komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,647
Watu wa kaskazini sio wazembe, kwanza wachaga nawakubali sanaUna data zozote za maana au ni kuhusu kujaza tu usafiri kama hivi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu wa kaskazini sio wazembe, kwanza wachaga nawakubali sanaUna data zozote za maana au ni kuhusu kujaza tu usafiri kama hivi?
siku ukija kuwajua wakinga na watu wa mbea,utagundua tz huijui sawa sawa.Watu wa kaskazini sio wazembe, kwanza wachaga nawakubali sana
Hahahaha anajifanya anawajua watanzania 😅😅😀siku ukija kuwajua wakinga na watu wa mbea,utagundua tz huijui sawa sawa.
Wanaotumia Northern route sio wachagga tu, yapo makabila zaidi ya 15 kwenye hiyo mikoa ya Tanga, Kilimanjaro, Arusha, Manyara.Watu wa kaskazini sio wazembe, kwanza wachaga nawakubali sana
Ona hapa 👇 👇 👇Ahaa haa
Katika eac Tanzania ndiyo watu wanaosafiri sana. Kama unabisha angalia stand kuu za mabasi zinazojengwa nchi nzima. Pia angalia mabasi yanayotumika kusafiria mikoa yote.
Saa hii nimerudi, naamua tu ni drive au nikamate bus saafi kabisa. Halafu lami ndiyo usipime, ni mkeka tu, mikoa imeunganika, hadi raha.
Pia ukumbuke Kenya ni masikini. Usiwe tu mwepesi kuwaita wenzako masikini.
Ona hapa
👇🏽👇🏽👇🏽
Wanaotumia Northern route sio wachagga tu, yapo makabila zaidi ya 15 kwenye hiyo mikoa ya Tanga, Kilimanjaro, Arusha, Manyara.
"Mabasi yamejaa, ndege zimejaa ndio maana tumepanda train" 📹(actually na train imejaa mpaka 3rd January)
Ndege zipi hzo jomba[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wanaotumia Northern route sio wachagga tu, yapo makabila zaidi ya 15 kwenye hiyo mikoa ya Tanga, Kilimanjaro, Arusha, Manyara.
"Mabasi yamejaa, ndege zimejaa ndio maana tumepanda train" [emoji329](actually na train imejaa mpaka 3rd January)
Asante sana kw kumutoa tongo tongo mwenzakoIla route ya kulekea kaskazini kwa sasa percent kubwa ni Wachagga labda ikifuatiwa na Waarusha/Wameru! Angalia hizo video na majina utatambua kitu! Vp route ya Bukoba? Ule uwanja wetu mnautumia vizuri saahii?
Huyu Naton Jr bana...ila msijifananishe na Wachagga! Wakenya wengi mnapenda kijifananisha na Wachagga sijui kwanini? mbona msijifananishe na Wasukuma, Wahaya, Wanyakyusa au Wagogo?Asante sana kw kumutoa tongo tongo mwenzako
Watoe wapi jeuri hyo[emoji1787][emoji1787]Nchi yenu kwa mlivyo maskini hata kuitalii au kusafiri kwenda kuwasabahi ndugu zenu huwa mnashindwa, isingekua kwa Wachagga ambao kidogo wamejaribu kuwabeba mngekua hovyoo sana, wao tu ndio wana jeuri ya Kikenya, wanasafiri kwenda kwao Moshi, nyie wengine wote full msoto huko Buza.
Wala sio ki hvo, ni opinion za mtu tu..Huyu Naton Jr bana...ila msijifananishe na Wachagga! Wakenya wengi mnapenda kijifananisha na Wachagga sijui kwanini? mbona msijifananishe na Wasukuma, Wahaya, Wanyakyusa au Wagogo?
Mchagga ameajiriwa kwenye retailing? wacha upumbavu sema wamejiajiri na kuwaajiri!Wala sio ki hvo, ni opinion za mtu tu..
Km mimi wachaga nawakubali kwa sababu wanajituma hata km ni katika biashara ndogo ndogo..
Mombasa kuna wengine wameajiriwa katika maduka ya vitu wao wana retail mwisho wa siku wanapewa chao..
Ila km ni mwngine ataona haya kisa kwake anaona kazi bora ni ya serekali ukishtukizia umeamza kuota mvi..
Tanzania unaenda wapi Sasa HV kwenye safiri...ucan go no where...mabasi yamejaa..Sasa wewe unaleta utopolo gani hapaNchi yenu kwa mlivyo maskini hata kuitalii au kusafiri kwenda kuwasabahi ndugu zenu huwa mnashindwa, isingekua kwa Wachagga ambao kidogo wamejaribu kuwabeba mngekua hovyoo sana, wao tu ndio wana jeuri ya Kikenya, wanasafiri kwenda kwao Moshi, nyie wengine wote full msoto huko Buza.
Wewe huwaga ni jinga kinoma noma.Hamnaa... mabasi yanayotoka kwa wingi ni ya kwenda Moshi na pia Arusha, wao pia wana desturi za Kikenya, nyie wengine hoi full maskini.....
Sasa wabisha nini na wakati mamangu pia ana maduka ya bidhaa tofauti tofauti marikiti..Mchagga ameajiriwa kwenye retailing? wacha upumbavu sema wamejiajiri na kuwaajiri!
Mnawaajiri au wananunua wana maduka yao ya retail! wacha ujinga! leta evidence!Sasa wabisha nini na wakati mamangu pia ana maduka ya bidhaa tofauti tofauti marikiti..
Unampa mzigo ana retail au km ana hela ywakuachia ila km hana jioni mna malizana..
Bora uaminifu tu
Marikiti hawana maduka hao watu waku retail vitu, tuseme ni sawa na wamachinga ni vile wengine hawatandazi chini wanuzia kwngineMnawaajiri au wananunua wana maduka yao ya retail! wacha ujinga! leta evidence!
😅 Airtanzania from wherever to Bukoba is full booked, ni ngumu sana kiukweliIla route ya kulekea kaskazini kwa sasa percent kubwa ni Wachagga labda ikifuatiwa na Waarusha/Wameru! Angalia hizo video na majina utatambua kitu! Vp route ya Bukoba? Ule uwanja wetu mnautumia vizuri saahii?
leta evidence hata Dodoma kuna wamachinga kutoka Kenya pia!Marikiti hawana maduka hao watu waku retail vitu, tuseme ni sawa na wamachinga ni vile wengine hawatandazi chini wanuzia kwngine