Sex is Gateway to your soul kuwa makini

Sex is Gateway to your soul kuwa makini

Wameanza Kulithibitisha kutumia Scientific studies japo mpaka sasa bado zinaendelea
Binafsi naona kama hizi mambo zimeshepiwa na dini tu ila kuwe na kaustaabu fulani ,kwa sababu kabla ya dini kuna jamaii za watu hasa wa Norway 🇳🇴 walikua wanafanya ngono tu na maisha yalienda ,pia hata roma ya kale ilikua ni utamaduni tu na walitawala karibu dunia nzima.
 
Humu mna mada zinazozungumza hili japo kila mmoja kaelezea kwa namna anavyojua yeye ila hizi mada zimenijenga sana juu ya kuheshimu mahusiano yangu.

Hili jambo nilili-experience mwenyewe miaka 16 nyuma kipindi bado nafanya fanya ujana,kuna demu mmoja nilikuwa na mahusiano nae na nilikuwa nimeshakaa nae faragha mara mbili lakini mara zote nikitoka pale lazima nipatwe na tatizo,either nitapoteza cash kiasi kikubwa,nitapoteza mali ya mtu au nitampa mtu pesa mwisho ananiruka fut mia kwamba hatujawahi kuonana yaani alimradi vurugu.

Siku hiyo funga kazi nimemuita gheto jumapili nakazana kupiga show mara simu inaita,mara ya kwanza mara ya pili mara ya tatu nikaona nikapokee kupokea anapiga simu jamaa yangu jana yake tulipiga deal kumbe kimewaka ikaonekana tuliuza mali ya wizi so tunatafutwa jamaa ananiambia jifiche utakavyojificha ukikamwatwa usitutaje hamu ikaisha nikamruhusu aondoke baadae nikajisemea nimpigie jamaa yangu tuende beach (Coco) kipindi hicho naishi Sinza Mori akaniambia tukutane pale Bamaga kufika akaniambia bwana endesha chuma sijisikii vizuri ile tumebadilishana upande tu kwamba huyu ahamie huku huyu ahamie kule ile namalizia kufunga mkanda niweke D mara pembeni inapaki road patrol imejaa traffic kosa nimepita taa nyekundu.

Nikawaambia wazee mbona ndiyo kwanza nimekabidhiwa usukani na mwenzangu pia upande mnaosema tumetenda kosa siyo upande gari ilikotokea wakasema nabishana na mamlaka wakanipiga mabanzi kama mtoto kisha huyoo mpaka Mabatini police station pale wakasema huyu panapomfaa ni Oysterbay kilichoniokoa pale nilikuwa na mtu but still nililala nikatoka kesho yake mchana,haya mambo yapo aisee,au kuna Ile mtu anaoa anaanza kupoteza mali mwisho anapoteza na kazi yenyewe.
 
Binafsi naona kama hizi mambo zimeshepiwa na dini tu ila kuwe na kaustaabu fulani ,kwa sababu kabla ya dini kuna jamaii za watu hasa wa Norway 🇳🇴 walikua wanafanya ngono tu na maisha yalienda ,pia hata roma ya kale ilikua ni utamaduni tu na walitawala karibu dunia nzima.
Tatizo lenu wapinga dini kila kitu mnakichukulia siyo cha kawaida kwa sababu ya hizo dini,hii ni natural ndiyo maana hata wewe unayejiita atheist ukigongewa demu wako utakuja hapa unalia.

Hao unaosema wanorwey hizo ngono walikuwa wanafanya randomly au unakuta kila mtu ana mwanamke wake anashiriki nae hicho kitendo kwa siku maalumu iliyopangwa?nakumbuka kusoma mahali kuna nchi ina siku ya ngono duniani nahisi ni hawa.
 
mr naomba kuuliza nitawezaje kufunga mageti yote ambayo nimefungua

Pale nilipo sex na wanawake tofauti

mpaka sasa nina umri wa 26 nimewahi sex na wanawake 5 tu na nyeto kidogo

lakini mpaka sasa nimeacha kabisa mambo ya sex I feel energetic na nisie na mawazo as before but nafeel kama kuna kitu hakipo sawa hasa kwenye maswala ya maendeleo

nifanyaje nifunge mageti mkuu
 
Humu mna mada zinazozungumza hili japo kila mmoja kaelezea kwa namna anavyojua yeye ila hizi mada zimenijenga sana juu ya kuheshimu mahusiano yangu.

