SGR ndiyo project ya kwanza Black Kenya!

SGR ndiyo project ya kwanza Black Kenya!

haya sasa niambie ni fly over gani hata moja tuu ipo hapa kwetu, jam tuu kila sehemu. najua wengine mtasema mimi ni ukuta but to be honest kunamambo tunatia aibu, haswaa katika elimu .
 
haya sasa niambie ni fly over gani hata moja tuu ipo hapa kwetu, jam tuu kila sehemu. najua wengine mtasema mimi ni ukuta but to be honest kunamambo tunatia aibu, haswaa katika elimu .
Pole boss, ila hapa sio mahala pa kulalamikia anyway.
 
hehe naongelea kibiashara na jinsi wenzetu serikali yao inavojali wakulima na hata kuwapatia pembejeo bila siasa za uchuro ndani yake, huku kwetu jamaa kazuia mazao kwenda nje , wakulima wananunua pembejeo kwa bei kali sana , halafu unamwambia auze kwa bei ya ajabu, haya basi jenga kiwanda ili kuhifadhi basi mazao yake lakini wapi angalia leo bei ya nyanya sokoni, wenzetu kweli hawana arithi nzuri ya kilimo lakini wanajitahidi sana. embu watanzania tusiongelee hili swala kwa ushabiki , tuweni wakeli wa mambo, ukweli unabakia kuwa pamoja kuwa kenya wako na shida kadhaa ,lakini wanajitahidi kwa kiasi kikubwa sana
Wenzako wewe na nani?
 
Mkuu,
Hebu weka justification hapo kwenye kilimo
Ni mwezi tu umekwisha tangu tumewapelekea kenya chakula baada ya ukosefu mkubwa wa chakula nchini mwao .
Au maana yako ilikuwa nini?

bwana wee!! mmewapelekea my gosh! msaada vile kulingana wewe! wale wana biashara wanauza huku kwetu kenya kaka! Uganda pia wanabiashara wanauza kwa wingi! Hizo finished products zimezagaa hapo bongo tunawapa msaada!!! Its business fellow no feelings attached!

na kilimo we making steps to get the damn maize grown. ole wao wanabiashara wa tz na uganda when we become self sufficient!

Galana Kulalu Food security Project on the 10,000Acre model farm

CmbVzogXgAAKAJV.jpg:large
CmbY2_YXgAAYMlj.jpg:large


2000 acres under Maize and with addition of pumps & centre pivots will achieve greater acreage

CmbeL2SXYAAhT5-.jpg:large


CmbeNg3WAAAK1oQ.jpg:large


CmbeMCfWAAAXTjS.jpg:large


Inspecting the one week old maize crop under production

CmbgmjUWIAA05E-.jpg:large


CmbgnEqWcAAOk2f.jpg:large


CmbgpEFWAAA9nWN.jpg:large


Inspecting the 3 weeks old maize under production

CmbkWkUWIAAqWeK.jpg:large


CmbkWlDXgAAzOjW.jpg:large


CmbkYQ2WgAAbwtT.jpg:large


Fresh planted maize under production & clearing of stones by locals

CmbmSc0WAAASniw.jpg:large


CmbmSniXYAAKUzW.jpg:large


CmbmSiIWIAARnaw.jpg:large


Impressed with Punda Milia seed variety that promises better yield harvest

Cmbt0vqWIAAVrOG.jpg:large


Cmbt0zpWEAABkJw.jpg:large


CmbybHjWgAAci1K.jpg:large


CmbyaOFWEAAidL9.jpg:large
 
hehe naongelea kibiashara na jinsi wenzetu serikali yao inavojali wakulima na hata kuwapatia pembejeo bila siasa za uchuro ndani yake, huku kwetu jamaa kazuia mazao kwenda nje , wakulima wananunua pembejeo kwa bei kali sana , halafu unamwambia auze kwa bei ya ajabu, haya basi jenga kiwanda ili kuhifadhi basi mazao yake lakini wapi angalia leo bei ya nyanya sokoni, wenzetu kweli hawana arithi nzuri ya kilimo lakini wanajitahidi sana. embu watanzania tusiongelee hili swala kwa ushabiki , tuweni wakeli wa mambo, ukweli unabakia kuwa pamoja kuwa kenya wako na shida kadhaa ,lakini wanajitahidi kwa kiasi kikubwa sana

we are trying buddy. yeye haelewi hapa ni biashara hamna feelings! wale wakulima wa Tz wanauza mahindi huku kwetu keshowe iwe hatuitaji tena nani wakumia! kwake ni msaada vile lakini ni elimu hana!

