#COVID19 Seychelles: Taifa linaloongoza dunia kwa chanjo ya corona na kuzidi kupata maambukizi

#COVID19 Seychelles: Taifa linaloongoza dunia kwa chanjo ya corona na kuzidi kupata maambukizi

USSR

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2015
Posts
10,904
Reaction score
26,184
Zaidi ya wananchi 60%+ wa Seychelles wamepata chanjo ya corona huku maambukizi yakizidi kuongezeka sana zaidi hata ya Tanzania ambako hakuna hata single dose ya chanjo.

CNN wanaripoti kuwa vita ya corona ndio kwanza imeenza nabkunikumbusha kuwa magufuli alikuwa binadamu wa aina yeke maana aliyaona hata na kusema tusubili wapuuzi wa kitaifa wakamcheka .

Kuongezeka kwa ugonjwa huu kunafikirisha sana wakati dunia ikimuaga jpm huku aliyoyasema yametamalaki na leo wazungu wanakubali kuwa corona inatakiwa kuishi nayo


USSR
Screenshot_20210515-185723.jpg
Screenshot_20210515-185714.jpg
 
Jomba..tunazungumzia chanjo ya corona iliyopatikana ndani ya kipindi kisichozid hata mwaka..unajua chanjo ya polio ilichukua muda gani kupatikana..hivi watanzia wa nini vichwani mwao?

Kwani technology na ufahamu wakati wa polio ulikuwa ni huu huu leo katika zama hizi za ma 4g na 5g na maendeleo makubwa mno ya science na teknolojia?

Kwanini watanzania wengine hujiona kuwa na vya maana zaidi vichwani mwao kuliko wenzao?
 
mi naamini izi chanjo ni biashara tu ya watatu wachache,ingekua ina function kweli bac idadi ya maambukizi ingepungua sana katika izo nchi zenye maambukizi mengi
 
Point yako ni nini ewe pimbi?
point yake uyu jamaa ni kwamba izi chanjo tunapaswa kuwa nazo makini nazifanyiwe uchunguzi wa kutosha,tusifate tu mkumbo sababu wenzetu wanatumia chanjo bac na sisi tutumie HAPANA.na kinachoshangaza zaidi kwanini izo nchi zinazotumia chanjo ndo maambukizi yanazidi kuongezeka
 
Hizi chanjo hauchanjwi siku moja.
Kuna ambazo unakaa wiki kadhaa halafu unachanjwa tena na ambazo unakaa miezi kadhaa ndipo uchanjwe tena. Nyingi unachanjwa mara tatu.
Na hautakuwa protected mpaka umalize chanjo.

Vigezo kama hivi unatakiwa kuviangalia kabla haujaanzisha ibada ya wafu.
Seychelles asilimia kubwa ya watu wamepata dozi mbili za chanjo yani full dozi ndio maana hata wao wanashangaa.
 
Jomba..tunazungumzia chanjo ya corona iliyopatikana ndani ya kipindi kisichozid hata mwaka..unajua chanjo ya polio ilichukua muda gani kupatikana..hivi watanzia wa nini vichwani mwao?
Tengeneza yako au yenu sisi tunataka Pfizer kwenye Mabega yetu
Sisi ngozi nyeusi kwa kujufanya tunajua wakati ndio Laughing Stock wa Dunia
 
Tengeneza yako au yenu sisi tunataka Pfizer kwenye Mabega yetu
Sisi ngozi nyeusi kwa kujufanya tunajua wakati ndio Laughing Stock wa Dunia
mbona haujajibu hoja,unasema atengeneze yake au unataka pfizer, watu wataanza kukuzania vibaya nakuhisi labda wewe ni dalali uliyetumwa kuipromote iyo dawa kwa watanzania
 
mbona haujajibu hoja,unasema atengeneze yake au unataka pfizer, watu wataanza kukuzania vibaya nakuhisi labda wewe ni dalali uliyetumwa kuipromote iyo dawa kwa watanzania
I dont give a shait
sass2.png
 
Mimi nimeshadungwa Pfizer tokea Mwezi wa pili na niko kwenye misongamano bila barakoa nakula Maisha tu.

View attachment 1786295
Kuwa kwenye misongamano mbona sio jambo la kushangaza huku bongo au mkuu haupo Tanzania ndio maana haujui kinachoendelea huku? Ndio maana nikasema wenye kutaka hizo chanjo wajiandikishe ili waletewe chanjo za kiasi chao.
 
Back
Top Bottom