SGR Kenya sasa rasmi ni "Big white Elephant", Maneno ya " Ndii yatimia.

SGR Kenya sasa rasmi ni "Big white Elephant", Maneno ya " Ndii yatimia.

Wewe hakuna unachojua, Kichwa umejaza nadharia za wazungu unakariri

Nyinyi siasa zenu tunazijua.
Kila siku mnakosoa CCM eti majirani kenya na Ethiopia wanajenga Reli na kununua ndege huku ccm imelala
CCM ikinunua ndege na ijenge reli tena mnasema ni miradi haina tija.
Hamna hoja mathubuti, kelele tu
Yaani hawa jamaa hawajui hata wanachokihiyaji.
 
Hajui hata maana ya feasibility study. Utapoteza muda wako bure na huyo and his likes. They are sold not to think but sing praises to whatever their god says.
Wewe ni mjinga sana, tena huna akili. Juzi DG wa TRC akihojiwa na Dr. Mumbi alisema feasibility study tulifanya wenyewe, hiyo ni public document, nenda wizarani kama hutoonyeshwa, wewe unadhani kila" public document " ni lazima iwekwe mitandaoni?. Ninarudia tena, wewe level na elimu yako hupaswi kuwa katika mjadala huu. Ukishamaliza kushughulikia DNA test, usirudi hapa, bure kabisa wewe.
 
  • Thanks
Reactions: Oii
Tumekupatia sababu za anguko la fastjet hizi hapa👇👇👇
Shida za fastjet zipo kwa business model yao mbovu(Nauli za chini, mikopo kibao) na zilianza kitambo 2016 hata kabla waagize ndege zingine 2017..
Unapinga ukweli huu ama lazima tuu upinge sababu ni kawaida yenu?

You are not using your heard. My point is this: Fastjet walishajua what to do to turn around their business. Na moja kati ya hatua zao ilikuwa ni kubadilisha ndege toka Airbus 320 (200 plus seater) kwenda Embraer 190 (70- 150 seater) to reduce operating costs). Waliomba kufanya hivyo 2017, serikali ikawanyima kibali. Na hatimae wakanyimwa leseni 2018 (they had already decided to relocate to Mozambique by the time the Citizen report 2018). Simple logic: Kwa kufanya hivyo walizuiwa kufanya mabadiliko waliyotarajia. Mbona bado wana-operate South Africa, Zimbabwe na Mozambique?

Hivi nyie watu, mnashindwa hata kufuatilia sequence of events? Mchungaji Msigwa aliwaambia ukweli: nyie wenzetu mnachukua muda mrefu sana kuelewa. And he was probably being too kind; he should have told you that you refuse to understand.
 
You are not using your heard. My point is this: Fastjet walishajua what to do to turn around their business. Na moja kati ya hatua zao ilikuwa ni kubadilisha ndege toka Airbus 320 (200 plus seater) kwenda Embraer 190 (70- 150 seater) to reduce operating costs). Waliomba kufanya hivyo 2017, serikali ikawanyima kibali. Na hatimae wakanyimwa leseni 2018 (they had already decided to relocate to Mozambique by the time the Citizen report 2018). Simple logic: Kwa kufanya hivyo walizuiwa kufanya mabadiliko waliyotarajia. Mbona bado wana-operate South Africa, Zimbabwe na Mozambique?

Hivi nyie watu, mnashindwa hata kufuatilia sequence of events? Mchungaji Msigwa aliwaambia ukweli: nyie wenzetu mnachukua muda mrefu sana kuelewa. And he was probably being too kind; he should have told you that you refuse to understand.
Hii nchi inaongozwa kwa sheria, taratibu na kanuni, haiongozwi kutokana na matakwa ya watu. Fast jet walipewa muda wa kurekebisha kasoro walizokuwa nazo kwa mujibu wa sheria na taratibu zinazolinda usafiri wa anga, baada ya kipindi kwisha, sheria inasema serikali inamuandikia barua ya kumfutia lesseni na kumpa kipindi cha miezi mitatu ili ajiandae kufunga biashara. Sasa kama yote yalifanyika, kosa liko wapi?. Hata kama alikua na mpango wa kurekebisha, au alirekebisha, lakini alikua nje ya muda uliowekwa kisheria, ulitaka serikali itumie kipengele kipi cha kuwaruhusu?, kama walionewa kwanini wasiende mahakamani?
 