Galana Kulalu Food security Project on the 10,000Acre model farm

CmbVzogXgAAKAJV.jpg:large
CmbY2_YXgAAYMlj.jpg:large


2000 acres under Maize and with addition of pumps & centre pivots will achieve greater acreage

CmbeL2SXYAAhT5-.jpg:large


CmbeNg3WAAAK1oQ.jpg:large


CmbeMCfWAAAXTjS.jpg:large


Inspecting the one week old maize crop under production

CmbgmjUWIAA05E-.jpg:large


CmbgnEqWcAAOk2f.jpg:large


CmbgpEFWAAA9nWN.jpg:large


Inspecting the 3 weeks old maize under production

CmbkWkUWIAAqWeK.jpg:large


CmbkWlDXgAAzOjW.jpg:large


CmbkYQ2WgAAbwtT.jpg:large


Fresh planted maize under production & clearing of stones by locals

CmbmSc0WAAASniw.jpg:large


CmbmSniXYAAKUzW.jpg:large


CmbmSiIWIAARnaw.jpg:large


Impressed with Punda Milia seed variety that promises better yield harvest

Cmbt0vqWIAAVrOG.jpg:large


Cmbt0zpWEAABkJw.jpg:large


CmbybHjWgAAci1K.jpg:large


CmbyaOFWEAAidL9.jpg:large
 
Mkuu,
Hebu weka justification hapo kwenye kilimo
Ni mwezi tu umekwisha tangu tumewapelekea kenya chakula baada ya ukosefu mkubwa wa chakula nchini mwao .
Au maana yako ilikuwa nini?
we completing two fertilizer making plant this year one in nakuru county and eldoret county. we making strides


nakuru
a_view_of_jaypee_fertilizer_plant,_kanpur,_u.p-2.jpg
 
Sitapoteza muda mwingi kukujibu maana ni kama huwa unavuta mmea fulani, maana hii mada huwa unaibuka nayo kwa mwezi mara moja, mwanzoni tulihangaika kukuelimisha, tukakuletea data nyingi tukitegemea utakua na akili. Lakini baada ya mwezi mmoja unarudia hoja ile ile huku ukitumia kichwa tofauti.

Kifupi ni kwamba nchi yetu ya Kenya tumejijengea wenyewe, tulishaorodhesha humu miradi yote ambayo imekua ikiendelea Kenya. Sina haja ya kuyarudia yote. Lakini miaka ya themanini tulicheleweshwa na chama tawala dhalimu cha wakati ule, kama jinsi Tanzania inacheleweshwa na CCM hadi leo. Tanzania ya leo inayojinadi ya kubana matumizi, mnajenga uwanja wa ndege wa kimataifa kijijini maeneo ya Chato ambapo hamtegemei mtu yeyote wa kimataifa kutua pale. Bora hata mngeboresha Bukoba iwe ya kimataifa. Mambo kama hayo ndio yalituchelewesha sana kipindi cha uongozi wa chama tawala cha wakati ule.

Lakini punde tu, tulipokibadilisha na kukipiga chini hicho chama, Kenya ilipepea na kuiacha Tanzania kwenye vumbi na lindi la umaskini. Hata Tanzania itawabidi mfikie huo uamuzi, ikiwezekana kwenye uchaguzi wa 2020 hapo ndio mtaona nchi inaanza kupiga hatua za kweli. Lakini kwa sasa mtaendelea kuona vioja na ukurupukaji wa hali ya juu, mara mnahamia Dodoma, mara naona eti Makonda kasema watu wa Mikoani msije Dar bila sababu maalum, mara watu wasiokua na kazi wahesabiwe Dar, mara kushtukiza kule mara hiki, mara kile, yaani hakuna mikakati, hakuna mpango wowote, ni kukurupuka full kwenda mbele.
Bomba letu la mafuta limekwisha jengwa au bado tusubiri wiki mbili?
 
