SGR Kenya sasa rasmi ni "Big white Elephant", Maneno ya " Ndii yatimia.

SGR Kenya sasa rasmi ni "Big white Elephant", Maneno ya " Ndii yatimia.

Ulitaj asiulize usaudizi Brics? Ama asiwapatie Ethiopia mkono wa urafiki na kuwaahindi wapo huru kutumia Dar?
Kumbuka mwaka Jana JPM alimwahidi kenyatta atampa madaktari 500 baada ya kenyatta kumuomba usaidizi alipo kuwa ana mgomo wa madaktari.
Hayo ni mambo ya kawaida kabisa, lazima kila siku unashirikana na majirani wako.
Nyinyi hamna hoja, hoja yenu ni kumchukia Rais. wengi wenu hata chamani chenu kila mwaka CAG Anampa hati chafu..CCM kila mwaka hati safi

As I expected, huwezi kuelewa ujinga uliopo kwenye hizo kauli nilizozitolea mfano. Ngoja nikufafanulie:
1. Ethiopia hawawezi kutumia bandari ya Dar maana sio feasible economically.
2. Zuma asingeweza ku-influence BRICS kutoa mkopo simply kwa kuwa kuna taratibu ambazo ni independent of any head of state. Ni ujinga ule ule alioufanya kwa kutuambia "nimemwandikia Waziri Mkuu wa Canada ili aamuru ndege iachiliwe".

My 16 years old son would have handled the two better.
 
As I expected, huwezi kuelewa ujinga uliopo kwenye hizo kauli nilizozitolea mfano. Ngoja nikufafanulie:
1. Ethiopia hawawezi kutumia bandari ya Dar maana sio feasible economically.
2. Zuma asingeweza ku-influence BRICS kutoa mkopo simply kwa kuwa kuna taratibu ambazo ni independent of any head of state. Ni ujinga ule ule alioufanya kwa kutuambia "nimemwandikia Waziri Mkuu wa Canada ili aamuru ndege iachiliwe".

My 16 years old son would have handled the two better.
Hivi huwezi kumuomba member mmoja wa EU kwenda kupeleka mapendekezo katika vikao vyao na kukujenfea hoja ili wenzake waunge mkono hoja yake, au kuiingiza katika vikao husika, my 9 years old thinks better than you.
 
Hivi huwezi kumuomba member mmoja wa EU kwenda kupeleka mapendekezo katika vikao vyao na kukujenfea hoja ili wenzake waunge mkono hoja yake, au kuiingiza katika vikao husika, my 9 years old thinks better than you.

With you as his parent that boy is doomed. BRICS never lends, individual member countries do.
 
As I expected, huwezi kuelewa ujinga uliopo kwenye hizo kauli nilizozitolea mfano. Ngoja nikufafanulie:
1. Ethiopia hawawezi kutumia bandari ya Dar maana sio feasible economically.
2. Zuma asingeweza ku-influence BRICS kutoa mkopo simply kwa kuwa kuna taratibu ambazo ni independent of any head of state. Ni ujinga ule ule alioufanya kwa kutuambia "nimemwandikia Waziri Mkuu wa Canada ili aamuru ndege iachiliwe".

My 16 years old son would have handled the two better.
1) Ethiopia had a problem with ports until they resolved their problem with eritria, and yes they still struggle since most ships coming down the Eastafrican coast from china/ Gulf dont do a u-turn back up the red sea. That is why They are still in lappset

2) South Africa is a member of BRICS, and zuma was a key member. BRICS is in the business of giving out loans just like Eurobond
 
With you as his parent that boy is doomed. BRICS never lends, individual member countries do.
Hahahahaha, your 16years old utapata taabu nae sana kumsomesha, labda kama amerithi akili za mama yake
 
Itakua sio wako huyo, nenda kapime DNA, ila usinitaje utakapomchinja mkeo na wewe kujiua.

No wonder unamuabudu Magufuli. With that level of thinking there's absolutely nothing else you can possibly perceive or do.
 
No wonder unamuabudu Magufuli. With that level of thinking there's absolutely nothing else you can possibly perceive or do.
Magufuli sio Rais wa kudumu. na mwenyewe atafurahi sana 2025 akiondoka sababu kushughulikia nyumbu kama nyinyi ni mzigo..Hafadhali kufunza shule ya chekechea kuliko kuongoza wazembe wategemea za bure kama nyinyi
 
Magufuli sio Rais wa kudumu. na mwenyewe atafurahi sana 2025 akiondoka sababu kushughulikia nyumbu kama nyinyi ni mzigo..Hafadhali kufunza shule ya chekechea kuliko kuongoza wazembe wategemea za bure kama nyinyi

Endelea kuimba mapambio. Na usisahau kukata viuno.
 
