Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 65,136
- 91,917
safi na Mv Victoria nayo ipo fully booked naskia! Ila TRC wanapaswa kununua mabehewa ya abiria MGR kama 5 sets hivi maana nina uhakika hata huko Mwanza/Kagera/Kigoma kuna nyomi kipimdi hiki! Na mabehewa yaliyopo ni mchache kwa kweli!😅 Airtanzania from wherever to Bukoba is full booked, ni ngumu sana kiukweli