Reli ya kati imejifia kwa sababu hakuna matunzo na uendeshaji duni, ile reli ina uwezo mkubwa sana kama wangeitunza na kuifanyia matengenezo yanayotakiwa, TANESCO ndio hiyo hakuna umeme kwa sababu no maintenance ya mitambo, solution serikali ijiondoe kwenye hizi biashara waachie watu binafsi wenye taaluma zao na wanaojua biasharaHuna uhakika lakini
Wewe mwanaccm utambue pia kwamba hata Zambia Edgar Lungu na chama chake wameaadhibiwa kwenye kura baada kuwaachia Wachina Copper Belt na makampuni yao yanazokadiriwa kufika 6000 bila manufaa yoyote kwa Wazambia.No ,Mimi nimewapa tu kaufunuo kahapo baadae
Mnapopinga ujenzi wa bandari na hili mlijue linawahusu
Hizi ni Siri za nchi,Kuhusu Bandari ya Bagamoyo, tafadhali mkataba uwekwe wazi mapema, maana Chinese ni watu watata.
Achana na mambo ya Zambia, Niushamba kuilinganisha Tanzania na Zambia,Wewe mwanaccm utambue pia kwamba hata Zambia Edgar Lungu na chama chake wameaadhibiwa kwenye kura baada kuwaachia Wachina Copper Belt na makampuni yao yanazokadiriwa kufika 6000 bila manufaa yoyote kwa Wazambia.
Hivi SGR inafika Arusha?Sawa
Tuwekee na mkataba wa ujenzi wa hiyo Bandari ya Bagamoyo kabla ya yote
Umeandika dhana kadhaa halafu ukashindwa kuzijengea hoja ili zitoke kuwa dhana na kuwa na uhalisia.Umeandika mengi lakini mwishowe umeharibu kabisa! Hakuna mtu hasiyetaka bandari ya Bagamoyo isijengwe. Tatizo lipo kwenye uwazi wa huo mradi. Kumbuka mradi ni wa wachina, na hadi sasa wakati hii bandari ya Bagamoyo inapigiwa chapuo sana yaani kwa udi na uvumba tumejionea na tundelea kujionea wenyewe ni kwa kiasi gani China imekuwa na ajenda isiyo rasmi ya kujimilikisha baadha ya huduma/miradi mikubwa iliyo chini ya usimamizi wa Serikali nyingi za Kiafrica. Mfano: Kenya, Zambia, Uganda na hata Sudan ya Kusini kwa kigezo cha kushindwa kulipa mikopo yao. Husikurupuke tu bila kufanya upembezi yakinifu kwa maslahi mapana ya Nchi!
Save your breath.Mkuu hata kama Bandari ingekuwa ya Wachina bado SGR ni yetu tutapiga pesa tu,
DuuhSiyo mbaya
Ila inafaa iwe dakika 20 hivi au 30
Hata kama 2030 itakamilika tu, KaziiendeleeSave your breath.
SGR haitakamilika Leo Wala kesho.
Tuliambiwa kipande Cha Dar Moro kitakamilika November 2019.
Leo Ni November 2021 hata dalili hakuna.
Unategemea hao wenye malori watakubali malori yao ya paki?
Kwanza jiulize wenye hayo malori Ni kina Nani?
Siongelei Hawa wenye fuso au scania za kubebea ng'ombe, naongelea wenye malori 200 ++
Asilimia kubwa ya mizigo kutoka bandarini inaelekea upande wa boda ya Tunduma ambako hakujapewa kipaumbele cha kujenga hiyo SGR, hiyo itakuwa inajengwa kwa ajili ya kusafirisha abiria sidhani kama target yao ilikuwa ni mizigo.===
SGR ikikamilika inaweza kubeba mizigo yote ya Bandari ya Dar es Salaam kwa siku 250 Tu,
Kama SGR itakamilika bila ya Bandari ya Bagamoyo kujengwa basi Malori yote ya mizigo mnayoyaona hapa nchini yatalazimika kupaki
Iko hivi,treni moja ya mizigo ya SGR inauwezo wa kubeba Jumla ya Tani elfu 10 karibu sawa na Malori 500 kwa Safari moja,
TRC ikiwa na Treni mbili tu za mizigo zinazopishana kwa kila siku basi tutasafirisha Jumla ya Tani elfu 20 kwa siku moja sawa na Malori 1,000.
Nimejaribu kutafuta wastani wa mizigo iliyopakuliwa pale bandari ya Dar es salaam kati ya mwaka 2016|2020 nimepata ni wastani wa Jumla ya Tani milioni tano ( 5M )
Kwamsiofahamu, 98% ya mizigo yote inayoingia na kutoka Tanzania na nchi jirani inapitia bandari ya Dar es Salaam,
Tujiulize, Kama tani elfu 20 kwa SGR zinaweza kubebwa kwa siku moja kwa kutumia treni mbili za SGR zinazopishana,
Je hizi tani 5M zinazopakuliwa pale bandari ya Dar es salaam kwa mwaka mzima zitabebwa kwa muda gan kwa kutumia hii SGR?
