PSL god
JF-Expert Member
- Nov 18, 2023
- 8,435
- 6,476
Eeh mkuu sasa ubaya ukiwa na social media app kama ig, twitter, fb hivi vitu utaviona sana mwisho wa siku unapata ushawishi mbayaHii si ndio ile Burudani kwa Wote? Ligi za Mabingwa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eeh mkuu sasa ubaya ukiwa na social media app kama ig, twitter, fb hivi vitu utaviona sana mwisho wa siku unapata ushawishi mbayaHii si ndio ile Burudani kwa Wote? Ligi za Mabingwa?
Ndo maana Nikasema wewe utakuwa Taoist 🤣🤣Ongeza nyama mkuu hii bado skeleton yaan hii elimu ni pana mno halafu ume-outline tu na ku-mention ongeza maelezo kidogo hapo universe inachukuaje energy yako ukiwa umelala na nini faida au hasara za kuchukuliwa hio energy na universe?
Yaan unajua ntakupa mfano mwili wa Mwanamke sijui umeumbajwe ila kuna tofauti ya kumuona Mwanamke akiwa hivyo kwenye picha na akiwa hivyo face to face yaan akiwa mbele, ntakupa mfano kuna sehemu nilikua natembea nipo sawa tu ila kwa mbele akakurupa mama au niseme lishangazi toka kichakani kukojoa yule shangazi alikua amejazia sana mapaja meupeeee yaan amenona kiasi cha kushanga sasa akiwa anachomoka ndio alikua anavaa chupi kwa hio kwenye kuipandisha nikaona each & everything yaan km kuna likitu liliniingia nikawa natamani kwenda kumuimbisha ila nikalituliza maana ule ulikua mtego abdallah chini huku akalalamika weee nikamwambia weee tuliaEeh mkuu sasa ubaya ukiwa na social media app kama ig, twitter, fb hivi vitu utaviona sana mwisho wa siku unapata ushawishi mbaya
Hahaha!Yaan unajua ntakupa mfano mwili wa Mwanamke sijui umeumbajwe ila kuna tofauti ya kumuona Mwanamke akiwa hivyo kwenye picha na akiwa hivyo face to face yaan akiwa mbele, ntakupa mfano kuna sehemu nilikua natembea nipo sawa tu ila kwa mbele akakurupa mama au niseme lishangazi toka kichakani kukojoa yule shangazi alikua amejazia sana mapaja meupeeee yaan amenona kiasi cha kushanga sasa akiwa anachomoka ndio alikua anavaa chupi kwa hio kwenye kuipandisha nikaona each & everything yaan km kuna likitu liliniingia nikawa natamani kwenda kumuimbisha ila nikalituliza maana ule ulikua mtego abdallah chini huku akalalamika weee nikamwambia weee tulia
Hapo upo sahihi mkuu halafu wewe umenijuaje kirahisi hivyo?Ndo maana Nikasema wewe utakuwa Taoist 🤣🤣
Sasa Taoism wanachokiamini sio kwangu mimi sio tu kukifanya Hata kukifikiria Siruhusiwi taoist ana ruhusiwa Kupunguza Jing kulingana na kiwango ila Baadhi ya Schools Of thought hawaruhusiwi kabisa hata kujaribu Kutoa hata chembe..
Hiyo ni shule Pana sana kuhus Jing na Qi..
Mwishoni tutaingia Kwenye Ying na Yang tupotelee kabisa huko huko 🤣🤣
Sasa ndio hivyo pdidy anapita nao na wewe upo nae ghorofani?Hahaha!
Hata mimi leo nimeenda kwa mangi kununua karanga na juisi za bakhresa kulikuwa na kiti muuza duka ni mmama mweupe ana mitako hivyo hivyo eti kusimama anapandisha dera juu weeeeeh nikasema Mungu wangu uzuri nilikuwa nimetoka kushtua hivyo sikushtuka sana nikapotezea tu ila ningekuwa na nyege za miezi nane mmmh ningeimbisha asee
Ukishakuwa Kwenye Hizi Mambo kwa muda mrefu mtu akiongea kitu chochote unajua kabisa Huyu anatoka kwenye Upande upi na wala haikupi shida kugundua na Ndo kitu Pekee kinachotutofautisha na watu wa Dini..Hapo upo sahihi mkuu halafu wewe umenijuaje kirahisi hivyo?
