Mwanahabari wa Taifa
JF-Expert Member
- May 27, 2020
- 1,588
- 956
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani treni itakwenda Kila mji? Kama maroli ni ya muhimu mfanye Kama alivyo fanya mzee wa msoga jengeni vyoo juu ya reli ili maroli yenu yatembee.Mimi sina mkuu kama unao lete tuujadili hapa,
Mimi nimeonesha analysis yangu hali itakuwaje hapo baadae nimeishia hapo,
Unataka kuniambia mizigo yote inayokuja Tanzania inaenda uelekeo wa SGR? Au SGR itasambaa miji na vitongoji vyote Tanzania?SGR ikikamilika inaweza kubeba mizigo yote ya Bandari ya Dar es Salaam kwa siku 250 Tu,
Kama SGR itakamilika bila ya Bandari ya Bagamoyo kujengwa basi Malori yote ya mizigo mnayoyaona hapa nchini yatalazimika kupaki
Iko hivi,treni moja ya mizigo ya SGR inauwezo wa kubeba Jumla ya Tani elfu 10 karibu sawa na Malori 500 kwa Safari moja,
TRC ikiwa na Treni mbili tu za mizigo zinazopishana kwa kila siku basi tutasafirisha Jumla ya Tani elfu 20 kwa siku moja sawa na Malori 1,000.
Nimejaribu kutafuta wastani wa mizigo iliyopakuliwa pale bandari ya Dar es salaam kati ya mwaka 2016|2020 nimepata ni wastani wa Jumla ya Tani milioni tano (5M)
Kwamsiofahamu, 98% ya mizigo yote inayoingia na kutoka Tanzania na nchi jirani inapitia bandari ya Dar es Salaam,
Tujiulize, Kama tani elfu 20 kwa SGR zinaweza kubebwa kwa siku moja kwa kutumia treni mbili za SGR zinazopishana,
Je hizi tani 5M zinazopakuliwa pale bandari ya Dar es salaam kwa mwaka mzima zitabebwa kwa muda gan kwa kutumia hii SGR?
Fanya hivi,gawanya tani 5M kwa tani elfu 20 utapata Jumla ya siku 250 za kuisafirisha mizigo yote ya mwaka ya bandari ya Dar es salaam kwa kutumia SGR,
Mkumbuke kuwa, Safari ya Treni ya Mzigo toka Dar -Mwanza ni wastani wa masaa tisa ( 9 ) wakati Safari ya Lori ni zaidi ya masaa 48,
Lakini pia,bei ya kusafirisha mizigo kwa SGR ni ndogo kuliko ile ya Lori na Usalama wa mzigo kwenye SGR ni mkubwa kuliko ule wa kwenye Lori,
Sikia,Nimfanyabiashara mjinga tu ndio anaweza kuacha kupakia SGR yenye nafasi akapakia mzigo kwenye Lori
Sababu pekee inayoweza kuyanusuru haya Malori yetu ni kuwa na bandari nyingine kubwa itakayokuwa na uwezo mkubwa wa kushusha mizigo mingi zaidi ya ile ya Dar es salaam ili SGR ibebe na isaze na Malori ya bebe pia,
Kama hili halitafanyika kuna watu wengi mnakwenda kukosa ajira zenu hapo baadae kidogo,
Nadhani hii ni moja ya sababu ya kwanini Rais Samia anataka bandari hii ijengwe tena kwa haraka kabla ya kumalizika kwa SGR,
NB, Mnaolalamika kuhusu Ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo rudieni tena kusoma andiko hili kwa makini
Mkuu hapa sijakupata vizuri hasa kuhusu Mzee wa Msoga,Kwani treni itakwenda Kila mji? Kama maroli ni ya muhimu mfanye Kama alivyo fanya mzee wa msoga jengeni vyoo juu ya reli ili maroli yenu yatembee.
Treni ya moshi ilikuwa inatembea? wakati yeye ni mkuu.Mkuu hapa sijakupata vizuri hasa kuhusu Mzee wa Msoga,
Mkuu kwani ni wapi SGR isikofika?Unataka kuniambia mizigo yote inayokuja Tanzania inaenda uelekeo wa SGR?
Moshi mbona hata X-mass treni ilikwenda,Treni ya moshi ilikuwa inatembea? wakati yeye ni mkuu.
Na Bunju itaenda, Bagamoyo, Tanga, Arusha, Kariakoo nk nk nk?Mkuu kwani ni wapi SGR isikofika?
Tunduma itakwenda,
Migori itakwenda
Singida itakwenda,
Nadhani umenipata mkuu
Tunaposema "Malori yatapaki " tunamaanisha yanayotoka nje ya Mkoa wa BandariNa Bunju itaenda, Bagamoyo, Tanga, Arusha, Kariakoo nk nk nk?
Na Bunju itaenda, Bagamoyo, Tanga, Arusha, Kariakoo nk nk nk?
