SGR ndiyo project ya kwanza Black Kenya!


huwa sina wakati wa
verbal diarrhea, the kind of you! Let give you more food for thought!!





EnglishPoint Marina, mombasa,if at all you know whats a marina. tutarudi rio baadaye!!!





langata southern bypass interchange





















whatever I had to give you this!!



jameni nikumbushe tupo kenya au tanzania!!! nikome hapo kwa sasa!! narudi
 

the changing face of kenyan pubblic hospitals
Quote:
The ongoing renovations at the General Wards and Maternity Wing at the CPGH are progressing well.
We have procured additional modern equipment currently being assembled at the hospital which includes patient beds, specialized orthopedic beds, baby cots, stretchers among others.
We are committed to providing a progressive responsive and sustainable healthcare system for all.
Facebook

















mambo yalivyo hospitali za umma tanzania na miradi yao tangu uhuru!!!


zahanati ya kijijini msambweni lungalunga kwale county mpakani wa kenya na tz!!






zahanati ya tiwi, diani kwale



 


Hahah nimependa hiyo ya snow sijui hata unataka kusema nini, anyway vyovyote vile lkn kichwa chako kimejaa wadudu nafikiri wale funza wenu walifika mpka kichwani next time jaribu kuvaa viatu ili funza wasiendelee kukudhuru!
 
Hahah nimependa hiyo ya snow sijui hata unataka kusema nini, anyway vyovyote vile lkn kichwa chako kimejaa wadudu nafikiri wale funza wenu walifika mpka kichwani next time jaribu kuvaa viatu ili funza wasiendelee kukudhuru!

yep I like your vibe, fatal mouth diarrhea!!!

soka ya ndogo mitaani mombasa!!!









barabara za kijijini


 
Barbadosa anajua kuchukua data nmemkubali!! Kwahyo alitaka k ufahamu ameshafahamu sasa
 
Barbadosa anajua kuchukua data nmemkubali!! Kwahyo alitaka k ufahamu ameshafahamu sasa
kama ni data tu alitaka, si angeuliza tu angepewa.... hamna haja ya kutumia njia ndefu. lakini sasa angalau umeona ule ujinga ambao tunaopinzani kila kuchao
 
Hizi league za uku jf haziwez kwisha. ....kila siku watu wanatengeneza uzi
 
Mkenya gani ana tumia lugha ya kiswahili vizuri namna hii na anapangilia hoja zake vema namna hii!
We utakua Kijana fulani wa BAVICHA if not hongera sana.
 
mleta mada hii umetudhalilisha sana wabongo. Kuja na hoja mfu kiasi hiki. Mbaya zaidi unaupa sifa mbaya mmea wetu, kumbe kichwa chako ni kibovu.
 
Ningependa kukumbushwa tuu ulimaanisha kukejeli Kama ilivyo kawaida yenyu nyinyi Kama watani wetu. Lakini ikibainika ya kuwa huo ndio mtazamo wako na wenye kukuunga mkono , basi TZ Kama nchi ipo pabaya. Kama hamyajui Yale yanayotendeka ujiranini, mtayajua aje ya nchi za ng'ambo na ulimwengu kwa ujumla kwa ajili ya kuendanisha na ulimwengu wa sasa?
 
Ningependa kukumbushwa tuu ulimaanisha kukejeli Kama ilivyo kawaida yenyu nyinyi Kama watani wetu. Lakini ikibainika ya kuwa huo ndio mtazamo wako na wenye kukuunga mkono , basi TZ Kama nchi ipo pabaya. Kama hamyajui Yale yanayotendeka ujiranini, mtayajua aje ya nchi za ng'ambo na ulimwengu kwa ujumla kwa ajili ya kuendanisha na ulimwengu wa sasa?
 
Have you ever been to Tz !!!!!......

Mnastahili pongezi kwa maendeleo yenu lakini ukitaka kuidhalilisha tz vizuri bhasi yakupasa utafute mambo ambayo ni "EXTRA ORDINARY " kwa watz .......

Yaani hayo yote uliyoyaonesha yanaweza kuoneshwa na dodoma na tena chuo cha dodoma pekee "UDOM".....
Can you even imagine that !!!!!!

Wake up bro Tz haipo the same...Tz hakuna publicity za county gava kama za Kenya lakini tunayoyafanya yapo kimya kimya

Lets enjoy what our economies ar able to offer to us ....
Lets look for the opportunities across EAC .......
 
Sawa Watanzania tuna miradi yetu hatujarithi kwa wakoloni. Lakini mbona pesa ya Kenya ina samani zaidi yetu?
 
your

I don't really get the bottom line calling me out but I will give it to you, you seem to be a guy who has a good grasp of words and debate decorum!!
 
Sawa Watanzania tuna miradi yetu hatujarithi kwa wakoloni. Lakini mbona pesa ya Kenya ina samani zaidi yetu?


Ni thamani na siyo samani, samani ni vifaa vya ndani kama meza, kiti n.k. rekebisha hilo kwanza halafu ndiyo urudi, isitoshe unaongelea vitu viwili tofauti na nina wasi wasi hata umeelewa nilichomaanisha!
 
Sifa za kijinga gdp yao iko juu
 

Ilo jinga ilo linalinganisha watu wa Kenya na zombie wa kibongo
 
Hello watu wangu wa tz, hatuwezi jilinganisha na kenya, huo ndo ukweli, hata kama vitu walivonavyo ni Whiteman alianzisha but wenzetu wameweza kuviendeleza, wakati huku kwetu vingi tumeua, kama reli ya dar to arusha, baadhi ya viwanda. Etc, halafu Tazara hatujajenga sie. Ni wachina. Kilimo Tanzania tumekitupa kabisaa ila wenzetu wamekipa kipaumbele kuliko vitu zingine sababu wana viwanda sie ni porojo kila siku. So watz tuache wivu bali tufanye kazi kwa bidii,
Embu angalia uchumi wao!!!? Kenya halafu fananisha na wetu
 
Mkuu,
Hebu weka justification hapo kwenye kilimo
Ni mwezi tu umekwisha tangu tumewapelekea kenya chakula baada ya ukosefu mkubwa wa chakula nchini mwao .
Au maana yako ilikuwa nini?
 
Mkuu,
Hebu weka justification hapo kwenye kilimo
Ni mwezi tu umekwisha tangu tumewapelekea kenya chakula baada ya ukosefu mkubwa wa chakula nchini mwao .
Au maana yako ilikuwa nini?
hehe naongelea kibiashara na jinsi wenzetu serikali yao inavojali wakulima na hata kuwapatia pembejeo bila siasa za uchuro ndani yake, huku kwetu jamaa kazuia mazao kwenda nje , wakulima wananunua pembejeo kwa bei kali sana , halafu unamwambia auze kwa bei ya ajabu, haya basi jenga kiwanda ili kuhifadhi basi mazao yake lakini wapi angalia leo bei ya nyanya sokoni, wenzetu kweli hawana arithi nzuri ya kilimo lakini wanajitahidi sana. embu watanzania tusiongelee hili swala kwa ushabiki , tuweni wakeli wa mambo, ukweli unabakia kuwa pamoja kuwa kenya wako na shida kadhaa ,lakini wanajitahidi kwa kiasi kikubwa sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…