Ni thamani na siyo samani, samani ni vifaa vya ndani kama meza, kiti n.k. rekebisha hilo kwanza halafu ndiyo urudi, isitoshe unaongelea vitu viwili tofauti na nina wasi wasi hata umeelewa nilichomaanisha!
Lakini si umeelewa? Kama hujaelewa uliwezaje kurekebisha? Au huna jibu na hilo suali?
 
we are trying buddy. yeye haelewi hapa ni biashara hamna feelings! wale wakulima wa Tz wanauza mahindi huku kwetu keshowe iwe hatuitaji tena nani wakumia! kwake ni msaada vile lakini ni elemu hana!

bwana wee!! mmewapelekea my gosh! msaada vile kulingana wewe! wale wana biashara wanauza huku kwetu kenya kaka! Uganda pia wanabiashara wanauza kwa wingi! Hizo finished products zimezagaa hapo bongo tunawapa msaada!!! Its business fellow no feelings attached!

na kilimo we making steps to get the damn maize grown. ole wao wanabiashara wa tz na uganda when we become self sufficient!

Galana Kulalu Food security Project on the 10,000Acre model farm

CmbVzogXgAAKAJV.jpg:large
CmbY2_YXgAAYMlj.jpg:large


2000 acres under Maize and with addition of pumps & centre pivots will achieve greater acreage

CmbeL2SXYAAhT5-.jpg:large


CmbeNg3WAAAK1oQ.jpg:large


CmbeMCfWAAAXTjS.jpg:large


Inspecting the one week old maize crop under production

CmbgmjUWIAA05E-.jpg:large


CmbgnEqWcAAOk2f.jpg:large


CmbgpEFWAAA9nWN.jpg:large


Inspecting the 3 weeks old maize under production

CmbkWkUWIAAqWeK.jpg:large


CmbkWlDXgAAzOjW.jpg:large


CmbkYQ2WgAAbwtT.jpg:large


Fresh planted maize under production & clearing of stones by locals

CmbmSc0WAAASniw.jpg:large


CmbmSniXYAAKUzW.jpg:large


CmbmSiIWIAARnaw.jpg:large


Impressed with Punda Milia seed variety that promises better yield harvest

Cmbt0vqWIAAVrOG.jpg:large


Cmbt0zpWEAABkJw.jpg:large


CmbybHjWgAAci1K.jpg:large


CmbyaOFWEAAidL9.jpg:large
Waltham,
Firstly, congratulations for that move. Ni hatua nzuri kwakweli ambayo nadhani ikifanyika hapa Tz hasa kule Dodoma kwenye mahekari ya mapori ya virgin fertile land basi Tz itakuwa ni level nyingine, but kwa sasa hatuhitaji such projects maana tunajitosheleza kwa chakula na tuna akiba ya kutosha, na bado hatua soko la kueleweka,

Na kwa uwekezaji wa hiyo project, besides the fact that it wont cut your maize deficit, ni obvious those maize will be very expensive, and you may come back to tz for cheap maize. (Sisi hatutumii gharama kubwa kulima mahindi ndiyo maana tunawauzia kwa bei ya kisela)
Again I am very Hapy that you guys will come here for raw materials (hydrocarbons) kwa hiyo kiwanda yenu ya mbolea.. As you are aware tz have more than 60bn tcf natural gas deposits, n explorations suggest more hundreds of thousands tcfs underneath..or u will buy cheap fertilizers from our plant being built in Lindi.(Largest fertilizer plant in Africa)
Karibuni sana tufanye biashara..

Kwaiyo brother kutegemeana kwetu kuko pale pale boss, there is no way u Kenyans will run away from tz.

When it comes to agriculture,
We are your brothers, and we will always be,
Na usidhani tunauza mazao yetu Kenya tu,
We are exporting to Zambia, Congo Malawi pia..n.k
Fahamu 80% ya watz are farmers, huku kilimo ni utamaduni wetu, whether we make profit or loss, we will cultivate the Land,
Yaani huku kila mtu ni mkulima ndio maana food security ni uhakika.
Mimi binafsi kila msimu ni Lazima niandae ekari 10 za mahindi na mbili za mbogamboga..
Kwa sababu ardhi tunayo ya kutosha..

Yaani nakwambia huku Tz ukifika msimu wa mazao huwa ni vurugu, watu wanajaza maghala hadi wanaacha mazao nje.

Hebu ona hawa wanavijiji wa kipato cha chini tz, toka vijijini mkoani iringa wakijishughurisha na kilimo cha mahindi..

