SGR ndiyo project ya kwanza Black Kenya!

SGR ndiyo project ya kwanza Black Kenya!

Kwa kukimbia Kenya ni namba moja Duniani hilo halina ubishi lkn hata hizo mbiyo za watu wa Rift Valley ni white mans project!
Mzungu ndiye aliyegundua kwanza uwezo mkubwa wa watu wa Rift Valley na kuundeleza na leo hii wanaendeleza tu kile Mzungu alichoanzisha hivyo ni fair kusema bila Mzungu hao wakimbiaji wasingefika popote!

huwa sina wakati wa
verbal diarrhea, the kind of you! Let give you more food for thought!!
english-point-marina11.jpg



epm_front.jpg


EnglishPoint Marina, mombasa,if at all you know whats a marina. tutarudi rio baadaye!!!
2012-11-24-13-41-46-jpg.354736




1040609_597838550248865_188769737_o-jpg.354737

langata southern bypass interchange
7PEqBqk.jpg

o12PQum.jpg


10809767_119256468478117_550286625_n.jpg



gantry-signs-jpg.354685


1471105493866-jpg.381022


coud8texgaabipg-jpg.375894


mobius-ii-01-1-jpg.376931


28117015691_52e0e7d0e9_b-jpg.377319


Cl0oxrbWYAA8BmT.jpg:large

snowinkinangop.jpg


snowinkinangop3.jpg


whatever I had to give you this!!

large_c7c5e82e_1cc5_2858_28b7_70e238894c9b.jpg


jameni nikumbushe tupo kenya au tanzania!!! nikome hapo kwa sasa!! narudi
 
Nchi ya Kenya chini ya Waafrika wa Kikenya, haijawahi kujenga mradi mkubwa wowote tangu Uhuru, kila kilichokuwepo kilijengwa na Wazungu, hivyo hii SGR ndiyo mradi wa kwanza wa Black Kenya kwa miaka zaidi ya 50!

Kinyume na TZ yetu sisi tumejenga karibia kila kitu wenyewe, hata TAZARA tumejenga baada ya Uhuru achilia mbali miradi mingine mikubwa!

the changing face of kenyan pubblic hospitals
Quote:
The ongoing renovations at the General Wards and Maternity Wing at the CPGH are progressing well.
We have procured additional modern equipment currently being assembled at the hospital which includes patient beds, specialized orthopedic beds, baby cots, stretchers among others.
We are committed to providing a progressive responsive and sustainable healthcare system for all.
Facebook

13886362_1117297741661904_759739610492412377_n.jpg


13879376_1117308201660858_7355088422123259058_n.jpg


13880347_1117297758328569_3778376351892136503_n.jpg


13872879_1117297954995216_3725115985181846239_n.jpg


13873041_1117297294995282_8603520847082009813_n.jpg


13892199_1117297918328553_617870764234646357_n.jpg


13654334_1117297458328599_2364606040058153324_n.jpg


12472513_1117297274995284_653902535020232087_n.jpg


mambo yalivyo hospitali za umma tanzania na miradi yao tangu uhuru!!!
6a010536fa9ded970b017ee4418808970d-pi


zahanati ya kijijini msambweni lungalunga kwale county mpakani wa kenya na tz!!
14045923_1637386046553006_1770011890455137962_n.jpg


14079748_1637386299886314_3142841433926796859_n.jpg


14022081_1637386456552965_5614320095908497115_n.jpg


zahanati ya tiwi, diani kwale
14040187_1637769843181293_4270399516651714304_n.jpg

14022317_1637769863181291_8890058973622845850_n.jpg


14063972_1637382233220054_9101151170656834042_n.jpg
 


Hahah nimependa hiyo ya snow sijui hata unataka kusema nini, anyway vyovyote vile lkn kichwa chako kimejaa wadudu nafikiri wale funza wenu walifika mpka kichwani next time jaribu kuvaa viatu ili funza wasiendelee kukudhuru!
 
Hahah nimependa hiyo ya snow sijui hata unataka kusema nini, anyway vyovyote vile lkn kichwa chako kimejaa wadudu nafikiri wale funza wenu walifika mpka kichwani next time jaribu kuvaa viatu ili funza wasiendelee kukudhuru!

yep I like your vibe, fatal mouth diarrhea!!!

soka ya ndogo mitaani mombasa!!!

