Manyanza
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 16,464
- 35,629
Kukamuliwa au kuzikamuwa ? 🤣🤣🤣Nitakuwa naenda kukamuliwa kabla hazijaanza kumwagika, ngoja niandae kikombe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kukamuliwa au kuzikamuwa ? 🤣🤣🤣Nitakuwa naenda kukamuliwa kabla hazijaanza kumwagika, ngoja niandae kikombe
Nimemaanisha hivyohivyoKukamuliwa au kuzikamuwa ? 🤣🤣🤣
Mawazo ya mara kwa mara (Affirmations) huingia kwenye subconsious na Huweka Uthubutu wa Hicho kitu Kuna energy ambayo Huwa Inatengenezwa Nje ya mwili kwa ajili ya Kusupport hiyo affirm unayoitaja au kuiwaza mara kwa mara..Doctor!!Vipi ile hali unaona mwanamke akili inakwambia huyu ipo siku utamto..mba tu.Inapita hata miaka unashangaa kuna kitu kinawaunganisha unamkula tu kimasihara.Hii ni nini?
Yeah uko sahihi kabisaPoint is, let's not fvck around like whores. Naamini pia sex inahusisha body, mind and soul. Connection yake ni kubwa, haivunjiki kirahisi, mabalaa na mikosi related to sex iko evident, japo pia kuna wenye positive impact ukikutana nao kimwili. I once met a girl, we did once, that week I got everything I wished. So, iko positive na negative pia.
Nakuelewa, ila Sasa kwani wewe ni Mariam mkuu?Alimpasha habari Mariam kwa alichukua huku akazipeleka huku, elewa concept
Kwa wale tunaomwaga wazungu nje hii inatuhusu nayo? Maana connection lazma mtoto wa kike ashike mimba hata kama ataitoa ila hapo mnakuwa tayari mshajiunganisha.Kwamba tendo la ndoa (kwa wanandoa)/Zinaa (Kwa wasio wanandoa) huweza kuwa njia huweza kuwa njia au mlango wa kuifikia roho yako kwa namna hama nyingine.
Watu wawili wakiwa wanashiriki tendo hilo huwa si tena wawili wanakuwa wameungana na kuwa mwili mmoja kabisa, hii inawaunganisha kimwili, Kiakili/Kihisia na kiroho, hili jambo lina siri nzito sana.
Kwa wale wasoma biblia ukipita
Waefeso 5:31-32
"Kwa sababu hiyo mwanamume atamwacha baba yake na mama yake naye atashikamana na mke wake, na hao wawili watakuwa mwili mmoja. Siri hii takatifu ni kubwa. Sasa ninasema kwa habari ya Kristo na kutaniko."
Ukiwa na mtu ambaye mnakuwa actively mnashiriki nae sex jua fika mtashare mambo mengi katika ulimwengu wa hisia na kiroho pia hata kama mtakuwa hampo karibu kwa wakati huo.
Bani Isra'il / Al Isra aya ya 32
وَلَا تَقْرَبُوا۟ ٱلزِّنَىٰٓ ۖ إِنَّهُۥ كَانَ فَٰحِشَةًۭ وَسَآءَ سَبِيلًۭا
Wala taqraboo alzzina innahu kana fahishatan wasaa sabeelan
Wala msikaribie zinaa, Hakika huo ni uchafu Mkubwa sana na njia ya Upotovu..
Hii ni kwa sababu SEX ni ibada kamili kabisa, sex ni mkataba ambao miongoni mwa makubaliano ya huo mkataba ni kuwa connected.
Hii ndio maana inakuwia ngumu kumsahau na kumtoa akilini mtu ambaye mlikuwa nae active kwenye sex hata kama ilikuwa zamani na mna muda hamjaonana, bado ataendelea kuwa kwenye mind yako.
Nguvu yeyote ya kihisia na kiroho ikiweza kumpata mmoja wenu kutokana na sababu mbalimbali iwe kutakuwa na maamuzi sahihi.
Kusababishwa na mwigine inapata upenyo na mwanya wa kuweza kumpata mwenza wake maana ameacha njia ya upenyo na wao wanamkataba wa kuwa mwili mmoja.
Sex Huconnect Moto Uliopo kwenye Miili yetu ili kuchochea nafsi Kuiacha Roho itawale..
Ndo maana Kuna Ule Usemi wa peleka Moto au Kupata Joto au Kupeana Joto watu wengi hawajui maana Yake..
Mhubiri 4:9-11
"Afadhali kuwa wawili kuliko mmoja; Maana wapata ijara njema kwa kazi yao.
Kwa maana wakianguka, mmoja wao atamwinua mwenzake; lakini ole wake aliye peke yake aangukapo, wala hana mwingine wa kumwinua!
Tena, wawili wakilala pamoja, hapo watapata moto; lakini mmoja aliye peke yake tu awezaje kuona moto?"
Wale watu wa Sexual Alchemy watanielewa Zaidi hapo..
Kuna wakati badala ya kuhangaika na matatizo yanayo kufika hiwe ni mawazo yasiyoisha, mikosi n.k.
