Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,170
- 6,757
Hearsay?Jpm alichukiwa kwa mauaji aliyoyafanya mpaka watu wakawa wanaokotwa kwenye viroba. Hayo memgine ni yako
Ahueni na maendeleo kwa ujumla ndivyo tunavyovitaka. Mungu ibariki nchi yetuMabaai ya mikoani yanachosha sana, maana Km 1000+ unatembea kwenye basi. Tofauti na Sgr itayokuwa na kasi ya Km 200+/hr.
Gharama za usafirishaji zitapungua sana. Maisha ya wananchi yatapata ahueni. Fikiria mfuko wa saruji kwa kanda ya ziwa ni Tsh 20,000/= kwa sasa.
JPM alichukiwa na mafisadi kwa kulipenda taifa lake.
Alikuua?Jpm alichukiwa kwa mauaji aliyoyafanya mpaka watu wakawa wanaokotwa kwenye viroba. Hayo memgine ni yako
Wastaafu hawataki kabisa kumsikia mdhulumati wa mafao yao.Dhulumati Sana yule jamaa.He was by far the best president.
Mstaafu yupi aliyedhulumiwa?Wastaafu hawataki kabisa kumsikia mdhulumati wa mafao yao.Dhulumati Sana yule jamaa.
Maelfu ya wastaafu Tz kote.Mstaafu yupi aliyedhulumiwa?
Thibitisha hao maelfu (ambao hauwezi hata kutaja idadi kamili) ni wastaafu na wamedhulumiwa.Maelfu ya wastaafu Tz kote.
Huyo Kikwete kwani alipaswa atumie hela yake binafsi au kodi zetu?Hivi kwani mpango wa kujenga SGR si ulianza na Kikwete.. watu wapuuzi sana humu yaani yule kiongozi mkatili na muuaji akumbukwe kwa kutekeleza ila ya ccm.. kwani pesa za kujengea alitoa mfukoni? mbona kafilia mbali na mradi unaendelea kwa kasi kubwa.
Acheni kufanya mambo ya kitaifa kuwa ya mtu mmoja
Kufa umfuate hukoMabaai ya mikoani yanachosha sana, maana Km 1000+ unatembea kwenye basi. Tofauti na SGR itayokuwa na kasi ya Km 200+/hr.
Gharama za usafirishaji zitapungua sana. Maisha ya wananchi yatapata ahueni. Fikiria mfuko wa saruji kwa kanda ya ziwa ni Tsh 20,000/= kwa sasa.
JPM alichukiwa na mafisadi kwa kulipenda taifa lake.
- brainKufa umfuate huko
Nikutajie wewe Kama Nani Sasa?Unaweza ukafanya Nini Sasa wewe zaidi ya kusubiri kipindi chenu Cha shule ya uongozi,ufarijike then ulaze zako kende tu hapo kwa shemeji yako.Thibitisha hao maelfu (ambao hauwezi hata kutaja idadi kamili) ni wastaafu na wamedhulumiwa.
Atakamilisha akiwa kaburini.sisi ikiisha tutamkumbuka Rais samia ndio alijengaMabaai ya mikoani yanachosha sana, maana Km 1000+ unatembea kwenye basi. Tofauti na SGR itayokuwa na kasi ya Km 200+/hr.
Gharama za usafirishaji zitapungua sana. Maisha ya wananchi yatapata ahueni. Fikiria mfuko wa saruji kwa kanda ya ziwa ni Tsh 20,000/= kwa sasa.
JPM alichukiwa na mafisadi kwa kulipenda taifa lake.