Ikitotanzila
JF-Expert Member
- Sep 22, 2020
- 1,409
- 2,263
Aliua azory gawanda na ben saananeAlikuua?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aliua azory gawanda na ben saananeAlikuua?
Kukosa kwako akili unaona train ya 200/kph ni ya kisasa wakati wenzako duniani wana 560/kph mpuuzi wewe- brain
Aliua akina azory gwanda na ben saanane na lisu alimkosa kosaHearsay?
+ Mawazo na wengi ambao hawakutangazwaAliua azory gawanda na ben saanane
Yaani kwa akili yako huu ndio uthibitisho wa mauaji na dhuluma alizozifanya JPM? Pathetic fool! 😁Nikutajie wewe Kama Nani Sasa?Unaweza ukafanya Nini Sasa wewe zaidi ya kusubiri kipindi chenu Cha shule ya uongozi,ufarijike then ulaze zako kende tu hapo kwa shemeji yako.
Nakwambia jamaa yenu alikua mdhulumati kishenzi,anachukua pesa kwny mifuko ya wastaafu Halafu anakuja kudanganya hadharani eti ni pesa za ndani,sisi Ni Matajiri.
Wastaafu Wana miaka zaidi ya 4tunafukuzia pesa zetu Ni chenga tupu,mifuko haina pesa.Mama Samia alipoingia tu akasema tena Nyir huko kwny mifuko ndio uozo mtupu.
Ila Mungu Ni fundi Sana.
Tuthibitishie.Aliua azory gawanda na ben saanane
😁😁 Nchi hii Ni tajiri saaana,Ni donor kantreeeeeee, tunatumia pesa zetu za ndaniiiii.Ongo Sana lile jamaa wkt yeye ndio amekopa pesa nyingi kuliko wenzake wote waliopita 😁😁😁😁.Ongo sanaYaani kwa akili yako huu ndio uthibitishowa mauaji na dhuluma alizozifanya JPM? Pathetic fool! 😁
Chora 7 akuthibitishie.Tuthibitishie.
Kweli ww ni pundaaa...mana hujui hata mradi wenyewe unahusu nn..ebu tuondolee upundaa wako hapaa..Hivi kwani mpango wa kujenga SGR si ulianza na Kikwete.. watu wapuuzi sana humu yaani yule kiongozi mkatili na muuaji akumbukwe kwa kutekeleza ila ya ccm.. kwani pesa za kujengea alitoa mfukoni? mbona kafilia mbali na mradi unaendelea kwa kasi kubwa.
Acheni kufanya mambo ya kitaifa kuwa ya mtu mmoja
Haha... Kwani hayo madeni yanalipwa na nani?😁😁 Nchi hii Ni tajiri saaana,Ni donor kantreeeeeee, tunatumia pesa zetu za ndaniiiii.Ongo Sana lile jamaa wkt yeye ndio amekopa pesa nyingi kuliko wenzake wote waliopita 😁😁😁😁.Ongo sana
Yanalipwa na Mumeo 😁😁😁😁😁Haha... Kwani hayo madeni yanalipwa na nani?
Unajifanya hujuiThibitisha hao maelfu (ambao hauwezi hata kutaja idadi kamili) ni wastaafu na wamedhulumiwa.
Mabaai ya mikoani yanachosha sana, maana Km 1000+ unatembea kwenye basi. Tofauti na SGR itayokuwa na kasi ya Km 200+/hr.
Gharama za usafirishaji zitapungua sana. Maisha ya wananchi yatapata ahueni. Fikiria mfuko wa saruji kwa kanda ya ziwa ni Tsh 20,000/= kwa sasa.
JPM alichukiwa na mafisadi kwa kulipenda taifa lake.
Kipindi cha Kikwete walifanya upembuzi yakinifuHuyo Kikwete kwani alipaswa atumie hela yake binafsi au kodi zetu?
Je, alijenga hata inch moja tu kwenye SGR?
Au yeye hakuruhusiwa kutumia kodi zetu kuijenga hiyo SGR kama JPM?
Halafu ukatili wake ni upi, kukuondoa kazini kwa kuwa haukidhi vigezo?
Thibitisha hayo mauaji aliyoyafanya.
Swali: huyo Kikwete wako alijenga inches ngapi za SGR?Awamu ya Kikwete ilianza upembuzi yakinifu wa SGR
Kipindi cha Kikwete walifanya upembuzi yakinifu
Katika enzi za yule mshenzi JP Mpiana ndio Tanzania tulishuhudia watu kupotea na kutekwa
Baada ya kuuwawa yule mzee hatuokoti tena maiti pale Coco Beach wala Mto Ruvu
Yule KIMA sabaya amekiri mahakamani kwamba alikuwa anatumwa na yule fisi kupora kwa silaha
Wewe hujui mi nafanya shughuli gani hivyo hayo mambo ya kufukuzwa kazi baki nayo mwenyewe
Jpm alichukiwa na vyeti feki, watumishi hewa, mafisadi, wala rushwa, wapiga madili, wadhulumaji, wavivu, wakwepa kodi wakijificha kwenye kichaka cha kumwita dikteta na kutengeneza propaganda za watu wanauawaJpm alichukiwa kwa mauaji aliyoyafanya mpaka watu wakawa wanaokotwa kwenye viroba. Hayo memgine ni yako
Sawa vyeti fekiJpm alichukiwa kwa mauaji aliyoyafanya mpaka watu wakawa wanaokotwa kwenye viroba. Hayo memgine ni yako
baba ako ndo alizurumiwa?Wastaafu hawataki kabisa kumsikia mdhulumati wa mafao yao.Dhulumati Sana yule jamaa.