kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 13,778
- 14,214
Nadhani ujenzi wa reli ya kisasa ni jambo ghali Sana. Wakoloni walijenga reli kibiashara je SGR inajengwa kibiashara pia? Bidhaa zipi kutoka wapi zitasafirishwa kifaida kwenda wapi?
Sioni mazao ya kilimo, bidhaa za viwandani wala mizigo ya bandari mingi Sana inayohitaji kuyafikia masoko haraka na Kwa wingi.
Ujenzi wa SGR ungeendana na upanuzi wa bandari, mashamba na viwanda. Lakini hata tukipanua bandari, kilimo na viwanda je, masoko ya bidhaa hizo ni akina nani ambao wanaishi wapi?
Sioni mazao ya kilimo, bidhaa za viwandani wala mizigo ya bandari mingi Sana inayohitaji kuyafikia masoko haraka na Kwa wingi.
Ujenzi wa SGR ungeendana na upanuzi wa bandari, mashamba na viwanda. Lakini hata tukipanua bandari, kilimo na viwanda je, masoko ya bidhaa hizo ni akina nani ambao wanaishi wapi?