SGR ikikamilika Bila Bandari ya Bagamoyo malori yatalazimika kupaki

SGR ikikamilika Bila Bandari ya Bagamoyo malori yatalazimika kupaki

CHADEMA hoja zimewaisha kabisa
Oyaa wewe K.enge/K.ima huna akili. Unaanzisha threads za kupima upepo kila baada ya dk 10 kutwa unasifia serikali ya Samia bila hata kutumia common sense. Kama unakiri hujaona mkataba wa bandari ya Bagamoyo kuendelea kuupigia debe hapa ni zaidi ya kuwa MPUMBAVU, msiwaone watanzania ni wajinga sana.

Unatetea vitu usivyovijua, umetoa mfano ambao hauendani. Bora upigie debe bandari ya Bagamoyo bila kuhusisha SGR na maroli kidogo utaeleweka zaidi unajidhihirisha unavyopambania tumbo lako. ID yako inaonyesha ina kazi moja tu JF.. kutetea na kusifia chochote anachofanya Samia. Ila usisifie mpaka ujinga unaonekana MPUMBAVU tu.
 
SGR ikikamilika inaweza kubeba mizigo yote ya Bandari ya Dar es Salaam kwa siku 250 Tu,

Kama SGR itakamilika bila ya Bandari ya Bagamoyo kujengwa basi Malori yote ya mizigo mnayoyaona hapa nchini yatalazimika kupaki

Iko hivi,treni moja ya mizigo ya SGR inauwezo wa kubeba Jumla ya Tani elfu 10 karibu sawa na Malori 500 kwa Safari moja,

TRC ikiwa na Treni mbili tu za mizigo zinazopishana kwa kila siku basi tutasafirisha Jumla ya Tani elfu 20 kwa siku moja sawa na Malori 1,000.

Nimejaribu kutafuta wastani wa mizigo iliyopakuliwa pale bandari ya Dar es salaam kati ya mwaka 2016|2020 nimepata ni wastani wa Jumla ya Tani milioni tano ( 5M )
kabla ya kuhitimisha tathmini yako jiulize kwa nini reli ya kati ilikufa kifo cha mende miaka ya 90 hadi leo? ni hivi , malori yatakuwepo na yatafanya kazi kama kawaidia.

Kwa kukusaidia tu ni kwamba hiyo SGR unayotamba nayo hapa kama ikibahatika kuisha basi itabeba watu wenu kuwapeleka mikoani.
 
Mmeanza Sasa kutuchota akili Kama kawaida yenu mkiona Mambo hayaendi wananchi hawaelewi mnaanza propaganda imishindikana mnaleta jeshi kabisa watupige na kutuvunja miguu ili tuamin kwel bandar ya bagamoyo inatija ***** zenu

Hilo garimoshi la kisasa tusubiri hasara TU kwa wenyemali maana kwa umeme huu walah litakuwa linadondoka kila siku barabaran


Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Hiyo nadharia yako ni ya kufikilika.
Malori yatafanya kazi Hata SGR ikiwepo, mizigo ya viwanda vya Bakhresa, MMI, Sita Steel na Alaf lazima na Kuna sehemu treni haifiki lazima maroli yatumike.

Kuna mizigo ukimwambia mtu atumie treni utampa cost mara 2. Mfano Ngano,Mbolea na mizigo mingine inayokuwa kichele (in Bulk) Mpaka sehemu ya kushusha.
 
Wachambuzi wa Tanzania bana....unashindwa kuelezea vizuri kwenye faida za hiyo reli kiuchumi, kisiasa na kijamii, lakini umekazana na point kuwa malori mengi yatapaki as if kupaki kwa malori na watu kukosa kazi nayo ni sifa pia!!!!!!!
 
Mku Bandari ya Bagamoyo ni nzuri wala hakuna anaepinga maendeleo. Shida ni hayo masharti tu basi. Kwanini Serikali isifikirie kujenga kwa mpango wa "PPP" yani (Public Private Partnership ) ili ikiisha tu, mwekezaji na serikali waanze kugawana mapato since day one labda kwa 70% mwekezaji na Serikali 30% au vyovyote vile mpaka mwekezaji arudishe pesa yake yote ndo waachane-mwisho wa ndoa.
Kusiwe na masharti yoyote maana wote serikali na mwekezaji wameona kuna fursa. Tuachane na masharti .
Unahoja
Oyaa wewe K.enge/K.ima huna akili. Unaanzisha threads za kupima upepo kila baada ya dk 10 kutwa unasifia serikali ya Samia bila hata kutumia common sense. Kama unakiri hujaona mkataba wa bandari ya Bagamoyo kuendelea kuupigia debe hapa ni zaidi ya kuwa MPUMBAVU, msiwaone watanzania ni wajinga sana. Unatetea vitu usivyovijua, umetoa mfano ambao hauendani. Bora upigie debe bandari ya Bagamoyo bila kuhusisha SGR na maroli kidogo utaeleweka zaidi unajidhihirisha unavyopambania tumbo lako. ID yako inaonyesha ina kazi moja tu JF.. kutetea na kusifia chochote anachofanya Samia. Ila usisifie mpaka ujinga unaonekana MPUMBAVU tu.
Daaah sifa ziko wapi hapo?
 
