Unajua maana ya Isaka to Rusumo ? Inamaana muda wowote utasikia tumeanza Phase 3,4 na ya 5 ni Isaka to RusumoKwa kifupi , Hakuna reli inajengwa mwaka huu Tanzania ila uzinduzi utaendelea kwa muda usiojilikana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unajua maana ya Isaka to Rusumo ? Inamaana muda wowote utasikia tumeanza Phase 3,4 na ya 5 ni Isaka to RusumoKwa kifupi , Hakuna reli inajengwa mwaka huu Tanzania ila uzinduzi utaendelea kwa muda usiojilikana.
Phase 1 imewashinda sembuse hiyo ya Isaka na yakobo?Unajua maana ya Isaka to Rusumo ? Inamaana muda wowote utasikia tumeanza Phase 3,4 na ya 5 ni Isaka to Rusumo
Mwakan ndio phase isipoisha naweza nkakuelewa Ila kwa sasa tupe nafasiPhase 1 imewashinda sembuse hiyo ya Isaka na yakobo?
Unachoumia nikusikia Electric SGR capable of a bullet train😀😀😀 Pole sana.Phase 1 imewashinda sembuse hiyo ya Isaka na yakobo?
Si mkopo wa Mchina una 8% interest rate! Hapo interest rate ni chini ya asilimia 3! Lazma povu likutoke.Kwa kifupi , Hakuna reli inajengwa mwaka huu Tanzania ila uzinduzi utaendelea kwa muda usiojilikana.
Angejua ujenzi unaenda kwa kasi ya 4G ! Ikija kuisha atakuwa amebadili ID yake mala 50😀😀😀Mwakan ndio phase isipoisha naweza nkakuelewa Ila kwa sasa tupe nafasi
Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
Hapa kazi Tu !
Check out @tanzaniaportshq’s Tweet:
Unacho manisha tunakula matunda ya SGR kabla haijafika Mwanza😀😀Safii sana cargo ya kujenga pipeline ya Uganda ikiingia reli ya narrow gauge itatumika.
Swali tu. Pia wewe unaamini SGR yenu ya cargo itakua bullet train kama vilaza wengine humu wanavyoamini ama wewe umechanuka?Unajichosha
Wewe jamaa ni wa ajabu sana. Unajitungia vitu na kujijibu mwenyewe. Nani kakwambia Train yetu ni Bullet train?tuusan Pia wewe unaamini SGR yenu ya cargo itakua bullet train kama vilaza wengine humu wanavyoamini ama wewe umechanuka?