Acheni kujiambukiza Ujinga mimi nimedungwa na nimerudi Bongo Pfizer haina noma hata ukipata corona inakuwa kama mafua ya kawaidaKuwa kwenye misongamano mbona sio jambo la kushangaza huku bongo au mkuu haupo Tanzania ndio maana haujui kinachoendelea huku? Ndio maana nikasema wenye kutaka hizo chanjo wajiandikishe ili waletewe chanjo za kiasi chao.
Ngojeji kitu cha India double Mutant kinaondoa mpaka watoto na vijana wabishimbona sisi pia hatujadungwa chanjo yeyote tangu corona ianze na tupo kariakoo kwenye msongamano kila siku na tunakula maisha kama kawaida
sasa mkuu mbona sisi hatujadungwa na tunaishi poa tuu,au sababu wewe umedungwa ndo unataka na sisi sote tudungwe acha mambo ya ajabu, we kama umedungwa tulia alafu kaa hata miezi 6 alafu angaia wewe uliyedungwa na asiyedunwa kunatofauti ganiAcheni kujiambukiza Ujinga mimi nimedungwa na nimerudi Bongo Pfizer haina noma hata ukipata corona inakuwa kama mafua ya kawaida
Mnadanganyana sana muacheni Samia Suluhu ashushe mzigo wa Pfizer
kabla yako kuna wenzako pia walisema ivyo mwanzoni kabesa tena wakasema waafrika tutakufa kama kuku barabarani la kujiuliza tu tangu corona ianze ushawai kuona tanzani kuna watu wanahanguka barabarani hovyohovyoNgojeji kitu cha India double Mutant kinaondoa mpaka watoto na vijana wabishi
Sikuongopei fungua runinga angalia India daadeki
View attachment 1786319
Wewe ni mgumu kuelewa unaweza kuwa ni kijana mdogo usiyekuwa na marazi sugu ila nimekuambia kuna Double Mutant inawamaliza Wahindi itaingia tu Tanzania India pia walikuwa wabishi tu ila sasa wanalia Bahati huwa haiji mara mbilisasa mkuu mbona sisi hatujadungwa na tunaishi poa tuu,au sababu wewe umedungwa ndo unataka na sisi sote tudungwe acha mambo ya ajabu, we kama umedungwa tulia alafu kaa hata miezi 6 alafu angaia wewe uliyedungwa na asiyedunwa kunatofauti gani
Mimi sio mtu mzembe nimejidunga Chanjo wewe kaa bila Chanjo Maisha ni mbio ndefu wasiwasi ni akilikabla yako kuna wenzako pia walisema ivyo mwanzoni kabesa tena wakasema waafrika tutakufa kama kuku barabarani la kujiuliza tu tangu corona ianze ushawai kuona tanzani kuna watu wanahanguka barabarani hovyohovyo
Wanataka mama akosee kwenye maamuzi ya chanjo wapate ajenda.Jomba..tunazungumzia chanjo ya corona iliyopatikana ndani ya kipindi kisichozid hata mwaka..unajua chanjo ya polio ilichukua muda gani kupatikana..hivi watanzia wa nini vichwani mwao?
Ikija na inaanza na wewe maana ndo ukitakacho.si walisema maiti zitaokotwa barabarani iliishia wapi viile?Wewe ni mgumu kuelewa unaweza kuwa ni kijana mdogo usiyekuwa na marazi sugu ila nimekuambia kuna Double Mutant inawamaliza Wahindi itaingia tu Tanzania India pia walikuwa wabishi tu ila sasa wanalia Bahati huwa haiji mara mbili
Wahenga walishasema Bahati huwa haiji mara mbili Double Mutant ya India sio mchezoIkija na inaanza na wewe maana ndo ukitakacho.si walisema maiti zitaokotwa barabarani iliishia wapi viile?
Hakuna chanjo tatu, ni chanjo mbili tu! Seychelles wamechanja zaidi ya asilimia 60 zinazohitajika kwa ajili ya herd immunity.Hizi chanjo hauchanjwi siku moja.
Kuna ambazo unakaa wiki kadhaa halafu unachanjwa tena na ambazo unakaa miezi kadhaa ndipo uchanjwe tena. Nyingi unachanjwa mara tatu.
Na hautakuwa protected mpaka umalize chanjo.
Vigezo kama hivi unatakiwa kuviangalia kabla haujaanzisha ibada ya wafu.
We jamaa ni mbishi.Nimeona CNN - hawajasema Seychelles ndiyo taifa linaloongoza kwa chanjo duniani. Hayo ni yako kama ya Simba na Yanga tu.
Kwa hiyo madhara ya chanjo kwa Israel huyaoni!? Yaani kitendo cha kuua na kuporomosha mabomu kwenye majengo ya waphalestine ya kutumika kutengeza vifaa tiba ni kitendo cha binadamu aliyesawa kutokana na chanjo!?Nchi inayoongoza kwa chanjo duniani ni Israel wala si Seychelles.
Ndio nimekwambia kuhusu wabongo tunajichanganya kawaida sasa wewe na chanjo yako kuja kutamba kwamba unajichanganya kisa umedungwa chanjo sisi tutakushangaa maana kujichanganya ni kitu cha kawaida kwetu hakihitaji kuchanjwa. Sasa hapo tunachojidanganya ni nini?Acheni kujiambukiza Ujinga mimi nimedungwa na nimerudi Bongo Pfizer haina noma hata ukipata corona inakuwa kama mafua ya kawaida
Mnadanganyana sana muacheni Samia Suluhu ashushe mzigo wa Pfizer
Kwani kuna chanjo ya corona inayozuia mtu asipate maambukizi?Ila habari njema ni kuwa hakuna raia aliyechanjwa aliyefariki kwa ugonjwa huo. Chanjo jaikuwakinga na maambukizi lakini imewakinga na kifo. Wamepata maambukizi ila hawajaumwa kivile!!