14088506_1810690022479632_1560874567184051179_n.jpg


13939368_1810690049146296_3785548904385130043_n.jpg



13653271_1060419097372643_4828431975841442434_o.jpg

13692719_1107573849300960_2216058776172967322_n.jpg


barabara za kijijini
13692976_1068717766542776_6219174145947166761_o.jpg


13510858_1094894707235541_6692832531749836409_n.jpg
 
Barbadosa anajua kuchukua data nmemkubali!! Kwahyo alitaka k ufahamu ameshafahamu sasa
 
Barbadosa anajua kuchukua data nmemkubali!! Kwahyo alitaka k ufahamu ameshafahamu sasa
kama ni data tu alitaka, si angeuliza tu angepewa.... hamna haja ya kutumia njia ndefu. lakini sasa angalau umeona ule ujinga ambao tunaopinzani kila kuchao
 
Hizi league za uku jf haziwez kwisha. ....kila siku watu wanatengeneza uzi
 
Sitapoteza muda mwingi kukujibu maana ni kama huwa unavuta mmea fulani, maana hii mada huwa unaibuka nayo kwa mwezi mara moja, mwanzoni tulihangaika kukuelimisha, tukakuletea data nyingi tukitegemea utakua na akili. Lakini baada ya mwezi mmoja unarudia hoja ile ile huku ukitumia kichwa tofauti.

Kifupi ni kwamba nchi yetu ya Kenya tumejijengea wenyewe, tulishaorodhesha humu miradi yote ambayo imekua ikiendelea Kenya. Sina haja ya kuyarudia yote. Lakini miaka ya themanini tulicheleweshwa na chama tawala dhalimu cha wakati ule, kama jinsi Tanzania inacheleweshwa na CCM hadi leo. Tanzania ya leo inayojinadi ya kubana matumizi, mnajenga uwanja wa ndege wa kimataifa kijijini maeneo ya Chato ambapo hamtegemei mtu yeyote wa kimataifa kutua pale. Bora hata mngeboresha Bukoba iwe ya kimataifa. Mambo kama hayo ndio yalituchelewesha sana kipindi cha uongozi wa chama tawala cha wakati ule.

Lakini punde tu, tulipokibadilisha na kukipiga chini hicho chama, Kenya ilipepea na kuiacha Tanzania kwenye vumbi na lindi la umaskini. Hata Tanzania itawabidi mfikie huo uamuzi, ikiwezekana kwenye uchaguzi wa 2020 hapo ndio mtaona nchi inaanza kupiga hatua za kweli. Lakini kwa sasa mtaendelea kuona vioja na ukurupukaji wa hali ya juu, mara mnahamia Dodoma, mara naona eti Makonda kasema watu wa Mikoani msije Dar bila sababu maalum, mara watu wasiokua na kazi wahesabiwe Dar, mara kushtukiza kule mara hiki, mara kile, yaani hakuna mikakati, hakuna mpango wowote, ni kukurupuka full kwenda mbele.
Mkenya gani ana tumia lugha ya kiswahili vizuri namna hii na anapangilia hoja zake vema namna hii!
We utakua Kijana fulani wa BAVICHA if not hongera sana.
 
mleta mada hii umetudhalilisha sana wabongo. Kuja na hoja mfu kiasi hiki. Mbaya zaidi unaupa sifa mbaya mmea wetu, kumbe kichwa chako ni kibovu.
 
Nchi ya Kenya chini ya Waafrika wa Kikenya, haijawahi kujenga mradi mkubwa wowote tangu Uhuru, kila kilichokuwepo kilijengwa na Wazungu, hivyo hii SGR ndiyo mradi wa kwanza wa Black Kenya kwa miaka zaidi ya 50!

Kinyume na TZ yetu sisi tumejenga karibia kila kitu wenyewe, hata TAZARA tumejenga baada ya Uhuru achilia mbali miradi mingine mikubwa!
Ningependa kukumbushwa tuu ulimaanisha kukejeli Kama ilivyo kawaida yenyu nyinyi Kama watani wetu. Lakini ikibainika ya kuwa huo ndio mtazamo wako na wenye kukuunga mkono , basi TZ Kama nchi ipo pabaya. Kama hamyajui Yale yanayotendeka ujiranini, mtayajua aje ya nchi za ng'ambo na ulimwengu kwa ujumla kwa ajili ya kuendanisha na ulimwengu wa sasa?
 
Nchi ya Kenya chini ya Waafrika wa Kikenya, haijawahi kujenga mradi mkubwa wowote tangu Uhuru, kila kilichokuwepo kilijengwa na Wazungu, hivyo hii SGR ndiyo mradi wa kwanza wa Black Kenya kwa miaka zaidi ya 50!

