Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu ndo mnaanzaga hivi hivi kulihujumu Taifa.Katika mradi wa ovyo ulivotumika kujenga reli.
Subirini mvua zije?. Hii kauli mtaikumbuka
Nahisi wewe uzunguki maporini. Kuna sehemu reli imepitishwa juu na kuzibwa njia za mishipa ya maji. Subiri tu kwani mi mvuaHalafu ndo mnaanzaga hivi hivi kulihujumu Taifa.
Utashangaa kweli mwakani au baada ya miaka miwili, huu utabiri "uchwara" unatimia kweli kwa hasara ya nchi!
Mkuu Tanzania yote hii nimeshazunguka ikiwa ni pamoja na sehemu reli ilikopita.Nahisi wewe uzunguki maporini. Kuna sehemu reli imepitishwa juu na kuzibwa njia za mishipa ya maji. Subiri tu kwani mi mvua
ChAdema mnatabu saanKatika mradi wa ovyo ulivotumika kujenga reli.
Subirini mvua zije?. Hii kauli mtaikumbuka
Mvua za El Nino zimenyesha. Zimeleta mafuriko na kuharibu miundombinu kibao lakini hii reli iko intact. Watu wamezoea kuvuka kila mahali kama mbuzi wamewekewa sehemu maalum wanaona shida.Katika mradi wa ovyo ulivotumika kujenga reli.
Subirini mvua zije?. Hii kauli mtaikumbuka
Anaropoka tu huyo. El Nino si imeisha miezi michache iliopita? Au reli haikuwepo.Mkuu Tanzania yote hii nimeshazunguka ikiwa ni pamoja na sehemu reli ilikopita.
Swali langu kwako ni Je, umejuaje kwamba hadi mvua zinanyesha hiyo miundombinu itakuwa haijarekebishwa ilhali sote tunajua kazi bado inaendelea?!
Ukijenga bondeni ukaambiwa toka kuna mafuriko. Ukakaza fuvu mvua zikijaa nyumba ikaezuliwa unasubiri kuja kulaumu serikali?Halafu ndo mnaanzaga hivi hivi kulihujumu Taifa.
Utashangaa kweli mwakani au baada ya miaka miwili, huu utabiri "uchwara" unatimia kweli kwa hasara ya nchi!
Hii ni aibu kwa kweli reli hii inavopendwa na wa tz lakini sasa sgr wamefanya kituko ambacho hata kusema ni reli ya kimataifa ni aibu tena aibu sana ! Yani nyumba zilizopo karibu na reli sgr (Dodoma makulu )umepita uzio kwenye njia walizokuwa wakitumia hata gari za dharura haziwez kufika . Hata bajaji haziwezi kufika je wananchi hao serikali haioni ama ni kuwanyima haki yao ya msingi na kudhoofisha maendeleo?