1471889706086.jpg
1471889715733.jpg
1471889725275.jpg


Sasa hawa wakulima (subsistence) ni karibu kila kaya katika vijiji vya mikoa ya Iringa, mbeya, rukwa, katavi, songea na Morogoro, na mikoa mingine ya Tz....imagine the output..
1471889954373.jpg
1471889963016.jpg


I know you know this guy..
Former Prime Minister Mizengo Pinda Akiwa shambani kwake Sumbawanga..
1471889977477.jpg
1471889985629.jpg

Tazama mavuno ya huyu bwana Pinda.
1471890018316.jpg
1471890026388.jpg


Dear Kenyans, any time you run out of food , karibuni tu, we are brothers.
 
Halafu utakuwa umeona huo udongo hapo kwenye mashamba

Kuanzia color, texture, structure,
Yaani ni udongo ulio na content kubwa ya organic matter,
Rich in essential elements like Nitrogen, Phosphorus and Potassium.
A reason why we tz are the luckiest people on earth, you can bury anything without fertilizer and it germinates above the ground..
And a reason why our maize and other cereals are cheap for you guys,
Yafaa mjivunie sana ujirani wetu kwa kuwa tunawafaa kwa mengi,
Sio Kina MK254 wanatokwa mapovu kila siku juu ya tz,
Wanasahau kufikiria kama mngezungukwa na hao wahabeshi, na wasudani, na wasomali.
Sijui mngeishije nyie jamaa.
 
Sawa Watanzania tuna miradi yetu hatujarithi kwa wakoloni. Lakini mbona pesa ya Kenya ina samani zaidi yetu?
Pesa ya Kenya inakuwa na thamani kwa sababu wazungu ndio wanaondesha nchi na Wakenya ni wasindikizaji wa uchumi. Miradi yote ni ya Wazungu hata ayo makampuni ni wazungu na hata mradi wa kulima Chai na maua ni wazungu. Wakenya ni wasindikizaji na wabeba mizigo ya wazungu (Manamba) katika mashamba ya wazungu
 
Pesa ya Kenya inakuwa na thamani kwa sababu wazungu ndio wanaondesha nchi na Wakenya ni wasindikizaji wa uchumi. Miradi yote ni ya Wazungu hata ayo makampuni ni wazungu na hata mradi wa kulima Chai na maua ni wazungu. Wakenya ni wasindikizaji na wabeba mizigo ya wazungu (Manamba) katika mashamba ya wazungu

no time for stone age brains here, there are very intelligent tz guys engaging in substance debate!! akili za vijiweni na weka kando!!!!
 
Waltham,
Firstly, congratulations for that move. Ni hatua nzuri kwakweli ambayo nadhani ikifanyika hapa Tz hasa kule Dodoma kwenye mahekari ya mapori ya virgin fertile land basi Tz itakuwa ni level nyingine, but kwa sasa hatuhitaji such projects maana tunajitosheleza kwa chakula na tuna akiba ya kutosha, na bado hatua soko la kueleweka,

Na kwa uwekezaji wa hiyo project, besides the fact that it wont cut your maize deficit, ni obvious those maize will be very expensive, and you may come back to tz for cheap maize. (Sisi hatutumii gharama kubwa kulima mahindi ndiyo maana tunawauzia kwa bei ya kisela)
Again I am very Hapy that you guys will come here for raw materials (hydrocarbons) kwa hiyo kiwanda yenu ya mbolea.. As you are aware tz have more than 60bn tcf natural gas deposits, n explorations suggest more hundreds of thousands tcfs underneath..or u will buy cheap fertilizers from our plant being built in Lindi.(Largest fertilizer plant in Africa)
Karibuni sana tufanye biashara..

Kwaiyo brother kutegemeana kwetu kuko pale pale boss, there is no way u Kenyans will run away from tz.

When it comes to agriculture,
We are your brothers, and we will always be,
Na usidhani tunauza mazao yetu Kenya tu,
We are exporting to Zambia, Congo Malawi pia..n.k
Fahamu 80% ya watz are farmers, huku kilimo ni utamaduni wetu, whether we make profit or loss, we will cultivate the Land,
Yaani huku kila mtu ni mkulima ndio maana food security ni uhakika.
Mimi binafsi kila msimu ni Lazima niandae ekari 10 za mahindi na mbili za mbogamboga..
Kwa sababu ardhi tunayo ya kutosha..

Yaani nakwambia huku Tz ukifika msimu wa mazao huwa ni vurugu, watu wanajaza maghala hadi wanaacha mazao nje.

Hebu ona hawa wanavijiji wa kipato cha chini tz, toka vijijini mkoani iringa wakijishughurisha na kilimo cha mahindi..

