Kama Nitakosea Wale wa Tao watanirekebisha..

Kwa wale wa Taoism Huwa kwanza wanaamin Ukipata Bao usiku basi kunafanyika Balance kati ya Qi (Vital energy from semen iliyokomaa) na Jing (Ambayo ni semen bado haijakomaa ambayo Inachakatwa Kuwa Qi)..

Msingi Mkubwa Wa Alchemy (Sexual.Alchemy kwa Taoism wao ni Kucultivate Qi (ambayo.Huesabia kama Nguvu ya Uhai Vital Energy)..
Kwahyo wanaamini Lazma Wafanye Cultivation ya Jing to Qi (Na kupata Qi Safi kabisa) bila kuwa na Accumulation ya Jing...

Ambayo Hij dhana ni tifauti na Wana Alchemy wengine kama Gnosis Kaballah ,Freemason, Illuminati na Wengine na Ni kinyume kabisa na Wale wazee Wa NOFAP..

So From Taoist point of view, Bao la Usingizini is just a not- yet- purified qi grasping shen (" spirit") as a means ya Ku attain its goal .
as an individual had taken a lump of qi from the universe so as to be born and living as an individual , so universe ndo Huwa eager to take it back secretly (from his dream ).

So , ili kupatikane ile balance always iwe ina flow of qi , so ili the universe isiwe in a status of lack of qi

Sijui kama umenielewa
 
Sasa kama akili inaweza kuhadaiwa, Utasemaje kwamba ukisex na mtu unaungana naye kiakili?

Wakati hapo wala hujaungana naye kiakili umehadaa akili kwa kuvuta hisia za mtu mwingine?

Kama kweli ukisex na mtu unaungana naye kiakili na kihisia, Kwa nini uhadae akili au kwa nini uvute hisia za mtu mwingine kuhadaa akili?

Kama kweli ukisex na mtu unaungana naye kiakili na kihisia, Kwa nini Akili zisiungane automatically pasipo kuhitaji kuhadaa akili na kuvuta hisia za mtu mwingine?
Kuna Kitu kidogo sana tumeshindwa Kuelewana Thats why kingereza Huwa ni chepesi kuelezea kuliko Kiswahili..

Niliposema Kuungana Sijamaanisha neno Combine..Ila nina maanisha Ku aligns..

Ili Kufuli liweze Kufunguka Ni lazima zile chuma Za Ndani ziweze Ku aligns in such a way that itafanana na Funguo husika isipofanana Na Ukailazimisha na Ikafungua Kuna lugha huwa wanatumia kuwa imeto....

Maana yake imeilazimisha lakini.mwisho wa siku Kumetokea Alignment ya chuma Za Ndani Na Gate limefunguka.. Haina maana kwamba imekuwa Combine ila imekuwa Aligns..

So.unaporuhusu akili Ifanye Alignments ya kufungua Gate la souls yaani Hisia Hapo ndo huwa Kosa linapoanza
 
Hii Ni mada Ngumu Sana tena Hili swali linaonyesha Wewe Ni mmoja wa Taoist au Daoist..

Japo Mimi sio Tao ila Nitakueleza Kwa jinsi navyojua Kama Nitakosea Wale wa Tao watanirekebisha..

Kwa wale wa Taoism Huwa kwanza wanaamin Ukipata Bao usiku basi kunafanyika Balance kati ya Qi (Vital energy from semen iliyokomaa) na Jing (Ambayo ni semen bado haijakomaa ambayo Inachakatwa Kuwa Qi)..

Msingi Mkubwa Wa Alchemy (Sexual.Alchemy kwa Taoism wao ni Kucultivate Qi (ambayo.Huesabia kama Nguvu ya Uhai Vital Energy)..
Kwahyo wanaamini Lazma Wafanye Cultivation ya Jing to Qi (Na kupata Qi Safi kabisa) bila kuwa na Accumulation ya Jing...

Ambayo Hij dhana ni tifauti na Wana Alchemy wengine kama Gnosis Kaballah ,Freemason, Illuminati na Wengine na Ni kinyume kabisa na Wale wazee Wa NOFAP..

So From Taoist point of view, Bao la Usingizini is just a not- yet- purified qi grasping shen (" spirit") as a means ya Ku attain its goal .
as an individual had taken a lump of qi from the universe so as to be born and living as an individual , so universe ndo Huwa eager to take it back secretly (from his dream ).

So , ili kupatikane ile balance always iwe ina flow of qi , so ili the universe isiwe in a status of lack of qi

Sijui kama umenielewa
Ongeza nyama mkuu hii bado skeleton yaan hii elimu ni pana mno halafu ume-outline tu na ku-mention ongeza maelezo kidogo hapo universe inachukuaje energy yako ukiwa umelala na nini faida au hasara za kuchukuliwa hio energy na universe?
 
Back
Top Bottom