Endelea kuimba mapambio. Na usisahau kukata viuno.
Unataka tuimbie mapambio nani? Jambazi Mbowe? Msaliti Lissu? yuda Zitto?
Utapata taabu sana sababu binadamu lazima ataimbia kiongozi wake pambio..nenda marekani uone mashabiki wa trump walivyo sugu..Ama unataka kutuuzia ustaarabu mgani mpya ambao mabeberu wapendwa wenu hawana?
 
Unataka tuimbie mapambio nani? Jambazi Mbowe? Msaliti Lissu? yuda Zitto?
Utapata taabu sana sababu binadamu lazima ataimbia kiongozi wake pambio..nenda marekani uone mashabiki wa trump walivyo sugu..Ama unataka kutuuzia ustaarabu mgani mpya ambao mabeberu wapendwa wenu hawana?

Hakuna aliekukataza kumuimbia mapambio Magufuli. Unaweza kuwaongeza pia Bashite na Kabudi (washauri wake wakuu as it seems).
 
Hakuna aliekukataza kumuimbia mapambio Magufuli. Unaweza kuwaongeza pia Bashite na Kabudi (washauri wake wakuu as it seems).
Basi kaeni kando mle malimau yenu bila kutunugunukia eti tuna waimbia viongozi wetu mapambio. Hiyo ndio tabia ya binadamu hata kwa wastaarabu america..Nyinyi ni nyumbu hivyo hamna hiyo desturi, lazima tuwaazime kiongozi mumuabudu wakati wa uchaguzi, 2020 tunawapea membe
 
  • Thanks
Reactions: Oii
My 16 years old son would have handled the two better.

Well, underestimate JPM intelligence at your own peril Ms/Mr armchair general....

1. Ethiopia hawawezi kutumia bandari ya Dar maana sio feasible economically.

JPM understands very well where Ethiopia is geographically located (any former high school teacher will), IIRC, the offer was meant for Ethiopia to use Dar port for importation of their strategic/sensitive goods which could otherwise be risky if they pass through Asmara or Djibouti ports. Such goods could later be airlifted from Dar by Ethiopian Airways cargo planes. (FYI, Ethiopia and Eritrea were not in good relation at the time while Djibouti ports are under tight US and Chinese control)...

2. Zuma asingeweza ku-influence BRICS kutoa mkopo simply kwa kuwa kuna taratibu ambazo ni independent of any head of state.

Again, JPM 's intelligence is far advanced than that of yours truly; the emphasis here was based on the influence South Africa has to the just established BRICS bank called the New Development Bank (NDB). South Africa being one of the bank founding member contributing $10 Billion, the bank's regional centre is located in Johannesburg, with one of its first vice presidents being a South African citizen.

BRICS made a strategic decision to position NDB regional centre in Johannesburg so that its industrial and infrastructure focused affordable loan offerings should not only benefit South Africa but the rest of SADC countries and the entire African continent.

Ni ujinga ule ule alioufanya kwa kutuambia "nimemwandikia Waziri Mkuu wa Canada ili aamuru ndege iachiliwe".

Know your targeted audience...., politicians all over the world make such statements all the time.... Statements customised for local folks consumption are not similar to the ones intended to be released to the foreign audience, do you seriously believe that JPM asked Trudeau to release his planes? I bet you don't!
 

Kuna msemo maarufu usemao kwamba," Namba hazidanganyi". Hesabu za mapato na matumizi yanaonyesha kwamba, SGR ya Kenya haina uwezo wa kuzalisha hata gharama za uendeshaji kwa mwaka ambayo kwa sasa ni Kshs 12B. Hii ni kutokana na ukweli kwamba imetengeneza 5.8B ndani ya kipindi cha zaidi mwaka mmoja kiasi ambacho ni chini ya 50% ya gharama za uendeshaji. Jambo la kuogopesha zaidi ni kwamba trains zaidi ya 12 kwa siku zimekua zikifanya kazi.

David Ndii, alishawahi kuekeza Mara nyingi sana kuhusu " viability & profitability " ya huu mradi na alishauri kwamba badala ya kujenga reli mpya, ni bora kukopa pesa kidogo ili kufufua reli ya zamani. Maneno yake yametimia:
1) SGR imesababisha Kenya kuwa na deni kubwa linalolipwa na kodi ya wananchi
2) SGR haiwezi kujiendesha, jambo linalolazimisha serikali kutoa pesa za wananchi ili kugharamia gharama za uendeshaji, mwaka Jana pekee serikali ilitoa 6.2B kufikia hasara.
3) Sasa hivi ndio serikali imeona umuhimu wa kufufua reli ya zamani ili kuunganisha na SGR, jambo ambalo litaongeza sana gharama za uendeshaji na usafirishaji kutokana na gharama za kushusha na kupandisha pale Naivasha.

ushaona mkenya katoa mapungufu yake kwenye nchi yake.njoo tz bwana kama bendi ya matalumbeta kila jambo.
wakenya ndio maana hata wawakezaji wanaweza kuja kwa kutunza siri zao
 
Back
Top Bottom