View attachment 385895View attachment 385896View attachment 385898

Sasa hawa wakulima (subsistence) ni karibu kila kaya katika vijiji vya mikoa ya Iringa, mbeya, rukwa, katavi, songea na Morogoro, na mikoa mingine ya Tz....imagine the output..
View attachment 385900View attachment 385901

I know you know this guy..
Former Prime Minister Mizengo Pinda Akiwa shambani kwake Sumbawanga..
View attachment 385902View attachment 385903
Tazama mavuno ya huyu bwana Pinda.
View attachment 385904View attachment 385905

Dear Kenyans, any time you run out of food , karibuni tu, we are brothers.

You wrote a lot, let sieve thru the words as you know numbers don't lie. could you please give the Tz Gross margin returns per acre of maize!!!

Kenya has a deficit of 20 million bags annually and NIB general manager Daniel Barasa believes that 200,000 acres of land under maize would be enough to bridge the deficit and slash imports from Uganda and Tanzania.

“By cultivating 250,000 acres of Galana Kulalu complex, we would have met 41 per cent of the country’s annual maize consumption of 48 million bags, hence providing enough maize to bridge the deficit,” said Mr Barasa.
source: Business daily kenya

Phase two of the project, which will cover 200,000 acres will commence as soon as a mega dam is completed to irrigate the first crops on the 500,000 acres, while phase three is expected to put 300,000 acreage to use.

It is estimated that large-scale production on the farm will start in the next three years after NIB secures Sh250 billion for the construction of a dam and other infrastructural amenities such as roads, airports and offices.
 
Pesa ya Kenya inakuwa na thamani kwa sababu wazungu ndio wanaondesha nchi na Wakenya ni wasindikizaji wa uchumi. Miradi yote ni ya Wazungu hata ayo makampuni ni wazungu na hata mradi wa kulima Chai na maua ni wazungu. Wakenya ni wasindikizaji na wabeba mizigo ya wazungu (Manamba) katika mashamba ya wazungu
Watanzania wao si wamewapa wachina miradi yao hawa wachina hawawezi kuikuza fedha yao? Na haya ulioongea umefanya utafiti wapi?
 
Watanzania wao si wamewapa wachina miradi yao hawa wachina hawawezi kuikuza fedha yao? Na haya ulioongea umefanya utafiti wapi?
Wakenya wataendelea kutegemea misaaada ya mahindi kutoka Tanzania. Mahindi ambayo apa Tanzania tunalisha nguruwe, Wakenya tunawapa kama misaaada ili wasije wakafa na njaa
 
Pesa ya Kenya inakuwa na thamani kwa sababu wazungu ndio wanaondesha nchi na Wakenya ni wasindikizaji wa uchumi. Miradi yote ni ya Wazungu hata ayo makampuni ni wazungu na hata mradi wa kulima Chai na maua ni wazungu. Wakenya ni wasindikizaji na wabeba mizigo ya wazungu (Manamba) katika mashamba ya wazungu

Naona kwenye mitandao mnaongea kuhusu UKUTA, yaani kila nikiona chochote kuhusu Tanzania kinanikumbusha mahali nchi yetu ilikua miaka 20 iliyopita. Mpo mbali sana aisei. Mjikomboe kwanza ndio mje kujadili na Wakenya maana level yenu bado sana.
Sisi tuliyafanya hayo ya UKUTA miaka 20 ileeeeeee!!!!! Leo hii tunajivunia matunda ya kuwa na nchi iliyoboreka katika kila nyanja.
 
Sitapoteza muda mwingi kukujibu maana ni kama huwa unavuta mmea fulani, maana hii mada huwa unaibuka nayo kwa mwezi mara moja, mwanzoni tulihangaika kukuelimisha, tukakuletea data nyingi tukitegemea utakua na akili. Lakini baada ya mwezi mmoja unarudia hoja ile ile huku ukitumia kichwa tofauti.

Kifupi ni kwamba nchi yetu ya Kenya tumejijengea wenyewe, tulishaorodhesha humu miradi yote ambayo imekua ikiendelea Kenya. Sina haja ya kuyarudia yote. Lakini miaka ya themanini tulicheleweshwa na chama tawala dhalimu cha wakati ule, kama jinsi Tanzania inacheleweshwa na CCM hadi leo. Tanzania ya leo inayojinadi ya kubana matumizi, mnajenga uwanja wa ndege wa kimataifa kijijini maeneo ya Chato ambapo hamtegemei mtu yeyote wa kimataifa kutua pale. Bora hata mngeboresha Bukoba iwe ya kimataifa. Mambo kama hayo ndio yalituchelewesha sana kipindi cha uongozi wa chama tawala cha wakati ule.

