Tony254
JF-Expert Member
- May 11, 2017
- 16,017
- 16,431
I am not aware of that. When was that? Maybe it has been repaired.the last rains destroyed parts of Nairobi-Isiolo!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
I am not aware of that. When was that? Maybe it has been repaired.the last rains destroyed parts of Nairobi-Isiolo!
a bridge was swept away too!I am not aware of that. When was that? Maybe it has been repaired.
Largest trading partner for Uganda is Kenya. Leta evidence kuwa largest trading partner for Uganda ni South Sudan. Ama ulimaanisha kuwa largest trading partner for South Sudan ni Uganda? Maana hizo ni vitu viwili tofauti.
South Sudan ni muhimu kwa Uganda lakini sio muhimu kwa Kenya. Hata data yako inaonyesha hivyo. Sisi hatuna haja nao kwa sasa. Wacha lami ikamilike, pengine trade kati ya Kenya na South Sudan itaongezeka.Largest net exporter
Uganda export to South Sudan
![]()
VS
Kenya export to South Sudan
![]()
Uganda exports more rice to South Sudan than other EAC countries
MONDAY AUGUST 24 2020
![]()
A rice farmer gathers a harvest from his field. Uganda exported more rice to South Sudan than any other country, according to the East African Trade report covering the 2020 second quarter. PHOTO | FILE
Uganda exported more rice to South Sudan than any other country, according to the East African Trade report covering the 2020 second quarter.
The exports and re-exports accounted for 68 per cent of rice exports to South Sudan from the period running between April and June.
During the period, according to the report, Uganda exported 31,411 metric tonnes [MT] of rice to South Sudan.
The rest was sourced from Tanzania, which contributed 21 and Somalia - 11 per cent.
“Uganda’s rice exports and re-exports to South Sudan increased due to the formal staple food cross border trade,” the report reads in part.
In 2018, Uganda had banned imports of rice to protect local farmers and boost the production.
A study then indicated that the rice market in Uganda had a daily milling capacity of 7,158 metric tonnes.
During the period, Uganda also exported other food items to South Sudan including beans.
For instance, Uganda exported 18,098 metric tonnes of dry beans to South Sudan while Kenya exported 11,136 metric tonnes.
Data from Bank of Uganda indicates that in the last 25 years (from 1994), formal beans export earnings have consistently grown at an annual average of 8.5 per cent, from $12.64m for 37,000 metric tonnes exported in 1994 to $99.6m for 218,000 metric tonnes in 2018.
The most significant growth, however, was in the five-year period to 2018 where export values grew from $25.12m to $99.6m.
That was a 32 per cent per annum growth over the five-year period. Data also indicates that less than 25 per cent of Uganda’s beans are exported.
Dry beans have progressively overtaken maize as the most informally exported commodity at Uganda’s borders.
For example, in 2018 dry beans worth $42.95m were traded informally, which was more than double the value of maize exported informally in the same year.
The East African Trade report, which projects the outlook of exportable commodities in East Africa also indicates that locally produced rice is projected to increase.
editorial@ug.nationmedia.com
Uganda exports more rice to South Sudan than other EAC countries
Unajua uchumi wa Kenya ni mara tatu ya Uganda kwa ukubwa? Wao wana Gdp ya takriban $30 billion. Tukiamua kuwanyang'anya market ya South Sudan hio itakuwa ni kazi rahisi sana. Ngoja lami ikamilike watajua nyang'au haaminiki.Largest net exporter
Uganda export to South Sudan
![]()
VS
Kenya export to South Sudan
![]()
Uganda exports more rice to South Sudan than other EAC countries
MONDAY AUGUST 24 2020
![]()
A rice farmer gathers a harvest from his field. Uganda exported more rice to South Sudan than any other country, according to the East African Trade report covering the 2020 second quarter. PHOTO | FILE
Uganda exported more rice to South Sudan than any other country, according to the East African Trade report covering the 2020 second quarter.
The exports and re-exports accounted for 68 per cent of rice exports to South Sudan from the period running between April and June.
During the period, according to the report, Uganda exported 31,411 metric tonnes [MT] of rice to South Sudan.
The rest was sourced from Tanzania, which contributed 21 and Somalia - 11 per cent.
“Uganda’s rice exports and re-exports to South Sudan increased due to the formal staple food cross border trade,” the report reads in part.
In 2018, Uganda had banned imports of rice to protect local farmers and boost the production.
A study then indicated that the rice market in Uganda had a daily milling capacity of 7,158 metric tonnes.