Napoteza muda wangu tu hapa. Ngoja nifuatilie threads za wenye akili zaoTunaposema "Malori yatapaki " tunamaanisha yanayotoka nje ya Mkoa wa Bandari
khaaa,Sawa
Tuwekee na mkataba wa ujenzi wa hiyo Bandari ya Bagamoyo kabla ya yote
Yatapungua sana, Mungu aifanikishe bandari yetu ya Bagamoyo,afadhali malori yatapungua dar yatahamia mikoani huko kusambaza mizigo itakapoishia sgr
Sent using Jamii Forums mobile app
kada eeh lakini mbona hamtaki kuuweka wazi mkatabaYatapungua sana, Mungu aifanikishe bandari yetu ya Bagamoyo,
Khaaa 🤣🤣🤣Sawa
Tuwekee na mkataba wa ujenzi wa hiyo Bandari ya Bagamoyo kabla ya yote
Mkuu Janja weed ile awamu sio ya kuitilia maanani,mnalazimisha sana suala la bandari ya bagamoyo ,wakati kipindi cha awamu iliyopita mlisema ni upigaji , yani Tanzania sielewi tunaamini kwenye nini, hatueleweki kabisaaaaaaaaa
Semeni ukweli mnataka kuwapa bandari wachina ili wajenge military base Yao.View attachment 2107381
===
Reli ya SG ikikamilika bila uwepo wa bandari ya uhakika kama Bagamoyo tegemeeni malori mengi kupaki
SGR ikikamilika inaweza kubeba mizigo yote ya Bandari ya Dar es Salaam kwa siku 250 tu,
Kama SGR itakamilika bila ya Bandari ya Bagamoyo kujengwa basi Malori mengi ya mizigo mnayoyaona hapa nchini yatalazimika kupaki kwa kukosa mizigo,
Iko hivi,treni moja ya mizigo ya SGR inauwezo wa kubeba Jumla ya Tani elfu 10 karibu sawa na Malori 500 kwa Safari moja,
TRC ikiwa na Treni mbili tu za mizigo zinazopishana kwa kila siku basi tutasafirisha Jumla ya Tani elfu 20 kwa siku moja sawa na Malori 1,000.
Nimejaribu kutafuta wastani wa mizigo iliyopakuliwa pale bandari ya Dar es salaam kati ya mwaka 2016|2020 nimepata ni wastani wa Jumla ya Tani milioni tano (5M)
Kwamsiofahamu, 98% ya mizigo yote inayoingia na kutoka Tanzania na nchi jirani inapitia bandari ya Dar es Salaam,
Tujiulize, Kama tani elfu 20 kwa SGR zinaweza kubebwa kwa siku moja kwa kutumia treni mbili za SGR zinazopishana,
Je hizi tani 5M zinazopakuliwa pale bandari ya Dar es salaam kwa mwaka mzima zitabebwa kwa muda gan kwa kutumia hii SGR?
Fanya hivi,gawanya tani 5M kwa tani elfu 20 utapata Jumla ya siku 250 za kuisafirisha mizigo yote ya mwaka mzima ya bandari ya Dar es salaam kwa kutumia SGR,
Mkumbuke kuwa, Safari ya Treni ya Mzigo toka Dar -Mwanza ni wastani wa masaa tisa ( 9 ) wakati Safari ya Lori ni zaidi ya masaa 48,
Lakini pia,bei ya kusafirisha mizigo kwa SGR ni ndogo kuliko ile ya Lori na Usalama wa mzigo kwenye SGR ni mkubwa kuliko ule wa kwenye Lori,
Sikia,Nimfanyabiashara mjinga tu ndio anaweza kuacha kupakia SGR yenye nafasi akapakia mzigo kwenye Lori
Sababu pekee inayoweza kuyanusuru haya Malori yetu ni kuwa na bandari nyingine kubwa itakayokuwa na uwezo mkubwa zaidi wa kushusha mizigo mingi zaidi ya ile ya Dar es salaam ili SGR ibebe na isaze na Malori ya bebe pia,
Kama hili halitafanyika kuna watu wengi mnakwenda kukosa ajira zenu hapo baadae kidogo,
Nadhani hii ni moja ya sababu ya kwanini Rais Samia anataka bandari hii ijengwe tena kwa haraka kabla ya kumalizika kwa SGR,
Mnaolalamika kuhusu Ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo rudieni tena kusoma andiko hili kwa makini,
Mawazo hafifu haya passioner255Semeni ukweli mnataka kuwapa bandari wachina ili wajenge military base Yao.
Mawazo yako ndo hafifubndo maana hujajibu hoja yangu.ukweli ni kwamba wachina wanapataka hapo ili kujenga military base Yao ili kuweza kukontrol biashara kwenye bahari ya hindi habari tunazo Rais mwenye Akili kubwa kama Magufuli hawezi kukataa kitu kizuri Kwa nchi yetu.Mawazo hafifu haya passioner255