#COVID19 Seychelles: Taifa linaloongoza dunia kwa chanjo ya corona na kuzidi kupata maambukizi

#COVID19 Seychelles: Taifa linaloongoza dunia kwa chanjo ya corona na kuzidi kupata maambukizi

Kwa hiyo madhara ya chanjo kwa Israel huyaoni!? Yaani kitendo cha kuua na kuporomosha mabomu kwenye majengo ya waphalestine ya kutumika kutengeza vifaa tiba ni kitendo cha binadamu aliyesawa kutokana na chanjo!?

Hahaahaaa haa haa 😂😂😂😂😂😂!

Chatto wazima huko?
 
Chanjo ya corona haikukingi kutopata, ispokuwa inakufanya mwili upigane na corona
 
Ngojeji kitu cha India double Mutant kinaondoa mpaka watoto na vijana wabishi

Sikuongopei fungua runinga angalia India daadeki

View attachment 1786319
Kwanini ututishe na kirus cha India ina maana una maanisha kuwa Tz tuko salama hakuna corona ila hofu ni corona kutoka nje ya Tz? India tumeambiwa imekuwa hivyo ilivyo kwa sababu kuna muda walijiachia na wakawa wanakusanyana kama sisi na hayo ndio matokeo yake ila sisi toka mwaka jana tunakusanyana.
 
Kwanini ututishe na kirus cha India ina maana una maanisha kuwa Tz tuko salama hakuna corona ila hofu ni corona kutoka nje ya Tz? India tumeambiwa imekuwa hivyo ilivyo kwa sababu kuna muda walijiachia na wakawa wanakusanyana kama sisi na hayo ndio matokeo yake ila sisi toka mwaka jana tunakusanyana.
IQ zenu ni hafifu sana bado unaevolv
 
Post inatoka kwa genge moja linalolilia legacy.
IMG_20210514_135152.jpg
 
IQ zenu ni hafifu sana bado unaevolv
Onesha basi ukubwa wa IQ maana hata mimi kumwambia mtu IQ hafifu naweza pia, sasa wewe dogo onesha kuwa huna IQ hafifu.

Et unajisifu na chanjo kwamba hauogopi mikusanyiko, tatizo lenu hampo Tz ndio maana mnaropoka tu hamuelewi kinachoendelea huku.
 
Onesha basi ukubwa wa IQ maana hata mimi kumwambia mtu IQ hafifu naweza pia, sasa wewe dogo onesha kuwa huna IQ hafifu.

Et unajisifu na chanjo kwamba hauogopi mikusanyiko, tatizo lenu hampo Tz ndio maana mnaropoka tu hamuelewi kinachoendelea huku.
Ficha ukilaza wako ili wazazi wako wasiaibike
 
Jomba..tunazungumzia chanjo ya corona iliyopatikana ndani ya kipindi kisichozid hata mwaka..unajua chanjo ya polio ilichukua muda gani kupatikana..hivi watanzia wa nini vichwani mwao?
Wewe ndio usidandie tu. Corona ambayo Sar2 mwaka 2002 wakati inauwa watu kulishafanyiwa research sababu virus wa corona sio kitu kipya ila huwa kinakuja kivingine. Mwaka 2002 haikufanyiwa test sababu ilikuwa inahitaji millions ili iende katika process kibiashara haikuwa sawa kuinvest ila data zilikuwepo. Baada ya 2019 corona kuleta balaa kilichofanyika kurudia katika research ila nani ata funds? serikali zote zikachangia mamilion ya dola ile wafanye speed chanjo walifanya mikutano nchi kubwa wakukubaliana kugharamikia project hii kwa masharti wao watakuwa wanafadika wa kwanza na gharama zitarudi. Sema njia waiyopitia ni ya emergency route haikupita zile process sababu mfano wako polio haikuwa pandemic huu ugonjwa ni pandemic ikawa ni emergency. Baada ya mkutano wakabadilishana info za ugonjwa wa corona mataifa makubwa ndio maana chanjo nyingi zikatoka almost wakati mmoja.
 
Back
Top Bottom