Kinyume na TZ yetu sisi tumejenga karibia kila kitu wenyewe, hata TAZARA tumejenga baada ya Uhuru achilia mbali miradi mingine mikubwa!
Ningependa kukumbushwa tuu ulimaanisha kukejeli Kama ilivyo kawaida yenyu nyinyi Kama watani wetu. Lakini ikibainika ya kuwa huo ndio mtazamo wako na wenye kukuunga mkono , basi TZ Kama nchi ipo pabaya. Kama hamyajui Yale yanayotendeka ujiranini, mtayajua aje ya nchi za ng'ambo na ulimwengu kwa ujumla kwa ajili ya kuendanisha na ulimwengu wa sasa?
 
the changing face of kenyan pubblic hospitals
Quote:
The ongoing renovations at the General Wards and Maternity Wing at the CPGH are progressing well.
We have procured additional modern equipment currently being assembled at the hospital which includes patient beds, specialized orthopedic beds, baby cots, stretchers among others.
We are committed to providing a progressive responsive and sustainable healthcare system for all.
Facebook

13886362_1117297741661904_759739610492412377_n.jpg


13879376_1117308201660858_7355088422123259058_n.jpg


13880347_1117297758328569_3778376351892136503_n.jpg


13872879_1117297954995216_3725115985181846239_n.jpg


13873041_1117297294995282_8603520847082009813_n.jpg


13892199_1117297918328553_617870764234646357_n.jpg


13654334_1117297458328599_2364606040058153324_n.jpg


12472513_1117297274995284_653902535020232087_n.jpg


mambo yalivyo hospitali za umma tanzania na miradi yao tangu uhuru!!!
6a010536fa9ded970b017ee4418808970d-pi


zahanati ya kijijini msambweni lungalunga kwale county mpakani wa kenya na tz!!
14045923_1637386046553006_1770011890455137962_n.jpg


14079748_1637386299886314_3142841433926796859_n.jpg


14022081_1637386456552965_5614320095908497115_n.jpg


zahanati ya tiwi, diani kwale
14040187_1637769843181293_4270399516651714304_n.jpg

14022317_1637769863181291_8890058973622845850_n.jpg


14063972_1637382233220054_9101151170656834042_n.jpg
Have you ever been to Tz !!!!!......

Mnastahili pongezi kwa maendeleo yenu lakini ukitaka kuidhalilisha tz vizuri bhasi yakupasa utafute mambo ambayo ni "EXTRA ORDINARY " kwa watz .......

Yaani hayo yote uliyoyaonesha yanaweza kuoneshwa na dodoma na tena chuo cha dodoma pekee "UDOM".....
Can you even imagine that !!!!!!

Wake up bro Tz haipo the same...Tz hakuna publicity za county gava kama za Kenya lakini tunayoyafanya yapo kimya kimya

Lets enjoy what our economies ar able to offer to us ....
Lets look for the opportunities across EAC .......
 
Sawa Watanzania tuna miradi yetu hatujarithi kwa wakoloni. Lakini mbona pesa ya Kenya ina samani zaidi yetu?
 
Have you ever been to Tz !!!!!......

Mnastahili pongezi kwa maendeleo yenu lakini ukitaka kuidhalilisha tz vizuri bhasi yakupasa utafute mambo ambayo ni "EXTRA ORDINARY " kwa watz .......

Yaani hayo yote uliyoyaonesha yanaweza kuoneshwa na dodoma na tena chuo cha dodoma pekee "UDOM".....
Can you even imagine that !!!!!!

Wake up bro Tz haipo the same...Tz hakuna publicity za county gava kama za Kenya lakini tunayoyafanya yapo kimya kimya

Lets enjoy what our economies ar able to offer to us ....
Lets look for the opportunities across EAC .......
your

I don't really get the bottom line calling me out but I will give it to you, you seem to be a guy who has a good grasp of words and debate decorum!!
 
Sawa Watanzania tuna miradi yetu hatujarithi kwa wakoloni. Lakini mbona pesa ya Kenya ina samani zaidi yetu?


Ni thamani na siyo samani, samani ni vifaa vya ndani kama meza, kiti n.k. rekebisha hilo kwanza halafu ndiyo urudi, isitoshe unaongelea vitu viwili tofauti na nina wasi wasi hata umeelewa nilichomaanisha!
 
Nchi ya Kenya chini ya Waafrika wa Kikenya, haijawahi kujenga mradi mkubwa wowote tangu Uhuru, kila kilichokuwepo kilijengwa na Wazungu, hivyo hii SGR ndiyo mradi wa kwanza wa Black Kenya kwa miaka zaidi ya 50!

Kinyume na TZ yetu sisi tumejenga karibia kila kitu wenyewe, hata TAZARA tumejenga baada ya Uhuru achilia mbali miradi mingine mikubwa!
Sifa za kijinga gdp yao iko juu
 
Sitapoteza muda mwingi kukujibu maana ni kama huwa unavuta mmea fulani, maana hii mada huwa unaibuka nayo kwa mwezi mara moja, mwanzoni tulihangaika kukuelimisha, tukakuletea data nyingi tukitegemea utakua na akili. Lakini baada ya mwezi mmoja unarudia hoja ile ile huku ukitumia kichwa tofauti.