Hapo upo sahihi mkuu ila pale kwenye BAO LA USINGIZI elezea tena kidogo kwa undani wape elaboration kwa undani kidogo jinsi inavyokua usiingie kwenye Yin & Yang ila zungukia kwenye Jing, Qi & ShenUkishakuwa Kwenye Hizi Mambo kwa muda mrefu mtu akiongea kitu chochote unajua kabisa Huyu anatoka kwenye Upande upi na wala haikupi shida kugundua na Ndo kitu Pekee kinachotutofautisha na watu wa Dini..
Kwa sababu unaweza kumjua Mtu bila hata ya yeye kuongea Chochote unajua kwa kumuangalia tu kwahyo unaweza kuandaa njia za Upendo hata kama Ataonyesha chuki hasa..
Kingine Mimi nilikuwa mfuasi sana mwanzoni na nilikuwa namsoma sana na Kumuangalia Youtube mwalimu wenu yule Mantak Chia..
Huyu jamaa ana elimu Kubwa sana katika Taoist nahisi wengi sana..
Grammy zinatokea wapi? Kwa Pdidy
Kwa watu wawili wasio na hisia zozote za kimapenzi wakisex kwa tamaa zao tu hiyo alignment inatokea vipi?Kuna Kitu kidogo sana tumeshindwa Kuelewana Thats why kingereza Huwa ni chepesi kuelezea kuliko Kiswahili..
Niliposema Kuungana Sijamaanisha neno Combine..Ila nina maanisha Ku aligns..
Ili Kufuli liweze Kufunguka Ni lazima zile chuma Za Ndani ziweze Ku aligns in such a way that itafanana na Funguo husika isipofanana Na Ukailazimisha na Ikafungua Kuna lugha huwa wanatumia kuwa imeto....
Maana yake imeilazimisha lakini.mwisho wa siku Kumetokea Alignment ya chuma Za Ndani Na Gate limefunguka.. Haina maana kwamba imekuwa Combine ila imekuwa Aligns..
So.unaporuhusu akili Ifanye Alignments ya kufungua Gate la souls yaani Hisia Hapo ndo huwa Kosa linapoanza
Ni Vigumu Sana Mtu kusex Bila kuwa na Hisia...Kwa watu wawili wasio na hisia zozote za kimapenzi wakisex kwa tamaa zao tu hiyo alignment inatokea vipi?
To what extent majibu ya Polygraph huwa ni sahihi ?Unawezaje kuthibitisha kuhusu Hisia Za kimapenzi na Moyo Wa upendo kutokana na Maneno ya mtu..
Hisia haithibitishwi kwa kuongea au mimi kukwambia kuwa Nina hisia na Fulani..
Its More of Psychs Kuliko Physical maybe kipindi anasema Hayo maneno tungempima kwa Polygraph au GSR bhasi ungegundua anayosema huenda sio kweli..
Kama mpimaji ni Bora na mzoefu we Expect Majibu yatakuwa 95% Accurate..To what extent majibu ya Polygraph huwa ni sahihi ?
Nyege tu mkuu, binadamu tunapendaga kufanya mambo ya kawaida kwa viumbe hai kuwa magumu yanapotuhusu. Yaani mtu kashikwa na minyege yake, kaenda kakubaliana na mwanamke huko wakapandana kuna tofauti gani na ng'ombe, mbuzi, mbwa, nzi wanapopandana? Labda useme kwa kuwa wao nyege zao kwa jike ni mpaka awe kwenye heat ili wazaane wakati binadamu zinakuja kwa ajili ya starehe.Ni Vigumu Sana Mtu kusex Bila kuwa na Hisia...
Unless Tunaongea Nadharia tukubaliane
Hahaha Kwani Nye** Mkuu sio Hisia..Nyege tu mkuu, binadamu tunapendaga kufanya mambo ya kawaida kwa viumbe hai kuwa magumu yanapotuhusu. Yaani mtu kashikwa na minyege yake, kaenda kakubaliana na mwanamke huko wakapandana kuna tofauti gani na ng'ombe, mbuzi, mbwa, nzi wanapopandana? Labda useme kwa kuwa wao nyege zao kwa jike ni mpaka awe kwenye heat ili wazaane wakati binadamu zinakuja kwa ajili ya starehe.
Ni hisia, ila ni hisia kama kiu ya pombe, maji, sigara n.k Inaisha ukipata huduma itakayokupelekea upige kabao kako. Ndo maana kuna wanaojichua na wakimaliza inaondoka. Hawa nao wanaambiwagwa kuwa ni mbaya kiroho sababu wanafungua milango gani sijui ila kuna uwezekano ni complication zetu tu kama ilivyo kawaida yetu.Hahaha Kwani Nye** Mkuu sio Hisia..
Tena Ili uwe salama bhasi weka Nye** aside kabisa maana Unaweza kujikuta Umetembea na Yeyeto