Anza kuhangaika kuondoa ties ulizo funga na wenza wako ni lazima kutakuwa kuna hole imetengenezwa na mmoja kati ya hao uliowahi shiriki nao, bila kuondoa hizo ties utakuwa kila siku unasolve na kutafuta njia za kuwa katika hali but vitu havikomi maana still vinapata njia ya kuja kwako, vunja tie hizo kwanza.
Sex haifanyiwi nje ya mwili hufanywa ndani ya mwili, katika kuthibitisha hili ukisoma, 1Wakorinto 6:18 inaonyesha kuwa sex hufanywa ndani ya mwili kwahiyo ina direct impact katika roho yako.
Kumbuka roho na mwili haviwezi tengana hadi kifo kikufike, kwahiyo connection ambayo umeziweka na uliesex nao huweza kuondoka pale mmoja wenu atakapofariki, Otherwise vunja ties na connection zenu.
Kuna watu hujikuta wanatamani kusex au kuingiliwa na wanaume wenzao, hata inafikia kiwango mtu kuota ana msodoma mwanaume mwenzie.
Ukiangalia wewe si Gay lakini ukicheza utajikuta unafanya kweli , Swali, Kwanini?
Kuna reason nyingi zinapeleka watu kutamani mapenzi ya jinsi moja ikiwemo roho za ajabu.
Sasa kama kuna vibinti ambacho umewahi kushiriki nae amaenza kufanya au kutamani hayo mambo ile roho inayompelekea kufanya hayo inapata na inatafuta upenyo kwako pia maana kupitia huyo kuna njiaa ya kuja kwako.
View attachment 3138658
View attachment 3138659
Elewa conceptNakuelewa, ila Sasa kwani wewe ni Mariam mkuu?
Mzee wangu connection ipo km unabisha jichukue video kisha ivujishe ndio utajua kulikuwa na connection au haikuwepoKwa wale tunaomwaga wazungu nje hii inatuhusu nayo? Maana connection lazma mtoto wa kike ashike mimba hata kama ataitoa ila hapo mnakuwa tayari mshajiunganisha.
Bila hivyo swala la connections ni soga tu. Ili kuwe na soultie lazima kuwe na strong emotions baina yenu na mchanganye damu. Mtu kachomeka ili akojoe apunguze stress af akamwagia kwenye condom au nje we unaita kuna connection hapo?
Hili swala Niliwahi Kulizungumzia Hapo nyuma Kidogo..Kwa wale tunaomwaga wazungu nje hii inatuhusu nayo? Maana connection lazma mtoto wa kike ashike mimba hata kama ataitoa ila hapo mnakuwa tayari mshajiunganisha.
Bila hivyo swala la connections ni soga tu. Ili kuwe na soultie lazima kuwe na strong emotions baina yenu na mchanganye damu. Mtu kachomeka ili akojoe apunguze stress af akamwagia kwenye condom au nje we unaita kuna connection hapo?
OK mkuu, umeeleweka.Elewa concept
Nataka nijikomboe aseee sitaki utumwa mimiSasa si chupa itajaa manii itakuwa inamwagika ovyo jaman
Sio lazima ku sex daily hivyo ku abstain ni muhimu sanaNa ww kwanini ukae muda mrefu jamani, sijapenda kwa kweli
Mimi ni wako pekeyako huku unakojolea shimo hapo ndipo shida zinapoanzia😂! Kuweka committment na viapo vya ajabu ajabu ndio shida zinapoanzia ila kama unapooza rim mimi siamini kama kuna connections zozote. Demu mwenyewe kaja kukupa tobo ili umpe hela ya saluni.🤣Kuna Kitu kidogo sana tumeshindwa Kuelewana Thats why kingereza Huwa ni chepesi kuelezea kuliko Kiswahili..
Niliposema Kuungana Sijamaanisha neno Combine..Ila nina maanisha Ku aligns..
Ili Kufuli liweze Kufunguka Ni lazima zile chuma Za Ndani ziweze Ku aligns in such a way that itafanana na Funguo husika isipofanana Na Ukailazimisha na Ikafungua Kuna lugha huwa wanatumia kuwa imeto....
Maana yake imeilazimisha lakini.mwisho wa siku Kumetokea Alignment ya chuma Za Ndani Na Gate limefunguka.. Haina maana kwamba imekuwa Combine ila imekuwa Aligns..
So.unaporuhusu akili Ifanye Alignments ya kufungua Gate la souls yaani Hisia Hapo ndo huwa Kosa linapoanza
Labda akili mnemba ila sio hii inayokaa kwenye ubongo wa binadamu. Utagombana sana na watu kwa vitu vya kijinga kumbe unasumbuliwa na nyegezi Mwanza😂Utakuwa Bora sana Kwenye Kila kitu hata Akili yako itakuwa inafanya kazi vizuri sana
Unatakiwa ukae hata week mbili jamanSio lazima ku sex daily hivyo ku abstain ni muhimu sana
Hahaha Akili mnemba 🤣🤣Labda akili mnemba ila sio hii inayokaa kwenye ubongo wa binadamu. Utagombana sana na watu kwa vitu vya kijinga kumbe unasumbuliwa na nyegezi Mwanza😂