Ndo maana ni lazima Raisi Magufuli aendelee hadi ~ 2035 kama kweli tunataka hii miradi isife kama inavyokufa Kenya vinginevyo akiondoka tu, kwishney!
Ulitaj asiulize usaudizi Brics? Ama asiwapatie Ethiopia mkono wa urafiki na kuwaahindi wapo huru kutumia Dar?
Kumbuka mwaka Jana JPM alimwahidi kenyatta atampa madaktari 500 baada ya kenyatta kumuomba usaidizi alipo kuwa ana mgomo wa madaktari.
Hayo ni mambo ya kawaida kabisa, lazima kila siku unashirikana na majirani wako.
Nyinyi hamna hoja, hoja yenu ni kumchukia Rais. wengi wenu hata chamani chenu kila mwaka CAG Anampa hati chafu..CCM kila mwaka hati safi
Hivi huwezi kumuomba member mmoja wa EU kwenda kupeleka mapendekezo katika vikao vyao na kukujenfea hoja ili wenzake waunge mkono hoja yake, au kuiingiza katika vikao husika, my 9 years old thinks better than you.As I expected, huwezi kuelewa ujinga uliopo kwenye hizo kauli nilizozitolea mfano. Ngoja nikufafanulie:
1. Ethiopia hawawezi kutumia bandari ya Dar maana sio feasible economically.
2. Zuma asingeweza ku-influence BRICS kutoa mkopo simply kwa kuwa kuna taratibu ambazo ni independent of any head of state. Ni ujinga ule ule alioufanya kwa kutuambia "nimemwandikia Waziri Mkuu wa Canada ili aamuru ndege iachiliwe".
My 16 years old son would have handled the two better.
Hivi huwezi kumuomba member mmoja wa EU kwenda kupeleka mapendekezo katika vikao vyao na kukujenfea hoja ili wenzake waunge mkono hoja yake, au kuiingiza katika vikao husika, my 9 years old thinks better than you.
1) Ethiopia had a problem with ports until they resolved their problem with eritria, and yes they still struggle since most ships coming down the Eastafrican coast from china/ Gulf dont do a u-turn back up the red sea. That is why They are still in lappsetAs I expected, huwezi kuelewa ujinga uliopo kwenye hizo kauli nilizozitolea mfano. Ngoja nikufafanulie:
1. Ethiopia hawawezi kutumia bandari ya Dar maana sio feasible economically.
2. Zuma asingeweza ku-influence BRICS kutoa mkopo simply kwa kuwa kuna taratibu ambazo ni independent of any head of state. Ni ujinga ule ule alioufanya kwa kutuambia "nimemwandikia Waziri Mkuu wa Canada ili aamuru ndege iachiliwe".
My 16 years old son would have handled the two better.
Hahahahaha, your 16years old utapata taabu nae sana kumsomesha, labda kama amerithi akili za mama yakeWith you as his parent that boy is doomed. BRICS never lends, individual member countries do.
Hahahahaha, your 16years old utapata taabu nae sana kumsomesha, labda kama amerithi akili za mama yake
Itakua sio wako huyo, nenda kapime DNA, ila usinitaje utakapomchinja mkeo na wewe kujiua.He is already doing his first degree.
Itakua sio wako huyo, nenda kapime DNA, ila usinitaje utakapomchinja mkeo na wewe kujiua.
He is already doing his first degree.
Ahaaa haaa haaa
So doing a degree is a sign of having a high iq.
Magufuli sio Rais wa kudumu. na mwenyewe atafurahi sana 2025 akiondoka sababu kushughulikia nyumbu kama nyinyi ni mzigo..Hafadhali kufunza shule ya chekechea kuliko kuongoza wazembe wategemea za bure kama nyinyiNo wonder unamuabudu Magufuli. With that level of thinking there's absolutely nothing else you can possibly perceive or do.
Magufuli sio Rais wa kudumu. na mwenyewe atafurahi sana 2025 akiondoka sababu kushughulikia nyumbu kama nyinyi ni mzigo..Hafadhali kufunza shule ya chekechea kuliko kuongoza wazembe wategemea za bure kama nyinyi
Unataka tuimbie mapambio nani? Jambazi Mbowe? Msaliti Lissu? yuda Zitto?Endelea kuimba mapambio. Na usisahau kukata viuno.
Unataka tuimbie mapambio nani? Jambazi Mbowe? Msaliti Lissu? yuda Zitto?
Utapata taabu sana sababu binadamu lazima ataimbia kiongozi wake pambio..nenda marekani uone mashabiki wa trump walivyo sugu..Ama unataka kutuuzia ustaarabu mgani mpya ambao mabeberu wapendwa wenu hawana?
Basi kaeni kando mle malimau yenu bila kutunugunukia eti tuna waimbia viongozi wetu mapambio. Hiyo ndio tabia ya binadamu hata kwa wastaarabu america..Nyinyi ni nyumbu hivyo hamna hiyo desturi, lazima tuwaazime kiongozi mumuabudu wakati wa uchaguzi, 2020 tunawapea membeHakuna aliekukataza kumuimbia mapambio Magufuli. Unaweza kuwaongeza pia Bashite na Kabudi (washauri wake wakuu as it seems).
Endelea kuimba mapambio. Usisahau kukata viuno.
My 16 years old son would have handled the two better.
1. Ethiopia hawawezi kutumia bandari ya Dar maana sio feasible economically.
2. Zuma asingeweza ku-influence BRICS kutoa mkopo simply kwa kuwa kuna taratibu ambazo ni independent of any head of state.
Ni ujinga ule ule alioufanya kwa kutuambia "nimemwandikia Waziri Mkuu wa Canada ili aamuru ndege iachiliwe".
Kenya’s big SGR dream begins to fizzle out as losses mount
Kenya’s big SGR dream begins to fizzle out as losses mountwww-thecitizen-co-tz.cdn.ampproject.org
Kuna msemo maarufu usemao kwamba," Namba hazidanganyi". Hesabu za mapato na matumizi yanaonyesha kwamba, SGR ya Kenya haina uwezo wa kuzalisha hata gharama za uendeshaji kwa mwaka ambayo kwa sasa ni Kshs 12B. Hii ni kutokana na ukweli kwamba imetengeneza 5.8B ndani ya kipindi cha zaidi mwaka mmoja kiasi ambacho ni chini ya 50% ya gharama za uendeshaji. Jambo la kuogopesha zaidi ni kwamba trains zaidi ya 12 kwa siku zimekua zikifanya kazi.
David Ndii, alishawahi kuekeza Mara nyingi sana kuhusu " viability & profitability " ya huu mradi na alishauri kwamba badala ya kujenga reli mpya, ni bora kukopa pesa kidogo ili kufufua reli ya zamani. Maneno yake yametimia:
1) SGR imesababisha Kenya kuwa na deni kubwa linalolipwa na kodi ya wananchi
2) SGR haiwezi kujiendesha, jambo linalolazimisha serikali kutoa pesa za wananchi ili kugharamia gharama za uendeshaji, mwaka Jana pekee serikali ilitoa 6.2B kufikia hasara.
3) Sasa hivi ndio serikali imeona umuhimu wa kufufua reli ya zamani ili kuunganisha na SGR, jambo ambalo litaongeza sana gharama za uendeshaji na usafirishaji kutokana na gharama za kushusha na kupandisha pale Naivasha.
hv kila anayetofautiana na wewe kwa hoja ni mpinzani?....INFERIORITY!Kwani zimbabwe ni tanzania... nyinyi mapinzani hamna hoja tena 2020 mtakua mnawasaidia mama zenu kusonga ugali