During the period, Uganda also exported other food items to South Sudan including beans.
For instance, Uganda exported 18,098 metric tonnes of dry beans to South Sudan while Kenya exported 11,136 metric tonnes.
Data from Bank of Uganda indicates that in the last 25 years (from 1994), formal beans export earnings have consistently grown at an annual average of 8.5 per cent, from $12.64m for 37,000 metric tonnes exported in 1994 to $99.6m for 218,000 metric tonnes in 2018.
The most significant growth, however, was in the five-year period to 2018 where export values grew from $25.12m to $99.6m.
That was a 32 per cent per annum growth over the five-year period. Data also indicates that less than 25 per cent of Uganda’s beans are exported.
Dry beans have progressively overtaken maize as the most informally exported commodity at Uganda’s borders.
For example, in 2018 dry beans worth $42.95m were traded informally, which was more than double the value of maize exported informally in the same year.
The East African Trade report, which projects the outlook of exportable commodities in East Africa also indicates that locally produced rice is projected to increase.
editorial@ug.nationmedia.com
Uganda exports more rice to South Sudan than other EAC countries
Wewe huielewi siasa za Kenya.Ruto ndie rais ajae wa Kenya.
Hio itajengwa tu usiwe na wasiwasi.a bridge was swept away too!
Road yenu ya kutoka kenya mpk Somalia na Sudan ndiyo hii hapa inaitwa Garrisa-Liboi [emoji3][emoji3][emoji116][emoji116]Mzee hebu fuata hii thread ya huyu mwanadada kwenye twitter. Alifanya road trip kutokea direction ya Garissa/ Hola kuelekea chini hadi Lamu. Utaona maeneo ambayo yana lami na ambayo hayana.
"">October 16, 2020
Hii statement ni statement ya hovyo sana, hii inaonyesha ni kwakiasi gani wakenya msivyotumia akili.Unajua uchumi wa Kenya ni mara tatu ya Uganda kwa ukubwa? Wao wana Gdp ya takriban $30 billion. Tukiamua kuwanyang'anya market ya South Sudan hio itakuwa ni kazi rahisi sana. Ngoja lami ikamilike watajua nyang'au haaminiki.View attachment 1603624
Geza Ulole alisema kuwa hakuna barabara ya lami huko.Road yenu ya kutoka kenya mpk Somalia na Sudan ndiyo hii hapa inaitwa Garrisa-Liboi [emoji3][emoji3][emoji116][emoji116]View attachment 1603938
Wacha ujinga that's a dusty road being painted!Geza Ulole alisema kuwa hakuna barabara ya lami huko.
Anajifanya blind [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Wacha ujinga that's a dusty road being painted!
How can a dusty road be painted? Is it even possible?Wacha ujinga that's a dusty road being painted!
So it goes from where to where?How can a dusty road be painted? Is it even possible?
Garissa- Liboi kama The best 007 alivyosema. Ni huko kwa wasomali. Ila nakubali kuwa lami huko ni nusu nusu. Kuna maeneo ambayo haina lami kabisa na kuna maeneo ambayo ina lami.So it goes from where to where?
Huko kwenu pia mna mambo hayo! tukajua nchi yenu kuna demokrasia.Atapigwa stopper. Anayecontrol serikali ndiye anayecontrol nani atakuwa rais. Raila alishinda 2007 ila anayecontrol serikali ndiye aliyetangazwa mshindi. Ruto ni outsider kwa sasa. Jamaa sio mwerevu sana, maana kama angetaka urais angekaa karibu na Uhuru na kuonyesha unyenyekevu kwake. Tatizo ni kuwa amepata mamlaka kidogo ya unaibu wa rais sasa amefura kichwa anadhani yeye ndio rais. Ananyakua mashamba kila mahali. Uzuri hakubarikiwa na akili. Ndio, atapigiwa kura na watu wengi ila hatatangazwa mshindi. Rais ndiye atakaye amua nani ni mshindi. Siasa ya Afrika iko hivyo.
Eti bwana tonny24, na huko hakuna democracyHuko kwenu pia mna mambo hayo! tukajua nchi yenu kuna demokrasia.
Sent from my Infinix X5515 using JamiiForums mobile app
Hakuna nchi yoyote Afrika ambayo ina demokrasia ya kweli.Huko kwenu pia mna mambo hayo! tukajua nchi yenu kuna demokrasia.
Sent from my Infinix X5515 using JamiiForums mobile app
Democracy wazungu walibeba na kuhama nayo wakati Afrika ilipata uhuru.Eti bwana tonny24, na huko hakuna democracy