Fanya hivi,gawanya tani 5M kwa tani elfu 20 utapata Jumla ya siku 250 za kuisafirisha mizigo yote ya mwaka ya bandari ya Dar es salaam kwa kutumia SGR,
Mkumbuke kuwa, Safari ya Treni ya Mzigo toka Dar -Mwanza ni wastani wa masaa tisa ( 9 ) wakati Safari ya Lori ni zaidi ya masaa 48,
Lakini pia,bei ya kusafirisha mizigo kwa SGR ni ndogo kuliko ile ya Lori na Usalama wa mzigo kwenye SGR ni mkubwa kuliko ule wa kwenye Lori,
Sikia,Nimfanyabiashara mjinga tu ndio anaweza kuacha kupakia SGR yenye nafasi akapakia mzigo kwenye Lori
Sababu pekee inayoweza kuyanusuru haya Malori yetu ni kuwa na bandari nyingine kubwa itakayokuwa na uwezo mkubwa wa kushusha mizigo mingi zaidi ya ile ya Dar es salaam ili SGR ibebe na isaze na Malori ya bebe pia,
Kama hili halitafanyika kuna watu wengi mnakwenda kukosa ajira zenu hapo baadae kidogo,
Nadhani hii ni moja ya sababu ya kwanini Rais Samia anataka bandari hii ijengwe tena kwa haraka kabla ya kumalizika kwa SGR,
NB, Mnaolalamika kuhusu Ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo rudieni tena kusoma andiko hili kwa makini
Umesema trip moja ya treni itakuwa inabeba tani 10,000..===
SGR ikikamilika inaweza kubeba mizigo yote ya Bandari ya Dar es Salaam kwa siku 250 Tu,
Kama SGR itakamilika bila ya Bandari ya Bagamoyo kujengwa basi Malori yote ya mizigo mnayoyaona hapa nchini yatalazimika kupaki
Iko hivi,treni moja ya mizigo ya SGR inauwezo wa kubeba Jumla ya Tani elfu 10 karibu sawa na Malori 500 kwa Safari moja,
TRC ikiwa na Treni mbili tu za mizigo zinazopishana kwa kila siku basi tutasafirisha Jumla ya Tani elfu 20 kwa siku moja sawa na Malori 1,000.
Nimejaribu kutafuta wastani wa mizigo iliyopakuliwa pale bandari ya Dar es salaam kati ya mwaka 2016|2020 nimepata ni wastani wa Jumla ya Tani milioni tano ( 5M )
Kwamsiofahamu, 98% ya mizigo yote inayoingia na kutoka Tanzania na nchi jirani inapitia bandari ya Dar es Salaam,
Tujiulize, Kama tani elfu 20 kwa SGR zinaweza kubebwa kwa siku moja kwa kutumia treni mbili za SGR zinazopishana,
Je hizi tani 5M zinazopakuliwa pale bandari ya Dar es salaam kwa mwaka mzima zitabebwa kwa muda gan kwa kutumia hii SGR?
Fanya hivi,gawanya tani 5M kwa tani elfu 20 utapata Jumla ya siku 250 za kuisafirisha mizigo yote ya mwaka ya bandari ya Dar es salaam kwa kutumia SGR,
Mkumbuke kuwa, Safari ya Treni ya Mzigo toka Dar -Mwanza ni wastani wa masaa tisa ( 9 ) wakati Safari ya Lori ni zaidi ya masaa 48,
Lakini pia,bei ya kusafirisha mizigo kwa SGR ni ndogo kuliko ile ya Lori na Usalama wa mzigo kwenye SGR ni mkubwa kuliko ule wa kwenye Lori,
Sikia,Nimfanyabiashara mjinga tu ndio anaweza kuacha kupakia SGR yenye nafasi akapakia mzigo kwenye Lori
Sababu pekee inayoweza kuyanusuru haya Malori yetu ni kuwa na bandari nyingine kubwa itakayokuwa na uwezo mkubwa wa kushusha mizigo mingi zaidi ya ile ya Dar es salaam ili SGR ibebe na isaze na Malori ya bebe pia,
Kama hili halitafanyika kuna watu wengi mnakwenda kukosa ajira zenu hapo baadae kidogo,
Nadhani hii ni moja ya sababu ya kwanini Rais Samia anataka bandari hii ijengwe tena kwa haraka kabla ya kumalizika kwa SGR,
NB, Mnaolalamika kuhusu Ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo rudieni tena kusoma andiko hili kwa makini
I like people who argue with facts and figures.Umesema trip moja ya treni itakuwa inabeba tani 10,000..
Container moja la 40ft lina uzito wa wastani wa tani 25 maximum, na hilo linabebwa kwenye behewa moja.. So hiyo treni itakuwa inavuta mabehewa 400 at a go ? , nafikiri tutaingia katika World guiness record..
daaah, Kwani kilichosemwa hujakielewa?Halafu wenye Malori waje kula kwako?
Kontena la kitu gani unazungumzia?Umesema trip moja ya treni itakuwa inabeba tani 10,000..
Container moja la 40ft lina uzito wa wastani wa tani 25 maximum, na hilo linabebwa kwenye behewa moja.. So hiyo treni itakuwa inavuta mabehewa 400 at a go ? , nafikiri tutaingia katika World guiness record..
I like people who argue with facts and figures.
Misukule mingine ikiambiwa kitu na wanasiasa hawachukui muda wa ku assess, inakubali moja kwa moja Kama wabunge wa bunge hili.
Yaani hata kontena la Cement lina Max weight ya 25kg daaah,Kontena la kitu gani unazungumzia?
Nani kasema 25g kaka? Nimesema 25 T max, hairuhusiwi kubeba zaidi ya hapo lasivyo litapasuka katikati wakati wa kunyanyuliwa na crane ..Yaani hata kontena la Cement lina Max weight ya 25kg daaah,
Kontena la kitu chochote unachojua wewe, ikija na meli hairuhusiwi kubeba zaidi ya tani 25..Kontena la kitu gani unazungumzia?