You are not using your heard. My point is this: Fastjet walishajua what to do to turn around their business. Na moja kati ya hatua zao ilikuwa ni kubadilisha ndege toka Airbus 320 (200 plus seater) kwenda Embraer 190 (70- 150 seater) to reduce operating costs). Waliomba kufanya hivyo 2017, serikali ikawanyima kibali. Na hatimae wakanyimwa leseni 2018 (they had already decided to relocate to Mozambique by the time the Citizen report 2018). Simple logic: Kwa kufanya hivyo walizuiwa kufanya mabadiliko waliyotarajia. Mbona bado wana-operate South Africa, Zimbabwe na Mozambique?

Hivi nyie watu, mnashindwa hata kufuatilia sequence of events? Mchungaji Msigwa aliwaambia ukweli: nyie wenzetu mnachukua muda mrefu sana kuelewa. And he was probably being too kind; he should have told you that you refuse to understand.
Unataka kutuaminisha kwamba Fastjet ilidhulumiwa na serikali ilihali wao hawakuenda Mahakamani kupiga kuzuiwa kuleta ndege? Mara ngapi Serikali imeshtakiwa na ikapoteza kesi? Hii ndio kawaida ya biashara, na kama TCAA waliwadhulumu basi wako na haki ya kuwashtaki kwa ICAO/IATA.
Stop peddling rumours and misinformation.fastjet problems have very little to do with GoT
 
You are not using your heard. My point is this: Fastjet walishajua what to do to turn around their business. Na moja kati ya hatua zao ilikuwa ni kubadilisha ndege toka Airbus 320 (200 plus seater) kwenda Embraer 190 (70- 150 seater) to reduce operating costs). Waliomba kufanya hivyo 2017, serikali ikawanyima kibali. Na hatimae wakanyimwa leseni 2018 (they had already decided to relocate to Mozambique by the time the Citizen report 2018). Simple logic: Kwa kufanya hivyo walizuiwa kufanya mabadiliko waliyotarajia. Mbona bado wana-operate South Africa, Zimbabwe na Mozambique?

Hivi nyie watu, mnashindwa hata kufuatilia sequence of events? Mchungaji Msigwa aliwaambia ukweli: nyie wenzetu mnachukua muda mrefu sana kuelewa. And he was probably being too kind; he should have told you that you refuse to understand.
Pewa bia kwa bill yangu kaka,hawa vibraka wa ccm ni mdomo kubwa tu bila facts,I'm glad you've single handedly put them in their place.
 
Nchi inaongozwa kwa katiba, acha upumbavu wako hapa, rais aliapa kuilinda katiba ya nchi, hakuapa kulinda feasibility study, mpumbavu mkubwa wewe.

Feasibility study ni public document, na unayo haki kama raia wa nchi hii kuona, japo wewe ni miongoni mwa raia wajinga.

Hakuna matakwa ya sheria yanayolazimisha kwamba "all public documents" lazima ziwekwe mitandaoni, nenda sehemu husika utapewa na utaisoma. Punguza ujinga kidogo.
[/QUOTE
😬😬😬😬Foolish idiot huna hoja una hama kwenye reli🤣🤣🤣🤣🤣
 
joto la jiwe...unajuwa maana ya public document...je wewe umeshawai enda hko wizarani ukaonyeshwa hyo feasibility study ya sgr jiwe...na km hujaenda basi wewe utakuwa msukule...unaunga mkono vitu usivyovijua...na km umeenda mpee mwenzako hata link basi
 
Unataka kutuaminisha kwamba Fastjet ilidhulumiwa na serikali ilihali wao hawakuenda Mahakamani kupiga kuzuiwa kuleta ndege? Mara ngapi Serikali imeshtakiwa na ikapoteza kesi? Hii ndio kawaida ya biashara, na kama TCAA waliwadhulumu basi wako na haki ya kuwashtaki kwa ICAO/IATA.
Stop peddling rumours and misinformation.fastjet problems have very little to do with GoT

Waende mahakama gani na kufanya nini? Why bother with people who don't appreciate investors? Mfanyabiashara yeyote wa nje hatashtaki kwenye mahakama za hapa, ila ataenda kwenye Arbitration under International laws. Unadhani ni kwa nini mungu wenu ametunga sheria ili eti disputes zote ziwe handled na mahakama anazoziamuru cha kuamua?

