SGR Construction in Tanzania - UPDATES

SGR Construction in Tanzania - UPDATES

hehe, unaweka beam moja kwa daraja alafu unatangaza eti umefika at advance stage ya ujenzi.... kumbe uko 15% complete after 1 year 3 months!
daraja lenyewe ni la kilometers chache litakamilika july 2019! Kenya SGR phase 2A itakamilika June 2019! WTF tena hilo ndo daraja la kwanza ndani ya madaraja mengi hadi Moro.. daraja la NNP ni refu kuliko hilo la dar na limejengwa ndani ya miezi sita.....eti mvua iliaffect ujenzi, Kenya ilikua na mafuriko makali ambayo hayajawahi kushukudiwa ukanda huu kwa miaka 13, kule suswa ambako sgr inajengwa ardhi iligawanyika mara mbili katika techtonic fault line... na bado tuliendelea..
Hilo daraja la NNP lina urefu gani?
 
Tanzania electric railway is probably Africa's best# kenya sgr is a trash compared to Tz electrified sgr railway
 
hehe, unaweka beam moja kwa daraja alafu unatangaza eti umefika at advance stage ya ujenzi.... kumbe uko 15% complete after 1 year 3 months!
daraja lenyewe ni la kilometers chache litakamilika july 2019! Kenya SGR phase 2A itakamilika June 2019! WTF tena hilo ndo daraja la kwanza ndani ya madaraja mengi hadi Moro.. daraja la NNP ni refu kuliko hilo la dar na limejengwa ndani ya miezi sita.....eti mvua iliaffect ujenzi, Kenya ilikua na mafuriko makali ambayo hayajawahi kushukudiwa ukanda huu kwa miaka 13, kule suswa ambako sgr inajengwa ardhi iligawanyika mara mbili katika techtonic fault line... na bado tuliendelea..
ninachowafurahia majirani huwa mna roho nyepesi kama wanawake,hamuwezagi kuficha hisia hata kidogo.
wacha mchina awalipulie kazi,si umesikia huko beam zinaangushwa na upepo,RIP the workers.

😀😀😀upepo unaangusha beam yenye uzito wa zaidi ya tone 20,wachina acheni mchezo na pesa za wakenya aisee.
 
hehe, unaweka beam moja kwa daraja alafu unatangaza eti umefika at advance stage ya ujenzi.... kumbe uko 15% complete after 1 year 3 months!
daraja lenyewe ni la kilometers chache litakamilika july 2019! Kenya SGR phase 2A itakamilika June 2019! WTF tena hilo ndo daraja la kwanza ndani ya madaraja mengi hadi Moro.. daraja la NNP ni refu kuliko hilo la dar na limejengwa ndani ya miezi sita.....eti mvua iliaffect ujenzi, Kenya ilikua na mafuriko makali ambayo hayajawahi kushukudiwa ukanda huu kwa miaka 13, kule suswa ambako sgr inajengwa ardhi iligawanyika mara mbili katika techtonic fault line... na bado tuliendelea..

Je wajua litakuwa na intesections zinazoenda all the way to Dar port for the cargo line na litaunganishwa na berths current being expanded at Dar port? Ficha upumbavu tafadhali kaa chini ushuhudie state of the art facilities U/C!
 
ninachowafurahia majirani huwa mna roho nyepesi kama wanawake,hamuwezagi kuficha hisia hata kidogo.
wacha mchina awalipulie kazi,si umesikia huko beam zinaangushwa na upepo,RIP the workers.

😀😀😀upepo unaangusha beam yenye uzito wa zaidi ya tone 20,wachina acheni mchezo na pesa za wakenya aisee.
wonderful..!! wind blows a beam away???what a https://jamii.app/JFUserGuide the kenyans do???
 
hehe, unaweka beam moja kwa daraja alafu unatangaza eti umefika at advance stage ya ujenzi.... kumbe uko 15% complete after 1 year 3 months!
daraja lenyewe ni la kilometers chache litakamilika july 2019! Kenya SGR phase 2A itakamilika June 2019! WTF tena hilo ndo daraja la kwanza ndani ya madaraja mengi hadi Moro.. daraja la NNP ni refu kuliko hilo la dar na limejengwa ndani ya miezi sita.....eti mvua iliaffect ujenzi, Kenya ilikua na mafuriko makali ambayo hayajawahi kushukudiwa ukanda huu kwa miaka 13, kule suswa ambako sgr inajengwa ardhi iligawanyika mara mbili katika techtonic fault line... na bado tuliendelea..
Do you know wameanza kujenga daraja lini au unaropoka Tu?
 
Back
Top Bottom