#COVID19 Seychelles: Taifa linaloongoza dunia kwa chanjo ya corona na kuzidi kupata maambukizi

#COVID19 Seychelles: Taifa linaloongoza dunia kwa chanjo ya corona na kuzidi kupata maambukizi

Kuwa kwenye misongamano mbona sio jambo la kushangaza huku bongo au mkuu haupo Tanzania ndio maana haujui kinachoendelea huku? Ndio maana nikasema wenye kutaka hizo chanjo wajiandikishe ili waletewe chanjo za kiasi chao.
Acheni kujiambukiza Ujinga mimi nimedungwa na nimerudi Bongo Pfizer haina noma hata ukipata corona inakuwa kama mafua ya kawaida

Mnadanganyana sana muacheni Samia Suluhu ashushe mzigo wa Pfizer
 
kama upo Tanzania embu nenda kariakoo nenda ubungo nenda tandika nenda mbagala,utaona misongamano ya watu kila mtu anaendelea na biashara bila barakoa wala iyo chanjo. na maisha yanaendelea kama kawaida, na kiukweli 80% ya watanzania hakuna anaeitaka izo chanjo,10% ni wale wenye maslahi na izo chanjo wameshapokea hongo ndomana wanapiga kelele kushawishi chanjo,na 10% ni ya vihelehele kama nyinyi ambao hamna maslahi ila tu mmeumbwa ku oppose kila kitu yani ni nature yenu iyo
 
mbona sisi pia hatujadungwa chanjo yeyote tangu corona ianze na tupo kariakoo kwenye msongamano kila siku na tunakula maisha kama kawaida
Ngojeji kitu cha India double Mutant kinaondoa mpaka watoto na vijana wabishi

Sikuongopei fungua runinga angalia India daadeki

westbrookswag.png
 
Acheni kujiambukiza Ujinga mimi nimedungwa na nimerudi Bongo Pfizer haina noma hata ukipata corona inakuwa kama mafua ya kawaida

Mnadanganyana sana muacheni Samia Suluhu ashushe mzigo wa Pfizer
sasa mkuu mbona sisi hatujadungwa na tunaishi poa tuu,au sababu wewe umedungwa ndo unataka na sisi sote tudungwe acha mambo ya ajabu, we kama umedungwa tulia alafu kaa hata miezi 6 alafu angaia wewe uliyedungwa na asiyedunwa kunatofauti gani
 
Ngojeji kitu cha India double Mutant kinaondoa mpaka watoto na vijana wabishi

Sikuongopei fungua runinga angalia India daadeki

View attachment 1786319
kabla yako kuna wenzako pia walisema ivyo mwanzoni kabesa tena wakasema waafrika tutakufa kama kuku barabarani la kujiuliza tu tangu corona ianze ushawai kuona tanzani kuna watu wanahanguka barabarani hovyohovyo
 
sasa mkuu mbona sisi hatujadungwa na tunaishi poa tuu,au sababu wewe umedungwa ndo unataka na sisi sote tudungwe acha mambo ya ajabu, we kama umedungwa tulia alafu kaa hata miezi 6 alafu angaia wewe uliyedungwa na asiyedunwa kunatofauti gani
Wewe ni mgumu kuelewa unaweza kuwa ni kijana mdogo usiyekuwa na marazi sugu ila nimekuambia kuna Double Mutant inawamaliza Wahindi itaingia tu Tanzania India pia walikuwa wabishi tu ila sasa wanalia Bahati huwa haiji mara mbili
 
kabla yako kuna wenzako pia walisema ivyo mwanzoni kabesa tena wakasema waafrika tutakufa kama kuku barabarani la kujiuliza tu tangu corona ianze ushawai kuona tanzani kuna watu wanahanguka barabarani hovyohovyo
Mimi sio mtu mzembe nimejidunga Chanjo wewe kaa bila Chanjo Maisha ni mbio ndefu wasiwasi ni akili
icon_lol.gif
icon_lol.gif
 
Jomba..tunazungumzia chanjo ya corona iliyopatikana ndani ya kipindi kisichozid hata mwaka..unajua chanjo ya polio ilichukua muda gani kupatikana..hivi watanzia wa nini vichwani mwao?
Wanataka mama akosee kwenye maamuzi ya chanjo wapate ajenda.
ni mwehu tu analazimisha chanjo wakati nchi iko salama,eti achanjwe tu kisa wazungu wamechanjwa! Hovyo kabisa.
 