Kifupi ni kwamba nchi yetu ya Kenya tumejijengea wenyewe, tulishaorodhesha humu miradi yote ambayo imekua ikiendelea Kenya. Sina haja ya kuyarudia yote. Lakini miaka ya themanini tulicheleweshwa na chama tawala dhalimu cha wakati ule, kama jinsi Tanzania inacheleweshwa na CCM hadi leo. Tanzania ya leo inayojinadi ya kubana matumizi, mnajenga uwanja wa ndege wa kimataifa kijijini maeneo ya Chato ambapo hamtegemei mtu yeyote wa kimataifa kutua pale. Bora hata mngeboresha Bukoba iwe ya kimataifa. Mambo kama hayo ndio yalituchelewesha sana kipindi cha uongozi wa chama tawala cha wakati ule.

Lakini punde tu, tulipokibadilisha na kukipiga chini hicho chama, Kenya ilipepea na kuiacha Tanzania kwenye vumbi na lindi la umaskini. Hata Tanzania itawabidi mfikie huo uamuzi, ikiwezekana kwenye uchaguzi wa 2020 hapo ndio mtaona nchi inaanza kupiga hatua za kweli. Lakini kwa sasa mtaendelea kuona vioja na ukurupukaji wa hali ya juu, mara mnahamia Dodoma, mara naona eti Makonda kasema watu wa Mikoani msije Dar bila sababu maalum, mara watu wasiokua na kazi wahesabiwe Dar, mara kushtukiza kule mara hiki, mara kile, yaani hakuna mikakati, hakuna mpango wowote, ni kukurupuka full kwenda mbele.

Ilo jinga ilo linalinganisha watu wa Kenya na zombie wa kibongo
 
Hello watu wangu wa tz, hatuwezi jilinganisha na kenya, huo ndo ukweli, hata kama vitu walivonavyo ni Whiteman alianzisha but wenzetu wameweza kuviendeleza, wakati huku kwetu vingi tumeua, kama reli ya dar to arusha, baadhi ya viwanda. Etc, halafu Tazara hatujajenga sie. Ni wachina. Kilimo Tanzania tumekitupa kabisaa ila wenzetu wamekipa kipaumbele kuliko vitu zingine sababu wana viwanda sie ni porojo kila siku. So watz tuache wivu bali tufanye kazi kwa bidii,
Embu angalia uchumi wao!!!? Kenya halafu fananisha na wetu
 
Hello watu wangu wa tz, hatuwezi jilinganisha na kenya, huo ndo ukweli, hata kama vitu walivonavyo ni Whiteman alianzisha but wenzetu wameweza kuviendeleza, wakati huku kwetu vingi tumeua, kama reli ya dar to arusha, baadhi ya viwanda. Etc, halafu Tazara hatujajenga sie. Ni wachina. Kilimo Tanzania tumekitupa kabisaa ila wenzetu wamekipa kipaumbele kuliko vitu zingine sababu wana viwanda sie ni porojo kila siku. So watz tuache wivu bali tufanye kazi kwa bidii,
Embu angalia uchumi wao!!!? Kenya halafu fananisha na wetu
Mkuu,
Hebu weka justification hapo kwenye kilimo
Ni mwezi tu umekwisha tangu tumewapelekea kenya chakula baada ya ukosefu mkubwa wa chakula nchini mwao .
Au maana yako ilikuwa nini?
 
Mkuu,
Hebu weka justification hapo kwenye kilimo
Ni mwezi tu umekwisha tangu tumewapelekea kenya chakula baada ya ukosefu mkubwa wa chakula nchini mwao .
Au maana yako ilikuwa nini?
hehe naongelea kibiashara na jinsi wenzetu serikali yao inavojali wakulima na hata kuwapatia pembejeo bila siasa za uchuro ndani yake, huku kwetu jamaa kazuia mazao kwenda nje , wakulima wananunua pembejeo kwa bei kali sana , halafu unamwambia auze kwa bei ya ajabu, haya basi jenga kiwanda ili kuhifadhi basi mazao yake lakini wapi angalia leo bei ya nyanya sokoni, wenzetu kweli hawana arithi nzuri ya kilimo lakini wanajitahidi sana. embu watanzania tusiongelee hili swala kwa ushabiki , tuweni wakeli wa mambo, ukweli unabakia kuwa pamoja kuwa kenya wako na shida kadhaa ,lakini wanajitahidi kwa kiasi kikubwa sana
 
Back
Top Bottom