Lakini punde tu, tulipokibadilisha na kukipiga chini hicho chama, Kenya ilipepea na kuiacha Tanzania kwenye vumbi na lindi la umaskini. Hata Tanzania itawabidi mfikie huo uamuzi, ikiwezekana kwenye uchaguzi wa 2020 hapo ndio mtaona nchi inaanza kupiga hatua za kweli. Lakini kwa sasa mtaendelea kuona vioja na ukurupukaji wa hali ya juu, mara mnahamia Dodoma, mara naona eti Makonda kasema watu wa Mikoani msije Dar bila sababu maalum, mara watu wasiokua na kazi wahesabiwe Dar, mara kushtukiza kule mara hiki, mara kile, yaani hakuna mikakati, hakuna mpango wowote, ni kukurupuka full kwenda mbele.
Wajameni Haya maneno yanatuumiza mkuu ,uwe unayasema kwa upole ,[emoji3] mbona nasikia huko kwenu Sijui kuna watu wanajiita jina la huyu wa kwetu ?
 
Wakenya wataendelea kutegemea misaaada ya mahindi kutoka Tanzania. Mahindi ambayo apa Tanzania tunalisha nguruwe, Wakenya tunawapa kama misaaada ili wasije wakafa na njaa
Duh! haya uliyoandika yamenikumbusha ile movie ya Angelina Jolie alipokwenda na muafrika kwenye kikao ya wazungu, na yule muafrika kurushiwa ndizi. Huhisi kama unawadharau weusi wenzio tena majirani zako? Hata vitabu vya dini vimesema tuwakarimu majirani zetu, Tujitahidini kama waafrika tuwe na maisha bora na sio kuwa na dharau bora.

Sent from my SAMSUNG-SM-G900A using JamiiForums mobile app
 
You wrote a lot, let sieve thru the words as you know numbers don't lie. could you please give the Tz Gross margin returns per acre of maize!!!

Kenya has a deficit of 20 million bags annually and NIB general manager Daniel Barasa believes that 200,000 acres of land under maize would be enough to bridge the deficit and slash imports from Uganda and Tanzania.

“By cultivating 250,000 acres of Galana Kulalu complex, we would have met 41 per cent of the country’s annual maize consumption of 48 million bags, hence providing enough maize to bridge the deficit,” said Mr Barasa.
source: Business daily kenya

Phase two of the project, which will cover 200,000 acres will commence as soon as a mega dam is completed to irrigate the first crops on the 500,000 acres, while phase three is expected to put 300,000 acreage to use.

It is estimated that large-scale production on the farm will start in the next three years after NIB secures Sh250 billion for the construction of a dam and other infrastructural amenities such as roads, airports and offices.
Samahani mkuu,
At meantime we don't have data,
We only have food.
Just keep your unreliable data.. (u know it)
Your guys are untrustworthy, u cook and manipulate the way u can just to make graphs impressive..hehehe.
Wakati people in turkana don't need those numbers but food.
anyway , nikipata those numbers I will bring.
 
Naona kwenye mitandao mnaongea kuhusu UKUTA, yaani kila nikiona chochote kuhusu Tanzania kinanikumbusha mahali nchi yetu ilikua miaka 20 iliyopita. Mpo mbali sana aisei. Mjikomboe kwanza ndio mje kujadili na Wakenya maana level yenu bado sana.
Sisi tuliyafanya hayo ya UKUTA miaka 20 ileeeeeee!!!!! Leo hii tunajivunia matunda ya kuwa na nchi iliyoboreka katika kila nyanja.
Ni msahaulifu sana wewe jamaa,
Umeshasahau juzi tu mmekanyagwa vichwani na kuburuzwa na wenzenu kuuawa na polisi wenu??
Halafu siasa gani hizo za Kenya?
Hizo siasa za corruption na ukabila?
mnasema mmepata katiba mpya, inayowafanya mafisadi kutumia hovyo public funds hadi kupelekea mnakimbizana na naijeria kwenye corruption index,
Hehehe, once again you are the champions,

Naombea sana uchaguzi wenu uende vizuri, maana kwa hiyo mihemko yenu na hurka za Shari huenda mkarudi kwenye Dark ages tena.
 
Back
Top Bottom