Wewe ni mgumu kuelewa unaweza kuwa ni kijana mdogo usiyekuwa na marazi sugu ila nimekuambia kuna Double Mutant inawamaliza Wahindi itaingia tu Tanzania India pia walikuwa wabishi tu ila sasa wanalia Bahati huwa haiji mara mbili
Ikija na inaanza na wewe maana ndo ukitakacho.si walisema maiti zitaokotwa barabarani iliishia wapi viile?
 
uyo jamaa hana mpya yani inaonekana anaombea kabisa iyo double mutant ije Tanzania ili watanzania wakomoke,dah duniani kuna watu waajabu sana
 
Ikija na inaanza na wewe maana ndo ukitakacho.si walisema maiti zitaokotwa barabarani iliishia wapi viile?
Wahenga walishasema Bahati huwa haiji mara mbili Double Mutant ya India sio mchezo
russsmug.png
 
Hizi chanjo hauchanjwi siku moja.
Kuna ambazo unakaa wiki kadhaa halafu unachanjwa tena na ambazo unakaa miezi kadhaa ndipo uchanjwe tena. Nyingi unachanjwa mara tatu.
Na hautakuwa protected mpaka umalize chanjo.

Vigezo kama hivi unatakiwa kuviangalia kabla haujaanzisha ibada ya wafu.
Hakuna chanjo tatu, ni chanjo mbili tu! Seychelles wamechanja zaidi ya asilimia 60 zinazohitajika kwa ajili ya herd immunity.
 
Magufuli was undeniably THE GREAT MAN. he did I things, no one else did like the way he tackled corona virus regime
 
Chanjo za corona zina UBORA,USALAMA na UFANISI tofauti kulingana na kampuni iliyotengeneza.
Oxford - AstraZeneca,Pfizer-BioNTech,Sputnik V,Moderna,Sinopharm-BBIBP,Johnson & Johnson,CoronaVac,Covaxin,Convidecia,Sputnik Light,Sinopharm-WIBP,EpiVacCorona,RBD-Dimer,CoviVac,QazCovid

“You really need to use high-efficacy vaccines to get that economic benefit because otherwise they’re going to be living with the disease long term,” said Raina MacIntyre, who heads the biosecurity program at the Kirby Institute of the University of New South Wales in Sydney, Australia. “The choice of vaccine matters.”

●Seychelles has seen a surge in coronavirus cases even though much of its population was inoculated with China’s Sinopharm vaccine.

●Chanjo ya PFIZER imepunguza sana mzigo wa UVIKO Uingereza.

Utafiti uliohusisha watu 170,000 baada ya kupata chanjo umeonyesha idadi ya wagonjwa kupungua kwa asilimia 75 kwa watu wenye umri kati ya miaka 80 hadi 83 ndani ya siku 35 hadi 41 baada ya kupata dozi ya kwanza.
Kasi ya maambukizi imepungua kwa asilimia 70. Idadi ya waathirika imeshuka kutoka asilimia 15.3 hadi 4.6 kwa watu 100,000 waliopimwa.

CHANZO
telegraph.co.uk April 14 2021
11:27 PM
 
Nchi inayoongoza kwa chanjo duniani ni Israel wala si Seychelles.
Kwa hiyo madhara ya chanjo kwa Israel huyaoni!? Yaani kitendo cha kuua na kuporomosha mabomu kwenye majengo ya waphalestine ya kutumika kutengeza vifaa tiba ni kitendo cha binadamu aliyesawa kutokana na chanjo!?
 
Ila habari njema ni kuwa hakuna raia aliyechanjwa aliyefariki kwa ugonjwa huo. Chanjo jaikuwakinga na maambukizi lakini imewakinga na kifo. Wamepata maambukizi ila hawajaumwa kivile!!
 
Acheni kujiambukiza Ujinga mimi nimedungwa na nimerudi Bongo Pfizer haina noma hata ukipata corona inakuwa kama mafua ya kawaida

Mnadanganyana sana muacheni Samia Suluhu ashushe mzigo wa Pfizer
Ndio nimekwambia kuhusu wabongo tunajichanganya kawaida sasa wewe na chanjo yako kuja kutamba kwamba unajichanganya kisa umedungwa chanjo sisi tutakushangaa maana kujichanganya ni kitu cha kawaida kwetu hakihitaji kuchanjwa. Sasa hapo tunachojidanganya ni nini?

Wanaotaka chanjo waandikishwe ijulikane wako wangapi ili Mama awaletee chanjo simple tu maana inawezekana kuna watu wamejifungia ndani huko kuogopa corona na waneona suluhisho ni chanjo ila sie wengine maisha ni yaleyale tu.
 
Ila habari njema ni kuwa hakuna raia aliyechanjwa aliyefariki kwa ugonjwa huo. Chanjo jaikuwakinga na maambukizi lakini imewakinga na kifo. Wamepata maambukizi ila hawajaumwa kivile!!
Kwani kuna chanjo ya corona inayozuia mtu asipate maambukizi?
 
Back
Top Bottom