Ukiweka mazingira magumu ya mtu kufanya biashara nchini kwako watu wanahamia nchi nyingine. It is as simple as that. Ni nyie ccm tu msiojua hilo.
Btw (and off topic but based on ridiculous laws this government is putting in place); unakumbuka yule mkuu wa mkoa wa Songwe aliwaambia wafanyabiashara wa Tunduma arrogantly "anaeona hawezi kufanya biashara kwa kufuata masharti ya serikali aache"? Unajua walichofanya hao wafanyabiashara? They just relocated across the border Nakonde. Sasa hivi Watanzania Tunduma wananunua sukari, sabuni etc Zambia na kodi inalipwa huko pia.

Two months down the line same mkuu wa mkoa anasemaje? Njooni muendelee na biashara zenu, na kama kuna matatizo yanazungumzika.

Sasa kama hao machinga wa Tunduma hawakuenda mahakamani - but voted with their feet and money - do you honestly believe Fastjet would go that way? Those guys are NOT FOOLS. Ungejua Fastjet inamilikiwa na nani na ipo kwenye aviation industry kwa muda gani you wouldn't have the same opinions. But only if you use your head.
 
joto la jiwe...unajuwa maana ya public document...je wewe umeshawai enda hko wizarani ukaonyeshwa hyo feasibility study ya sgr jiwe...na km hujaenda basi wewe utakuwa msukule...unaunga mkono vitu usivyovijua...na km umeenda mpee mwenzako hata link basi

Hana ajualo huyo. Achana nae.
 
Nchi inaongozwa kwa katiba, acha upumbavu wako hapa, rais aliapa kuilinda katiba ya nchi, hakuapa kulinda feasibility study, mpumbavu mkubwa wewe.

Feasibility study ni public document, na unayo haki kama raia wa nchi hii kuona, japo wewe ni miongoni mwa raia wajinga.

Hakuna matakwa ya sheria yanayolazimisha kwamba "all public documents" lazima ziwekwe mitandaoni, nenda sehemu husika utapewa na utaisoma. Punguza ujinga kidogo.
Sikia ww mjinga mm ningekuwa Magu ili msipate tabu mnapoimba pambio za kunisifu ningefanya kama ifuatavyo
1.ningejenga km 25,000 za barabara ndani ya miaka 10 sawa na wastani wa km 2500 kila mwaka kinyume na sasa ambapo ni chini ya km 500 kwa mwaka, kumbuka Tanroads pekee ina 35,000km sijagusia Tarura.Why barabara ni kwa vile kila km 1 inayokamilika inaanza kurejesha pesa on the spot,pili multiplier effects ya barabara ni kubwa kuliko reli,afu 1/3 ya pesa inabaki kuzunguka nchini Unlike reli ambayo haifanyi hayo nilivyoeleza hapo juu.Just imagine multiplier effects ya km 25000 kwenye uchumi ulinganishe na km 3000 plus za reli
Kwa km hizo ningekuwa nimeifu gua hii nchi fursa za biashara kila kona kila mkoa kila mpaka wa nchi,miji ingekuwa na watu wangepata maendeleo upuuzi wa foleni za Dar sijui wapi usingekuwepo
2.Ningeimalisha reli ya mkoloni ili kuiongezea speed Hadi km 80/hr hivyo kuiongezea ufanisi isaidiane na barabara
3.Wala nisingehangaika na stiglaz badala yake ningekuwa na plani ya kuzalusha umeme ambao utatosheleza miaka hadi kumi na kwa Tzn hapa miradi 3 ya maporomoko ya maji tu yenye uwezo wa megawatt 1000 ingetosheleza gharama zake ni chini ya trioni mbili,ukisoma bajeti ya Kalemani utaiona.Hii mamake ningeokoa matilioni ya stiglaz na kuokoa hifadhi
Kila miaka 5 nafanya niongeze vyanzo kwa kiwango gani hii itafanya uwekezaji wangu isiathirike uchumi na utanihakikishia umeme wa kutosha,kumbuka megawati 2000 unatakiwa uwe na uchumi mkubwa kupita kenya labda ndio utazimaliza,sasa serikali yenu inasema eti inataka 2025 kuwe na megawati 10,000.Za kazi gani wakati inaweza kutuhumiwa 2040 hadi kuzimaliza hizo,gharama za maintanance cost zitakuwa kubwa sana tayari unakuwa umemisallocate resources,,tathmini ya faida na hasara za kiuchumi ndio iwe road map sio nia njema
Mchakato wote huo over 10 yrs ungenigharimu bajeti ya tilioni 7 tu ambazo ccm inataka ziishie kwenye reli hapo bado za stiglaz.Hiyo ni mfano kwenye sekta ya umeme na barabara tu
Mwisho wa siku uchumi ungekua zaidi,watu wasingelia lia hakuna pesa na mwisho ningepata pesa nyingi ambazo ningeendeshea afya,shule,maji,salary etc bila pressure ya kudanganya watu.Hata ukosoaji ungekuwa wa kawaida huku watu wanapiga kazi na bata
 