Wachambuzi wa Tanzania bana....unashindwa kuelezea vizuri kwenye faida za hiyo reli kiuchumi, kisiasa na kijamii, lakini umekazana na point kuwa malori mengi yatapaki as if kupaki kwa malori na watu kukosa kazi nayo ni sifa pia!!!!!!!
Hilo Chambua wewe mkuu,
 
===
SGR ikikamilika inaweza kubeba mizigo yote ya Bandari ya Dar es Salaam kwa siku 250 Tu,

Kama SGR itakamilika bila ya Bandari ya Bagamoyo kujengwa basi Malori yote ya mizigo mnayoyaona hapa nchini yatalazimika kupaki
Hiyo treni ya SGR itatumia UMEME kutoka vyanzo gani? Power bank!!
 
Sio mizigo yote inayoshuka bandarini itatumia SGR, inayoenda mikoa ya kusini na nchi kama Malawi,Zambia etc ambayo ni mingi haitumii SGR, na kwa serikali ya CCM sina uhakika kama wataiendesha hiyo reli vizuri, wataishia kuifunga tuu na kila siku engine zimeharibika au hakuna vipuri, hata sasa hivi reli iliyopo ingeweza kubeba mizigo mingi tuu lakini imekufa chini ya CCM, ni kama TANESCO tuu, dawa ni kuyaondoa haya mafisadi maiba kura ya CCM
 
===
SGR ikikamilika inaweza kubeba mizigo yote ya Bandari ya Dar es Salaam kwa siku 250 Tu,

Kama SGR itakamilika bila ya Bandari ya Bagamoyo kujengwa basi Malori yote ya mizigo mnayoyaona hapa nchini yatalazimika kupaki

Iko hivi,treni moja ya mizigo ya SGR inauwezo wa kubeba Jumla ya Tani elfu 10 karibu sawa na Malori 500 kwa Safari moja,

TRC ikiwa na Treni mbili tu za mizigo zinazopishana kwa kila siku basi tutasafirisha Jumla ya Tani elfu 20 kwa siku moja sawa na Malori 1,000.

Nimejaribu kutafuta wastani wa mizigo iliyopakuliwa pale bandari ya Dar es salaam kati ya mwaka 2016|2020 nimepata ni wastani wa Jumla ya Tani milioni tano ( 5M )

Kwamsiofahamu, 98% ya mizigo yote inayoingia na kutoka Tanzania na nchi jirani inapitia bandari ya Dar es Salaam,

Tujiulize, Kama tani elfu 20 kwa SGR zinaweza kubebwa kwa siku moja kwa kutumia treni mbili za SGR zinazopishana,

Je hizi tani 5M zinazopakuliwa pale bandari ya Dar es salaam kwa mwaka mzima zitabebwa kwa muda gan kwa kutumia hii SGR?

Fanya hivi,gawanya tani 5M kwa tani elfu 20 utapata Jumla ya siku 250 za kuisafirisha mizigo yote ya mwaka ya bandari ya Dar es salaam kwa kutumia SGR,

Mkumbuke kuwa, Safari ya Treni ya Mzigo toka Dar -Mwanza ni wastani wa masaa tisa ( 9 ) wakati Safari ya Lori ni zaidi ya masaa 48,

Lakini pia,bei ya kusafirisha mizigo kwa SGR ni ndogo kuliko ile ya Lori na Usalama wa mzigo kwenye SGR ni mkubwa kuliko ule wa kwenye Lori,

Sikia,Nimfanyabiashara mjinga tu ndio anaweza kuacha kupakia SGR yenye nafasi akapakia mzigo kwenye Lori

Sababu pekee inayoweza kuyanusuru haya Malori yetu ni kuwa na bandari nyingine kubwa itakayokuwa na uwezo mkubwa wa kushusha mizigo mingi zaidi ya ile ya Dar es salaam ili SGR ibebe na isaze na Malori ya bebe pia,

Kama hili halitafanyika kuna watu wengi mnakwenda kukosa ajira zenu hapo baadae kidogo,

Nadhani hii ni moja ya sababu ya kwanini Rais Samia anataka bandari hii ijengwe tena kwa haraka kabla ya kumalizika kwa SGR,


NB, Mnaolalamika kuhusu Ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo rudieni tena kusoma andiko hili kwa makini
Wana mnaupiga mwingi kutafuta justifications za Baga la Moyo! Mwana jengeni tu na mjitahidi ndani ya awamu ya sita iwe ishaisha kabisa kwa sababu kwa mfumo wa awamu awamu hizi atakayekuja hamjui atakuwaje.

Tanzania nchi ya kipuuzi sana, haina continuity kila kiongozi akija anakuja na lake haijalishi as long as hakuna national plan

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Sio mizigo yote inayoshuka bandarini itatumia SGR, inayoenda mikoa ya kusini na nchi kama Malawi,Zambia etc ambayo ni mingi haitumii SGR, na kwa serikali ya CCM sina uhakika kama wataiendesha hiyo reli vizuri, wataishia kuifunga tuu na kila siku engine zimeharibika au hakuna vipuri, hata sasa hivi reli iliyopo ingeweza kubeba mizigo mingi tuu lakini imekufa chini ya CCM, ni kama TANESCO tuu, dawa ni kuyaondoa haya mafisadi maiba kura ya CCM
Hawana utamaduni wa kufanya maintenance!! Wanadhani wakinunua kitu kipya kitakua hivyo hivyo kila siku!! Hata hizo Ndege za ATCL sidhani kama zinafanyiwa check zake kama inavyotakiwa!!!!
 
Back
Top Bottom