paschal Burra
JF-Expert Member
- Jul 1, 2021
- 374
- 332
Hata wewe utakufa huishi milele usiringie uhai usiojua mwisho wakeKufa umfuate huko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata wewe utakufa huishi milele usiringie uhai usiojua mwisho wakeKufa umfuate huko
Mumeo ndie alidhulumiwa.
Mabaai ya mikoani yanachosha sana, maana Km 1000+ unatembea kwenye basi. Tofauti na SGR itayokuwa na kasi ya Km 200+/hr.
Gharama za usafirishaji zitapungua sana. Maisha ya wananchi yatapata ahueni. Fikiria mfuko wa saruji kwa kanda ya ziwa ni Tsh 20,000/= kwa sasa.
JPM alichukiwa na mafisadi kwa kulipenda taifa lake.
Nyie mnaimba SGR kila siku hivi mmejipanga vipi kuitumia hiyo SGR au ni sofa tu kutamka SGR maana hata wengine ukiwauliza SGR unamaanisha nini hajui kitu.Mabaai ya mikoani yanachosha sana, maana Km 1000+ unatembea kwenye basi. Tofauti na SGR itayokuwa na kasi ya Km 200+/hr.
Gharama za usafirishaji zitapungua sana. Maisha ya wananchi yatapata ahueni. Fikiria mfuko wa saruji kwa kanda ya ziwa ni Tsh 20,000/= kwa sasa.
JPM alichukiwa na mafisadi kwa kulipenda taifa lake.