It is even more scary to Tanzania. Kumbuka production ya Kenya ni more than thrice ya Tanzania which in turn means wana mizigo mingi zaidi yetu. So if that is the case with their SGR, what will happen to ours?
Hapa haizungumzii production bali potentional transit goods to/fromr DRC, Burundi, Uganda and our own goods and mineral resources to/from west TZ
 
I started using my brain probably before you were born. For your information; am self-employed and am an employer. I know what the business world demands. It is stupidity thinking that an asset that was acquired on loan is always more expensive to operate than the one acquired otherwise. Ever heard of opportunity and notional costs? Kuna wakati kuwa na nyumba yako mwenyewe ni more expensive operation-wise than renting.

Brother mdogo ako nina shida,nimesoma katika field hii hii unayo inyumbua vyema(ECONOMICS)...kama hutojali niku dm au emailing
 
Sikia ww mjinga mm ningekuwa Magu ili msipate tabu mnapoimba pambio za kunisifu ningefanya kama ifuatavyo
1.ningejenga km 25,000 za barabara ndani ya miaka 10 sawa na wastani wa km 2500 kila mwaka kinyume na sasa ambapo ni chini ya km 500 kwa mwaka, kumbuka Tanroads pekee ina 35,000km sijagusia Tarura.Why barabara ni kwa vile kila km 1 inayokamilika inaanza kurejesha pesa on the spot,pili multiplier effects ya barabara ni kubwa kuliko reli,afu 1/3 ya pesa inabaki kuzunguka nchini Unlike reli ambayo haifanyi hayo nilivyoeleza hapo juu.Just imagine multiplier effects ya km 25000 kwenye uchumi ulinganishe na km 3000 plus za reli
Kwa km hizo ningekuwa nimeifu gua hii nchi fursa za biashara kila kona kila mkoa kila mpaka wa nchi,miji ingekuwa na watu wangepata maendeleo upuuzi wa foleni za Dar sijui wapi usingekuwepo
2.Ningeimalisha reli ya mkoloni ili kuiongezea speed Hadi km 80/hr hivyo kuiongezea ufanisi isaidiane na barabara
3.Wala nisingehangaika na stiglaz badala yake ningekuwa na plani ya kuzalusha umeme ambao utatosheleza miaka hadi kumi na kwa Tzn hapa miradi 3 ya maporomoko ya maji tu yenye uwezo wa megawatt 1000 ingetosheleza gharama zake ni chini ya trioni mbili,ukisoma bajeti ya Kalemani utaiona.Hii mamake ningeokoa matilioni ya stiglaz na kuokoa hifadhi
Kila miaka 5 nafanya niongeze vyanzo kwa kiwango gani hii itafanya uwekezaji wangu isiathirike uchumi na utanihakikishia umeme wa kutosha,kumbuka megawati 2000 unatakiwa uwe na uchumi mkubwa kupita kenya labda ndio utazimaliza,sasa serikali yenu inasema eti inataka 2025 kuwe na megawati 10,000.Za kazi gani wakati inaweza kutuhumiwa 2040 hadi kuzimaliza hizo,gharama za maintanance cost zitakuwa kubwa sana tayari unakuwa umemisallocate resources,,tathmini ya faida na hasara za kiuchumi ndio iwe road map sio nia njema
Mchakato wote huo over 10 yrs ungenigharimu bajeti ya tilioni 7 tu ambazo ccm inataka ziishie kwenye reli hapo bado za stiglaz.Hiyo ni mfano kwenye sekta ya umeme na barabara tu
Mwisho wa siku uchumi ungekua zaidi,watu wasingelia lia hakuna pesa na mwisho ningepata pesa nyingi ambazo ningeendeshea afya,shule,maji,salary etc bila pressure ya kudanganya watu.Hata ukosoaji ungekuwa wa kawaida huku watu wanapiga kazi na bata
Very good dreams and vision. Unajua maana ya demokrasia?. Hata Magufuli alikua ana mawazo yake kabla hajawa rais, yeye alikua anadhani mawazo yake ni mazuri na sahihi kama ambavyo wewe unadhani mawazo yako ni sahihi. Katika nchi hizi zetu, kuna njia mbili za kutaka kutimiza mawazo yako
1) Kuyapekeka Serikalini ili wayapitie na kuyafanyia kazi
2) Kugombea urais ili uweze kuyatekeleza.

