Papi Chulo
JF-Expert Member
- Jun 8, 2018
- 6,260
- 7,395
ππππππAlafu upate huyu mtz ana miaka 40 na ameambiwa na ccm kuna railway ya moshi. Guy cant even take his time kugoogle small facts
Living on false hope..That thing will lack business a good one ata afadhali ya Ethiopia.First there is nothing substantial mnapeleka Rwanda Burundi ama hinterland.Two, your guys are lethargic in nature, mtajikokota hizo miaka zote 50.Sgr ya tz ilijengwa ionekane si ifanye kazi(Making a STATEMENT)Mnaongoza mechi kwa first half ila mnaongea sana. Kitu kinakuja 160Km/h. Tutakuwa na fastest train in East Africa na hilo litadumu kwa miaka siyo chini ya 50. Hayo makopo yenu ya diesel mmepaka rangi nyekundu yatakuwa kwenye museum zetu kuwafundishia watoto wetu. βTulikuwa na jirani aliuziwa mbuzi na mchina kwenye guniaβ thats 2040 history lakini
Kwanza kabisa kabla sijawaza kurekebisha chochote, naomba uanze wewe, maana hadi sasa hamna reli wala treni ya aina ya mfumo wa SGR Tanzania, huwa tunaskia kunayo inatengenezwa na Mturuki na kuna mapicha mapicha huwa mnatupia kwenye mitandao, lakini kama tujuavyo watu huwa hawatumii mapicha kusafiri.
Kuna kipindi mlitupia picha ya kichwa cha treni kimelewa gongo/changaa
Sisi ndio taifa pekee EAC ambao tunayo reli iliyojengwa kwa mfumo wa SGR na inatumika na mahesabu yake yanaridhsha hadi raha.
Kale ka Tz hata hakajafika km20.Anger as SGR Exposed for Killing Wild Animals
A shocking new report has emerged revealing details of the Standard Gauge Railway's (SGR) unknown, ugly side with...www.kenyans.co.ke
shida tupu hiziKwa tz wamiliki wa malori ndio watakuwa wahujumu wakuu wa SGR na relinzote zitakazofufuliwa, nimeota hivyo
Did you say 'electronic train'? π π π Hizi electronic train ndio zile hushikwa na kifafa na kuanguka anguka siku ya majaribio?Continue to console yourself after Chinese beat you at your game....
Every other country is building electronic trains.. ngoja mseveni aanze yake!
The only country kenya can collaborate to build smoke powered rail is Somalia!
Eti ameambiwa na ccm (sisiemu) π π π πAlafu upate huyu mtz ana miaka 40 na ameambiwa na ccm kuna railway ya moshi. Guy cant even take his time kugoogle small facts
Hatukurupuki kama KunyalandKwa tz wamiliki wa malori ndio watakuwa wahujumu wakuu wa SGR na relinzote zitakazofufuliwa, nimeota hivyo
Kama Ethiopia wana inconsistent power supply na Wana almost 6000megawats
basi sgr Tanzania kama kweli ni electric ita stall siku ya kwanza.
Dua la kuku.Kama Ethiopia wana inconsistent power supply na Wana almost 6000megawats
basi sgr Tanzania kama kweli ni electric ita stall siku ya kwanza.
hamna cha kuku hapa. tunaongea uhalisiaDua la kuku.
Dua la kuku halimpati mwewe.hamna cha kuku hapa. tunaongea uhalisia
Ni uchiz wa wazi kabisa sasa kunaaja gani ya kujenga mpya c bora utumie ya mkoroni tu.Yaani we unataka na sisi tujenge ya moshi???.. hakuna nchi inajenga railway ya moshi dunia ya leo...only in kenya!!!
watu wanaongea serious issues na wewe uko na bidii kuleta maneno ya kwenye khanga! ugonjwa wako utapona lini?Dua la kuku halimpati mwewe.
Na mimi nimeandika mambo serious.watu wanaongea serious issues na wewe uko na bidii kuleta maneno ya kwenye khanga! ugonjwa wako utapona lini?
Hakuna mlichofanya cha kujisifu Acha upimbi mwingiTatizo ni kujitutumua kuweka ya umeme bila kuzingatia mengine, bora ujenge kama tulivyofanya Kenya, uwekeze kwenye kuifanya iwe thabiti, kisha siku za usoni ndio uwaze mambo ya umeme.
Data from kibera ain't reliableKama Tz hivi na ile 1358.69MW yani 70% ya Watanzania wanatumia kuni na mkaa kea matumizi yao ya upishi 365 days in a year.[emoji23][emoji23][emoji23]
Sumu inauzwa kanunueKwanza kabisa kabla sijawaza kurekebisha chochote, naomba uanze wewe, maana hadi sasa hamna reli wala treni ya aina ya mfumo wa SGR Tanzania, huwa tunaskia kunayo inatengenezwa na Mturuki na kuna mapicha mapicha huwa mnatupia kwenye mitandao, lakini kama tujuavyo watu huwa hawatumii mapicha kusafiri.
Kuna kipindi mlitupia picha ya kichwa cha treni kimelewa gongo/changaa
Sisi ndio taifa pekee EAC ambao tunayo reli iliyojengwa kwa mfumo wa SGR na inatumika na mahesabu yake yanaridhsha hadi raha.