Hili jambo nilili-experience mwenyewe miaka 16 nyuma kipindi bado nafanya fanya ujana,kuna demu mmoja nilikuwa na mahusiano nae na nilikuwa nimeshakaa nae faragha mara mbili lakini mara zote nikitoka pale lazima nipatwe na tatizo,either nitapoteza cash kiasi kikubwa,nitapoteza mali ya mtu au nitampa mtu pesa mwisho ananiruka fut mia kwamba hatujawahi kuonana yaani alimradi vurugu.

Siku hiyo funga kazi nimemuita gheto jumapili nakazana kupiga show mara simu inaita,mara ya kwanza mara ya pili mara ya tatu nikaona nikapokee kupokea anapiga simu jamaa yangu jana yake tulipiga deal kumbe kimewaka ikaonekana tuliuza mali ya wizi so tunatafutwa jamaa ananiambia jifiche utakavyojificha ukikamwatwa usitutaje hamu ikaisha nikamruhusu aondoke baadae nikajisemea nimpigie jamaa yangu tuende beach (Coco) kipindi hicho naishi Sinza Mori akaniambia tukutane pale Bamaga kufika akaniambia bwana endesha chuma sijisikii vizuri ile tumebadilishana upande tu kwamba huyu ahamie huku huyu ahamie kule ile namalizia kufunga mkanda niweke D mara pembeni inapaki road patrol imejaa traffic kosa nimepita taa nyekundu.

Nikawaambia wazee mbona ndiyo kwanza nimekabidhiwa usukani na mwenzangu pia upande mnaosema tumetenda kosa siyo upande gari ilikotokea wakasema nabishana na mamlaka wakanipiga mabanzi kama mtoto kisha huyoo mpaka Mabatini police station pale wakasema huyu panapomfaa ni Oysterbay kilichoniokoa pale nilikuwa na mtu but still nililala nikatoka kesho yake mchana,haya mambo yapo aisee,au kuna Ile mtu anaoa anaanza kupoteza mali mwisho anapoteza na kazi yenyewe.
Duuh ndo maana sitaki ujinga kabisa saivi
 
Umenikumbusha Kitu 😟😟
Prof. Jacob Mtabaji Mungu aendelee kumrehemu Sana (RIP)

CHAPUTA sio sex 😅😅🤣
Kuna tofauti kubwa sana kati ya sex na masturbation
Mwanaume aliyekamilika hata afanye masturbation lazima hamu ya sex na mwanamke iwe palepale

Ukifanya sex na mwanamke kuna-hali flani ya kiroho unaiona sio ya kawaida kama kuna chaos ndani ya nafsi yako mtu ambaye hajazoea kufanya sex na wanawake wengi siku akichanganya kuna hali flani ya chaos nafsini kwake inamtesa
 
mr naomba kuuliza nitawezaje kufunga mageti yote ambayo nimefungua

Pale nilipo sex na wanawake tofauti

mpaka sasa nina umri wa 26 nimewahi sex na wanawake 5 tu na nyeto kidogo

lakini mpaka sasa nimeacha kabisa mambo ya sex I feel energetic na nisie na mawazo as before but nafeel kama kuna kitu hakipo sawa hasa kwenye maswala ya maendeleo

nifanyaje nifunge mageti mkuu
Kuna vitu vya Kufanya
 
Tatizo lenu wapinga dini kila kitu mnakichukulia siyo cha kawaida kwa sababu ya hizo dini,hii ni natural ndiyo maana hata wewe unayejiita atheist ukigongewa demu wako utakuja hapa unalia.

Hao unaosema wanorwey hizo ngono walikuwa wanafanya randomly au unakuta kila mtu ana mwanamke wake anashiriki nae hicho kitendo kwa siku maalumu iliyopangwa?nakumbuka kusoma mahali kuna nchi ina siku ya ngono duniani nahisi ni hawa.
Nadharia ni nyingi tu , wala hazina uthibitisho wowote siku zikithibitika hakuna atakae bisha.
 
Ingekuwa sex inaunganisha watu wawili kihisia, kiakili na kiroho kama unavyodai,

Malaya wote wanao sex na matajiri wangepata akili za kitajiri.

Malaya wote wanao sex na viongozi wa kidini kama mapadri, masheikh n.k na wao wangepata roho ya kuachana na hayo matendo yao.

Lakini sivyo, Malaya wanabaki na umaskini wao licha ya kusex na kutembea na matajiri.

Pia Malaya haohao wanabaki na umalaya wao licha ya kusex na viongozi wa kiroho.
Malaya ni mtu yoyote anayefanya ngono bila kuoa au kuolewa au anayependwa kupigwa miti Sasa usituletee kwamba unajua sana biblia ningekutukana ila nimekuona mjingq
 
Back
Top Bottom