Kwasasa hivi, watanzania wengi wanamuelewa na kukubali Sera na mipango ya Magufuli, hiyo yako tumia mwenyewe na familia yako. Jitahidi uisaidie familia na jamii yako ijikwamue kiuchumi kwanza wakati ukisubiri 2020 ili utushawishi tukuchague.
 
Waende mahakama gani na kufanya nini? Why bother with people who don't appreciate investors? Mfanyabiashara yeyote wa nje hatashtaki kwenye mahakama za hapa, ila ataenda kwenye Arbitration under International laws. Unadhani ni kwa nini mungu wenu ametunga sheria ili eti disputes zote ziwe handled na mahakama anazoziamuru cha kuamua?

Ukiweka mazingira magumu ya mtu kufanya biashara nchini kwako watu wanahamia nchi nyingine. It is as simple as that. Ni nyie ccm tu msiojua hilo.
Btw (and off topic but based on ridiculous laws this government is putting in place); unakumbuka yule mkuu wa mkoa wa Songwe aliwaambia wafanyabiashara wa Tunduma arrogantly "anaeona hawezi kufanya biashara kwa kufuata masharti ya serikali aache"? Unajua walichofanya hao wafanyabiashara? They just relocated across the border Nakonde. Sasa hivi Watanzania Tunduma wananunua sukari, sabuni etc Zambia na kodi inalipwa huko pia.

Two months down the line same mkuu wa mkoa anasemaje? Njooni muendelee na biashara zenu, na kama kuna matatizo yanazungumzika.

Sasa kama hao machinga wa Tunduma hawakuenda mahakamani - but voted with their feet and money - do you honestly believe Fastjet would go that way? Those guys are NOT FOOLS. Ungejua Fastjet inamilikiwa na nani na ipo kwenye aviation industry kwa muda gani you wouldn't have the same opinions. But only if you use your head.
Unatoa hoja za kinyonge sana kaka
1) Kama fastjet hawataki kupeleka serikali mahakama za Tz ama popote pale kama IATA/ICAO wana cha kuficha waache kusingizia serikali taabu zao. Kwa kawaida hata wewe ukienda marekani kuwekeza hauna budi lazima ufuate sheria za humo na utatue migogoro kwa korti zao

2) Na shangaa private sector inauliza ipewe appreciation kama gani hivi? They are not doing anyone a favour, they are here for profit. Tz ina consumers 60 million,soko kubwa sana na mwekezaji ambaye atatii sheria za nchi yupo welcome. Wenye wanafikiria Tz ni shamba la bibi waende kabisa

3) Nilikuuliza swali ukalikwepa sana, wapi nchi za magharibi ambapo 75% investment na 97% employment ni private sector only?? Tanzania imeliwa na private sector wakwepa kodi na wananguvu mno ukiwagusa nchi inatikisika..Hili lazima libadilike
 
Very good dreams and vision. Unajua maana ya demokrasia?. Hata Magufuli alikua ana mawazo yake kabla hajawa rais, yeye alikua anadhani mawazo yake ni mazuri na sahihi kama ambavyo wewe unadhani mawazo yako ni sahihi. Katika nchi hizi zetu, kuna njia mbili za kutaka kutimiza mawazo yako
1) Kuyapekeka Serikalini ili wayapitie na kuyafanyia kazi
2) Kugombea urais ili uweze kuyatekeleza.

Kwasasa hivi, watanzania wengi wanamuelewa na kukubali Sera na mipango ya Magufuli, hiyo yako tumia mwenyewe na familia yako. Jitahidi uisaidie familia na jamii yako ijikwamue kiuchumi kwanza wakati ukisubiri 2020 ili utushawishi tukuchague.
Haaa haaa mawazo ya Magu ni hayo hayo toka kwenye kampeni kilichoongezeka hapo ni stiglaz tuu,hayo ni mawazo at macro level hayasuit kwenye entity ya familia huko ninayo mengine buda
Hayo mawazo ningeyaweka kwa jopo langu la washauri wa uchumi hasa kwa kuwa na mimi ni mchumi hakuna wa kuniingiza chaka ndugu.Kwa mawazo hayo hapo juu hata wewe ungepata kazi nyingine nzuri kuliko hii ya kujikimu kwa kuropoka na kusifia hatu ushuzi,😂😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom