SGR ya Tanzania ni "Suez Canal "ya Afrika Mashariki na Kati

SGR ya Tanzania ni "Suez Canal "ya Afrika Mashariki na Kati

Kama unataka TZ iipite Kenya then omba Mungu 2022 sisi tupate rais asiyependa mendeleo kama Moi. Moi hakujenga barabara sana wala reli wala nini. Alikuwa umbwa tu.

najua mkipata Ruto mmekwisha! all his ministers in the current government underperformed and the dude is openly corrupt! Rest be aassured the SGR trap can not be solved by just a change of government, mind u Uhuru will leave u with a debt of $90 bln! By 2022 key projects i.e. JNHPP and Morogoro-Dodoma-Makutupora will be ready remaining with Makutupora-Mwanza that will be U/C! JNHPP will be a game changer!

 
Wacha kudanganya watu wewe.
Suez Canal ilijengwa na Israel
US
UK
Na Ufaransa.
Nawalikua wakiumiliki na kuuendesha mpaka 1958 Rais Gamal abdel Nassir alipo utaifisha na kusababisha vita kati ya Masri dhidiyaUK France na Israel.
Vita ili stop as US hakuviunga mkono UN.
Mwaka 2016 Masri walikusudia kupanua Suez canal iwe njia mbili.
Mradi huu wa upanuzi ulifanana na ule wa Bagamoyopl port. Kwani ulihusisha bandari mji mpya trade zone na shughuli za viwanda.
Al Sisi hakua na fedha alicho fanya ni kwenda kwa TV na kuuza mradi kwa raia wa masri .
Ndani ya mwezi mmoja Wa Masri wamenunua hisa zote na chenji ikabaki.
Kamouni za Kijeshi wakapewa tenda kujenga na walijenga ndani ya muda.
Wasri tayari wamerejeshewafedha zao kutokana na dividends
Magufuli hawezi kufanya hayo kwani mi mchoyo ndo maana sgr imedoda na iko nyuma huku gharama zikipanda na kila kitu ni usiri mkubwa



Sent using Jamii Forums mobile app
 
najua mkipata Ruto mmekwisha! all his ministers in the current government underperformed and the dude is openly corrupt! Rest be aassured the SGR trap can not be solved by just a change of government, mind u Uhuru will leave u with a debt of $90 bln! By 2022 key projects i.e. JNHPP and Morogoro-Dodoma-Makutupora will be ready remaining with Makutupora-Mwanza that will be U/C! JNHPP will be a game changer!


Huyo jamaa atakuwa worse than Moi. Tutakuwa refugees huko kwenu.
 
na ana chance kubwa rushwa imekithiri huko wheelbarrow politics na makanisa yatampa Urais!
Atapigwa stopper. Anayecontrol serikali ndiye anayecontrol nani atakuwa rais. Raila alishinda 2007 ila anayecontrol serikali ndiye aliyetangazwa mshindi. Ruto ni outsider kwa sasa. Jamaa sio mwerevu sana, maana kama angetaka urais angekaa karibu na Uhuru na kuonyesha unyenyekevu kwake. Tatizo ni kuwa amepata mamlaka kidogo ya unaibu wa rais sasa amefura kichwa anadhani yeye ndio rais. Ananyakua mashamba kila mahali. Uzuri hakubarikiwa na akili. Ndio, atapigiwa kura na watu wengi ila hatatangazwa mshindi. Rais ndiye atakaye amua nani ni mshindi. Siasa ya Afrika iko hivyo.
 
Ni wapi kwenye hio video wamesema eti ni cheaper kutumia Dar to Nairobi? Nipee time-stamp. Hio ni video ya dakika tatu, niambie ni dakika ya ngapi au sekunde ya ngapi katika hio video ripota amesema kuwa wafanyabiashara wanafanya hivyo kwa sababu njia ya Dar ni cheaper?
Kwani hii discussion imeanzia wapi?, tumesema kwamba hamuwezi kuwalazimisha wafanyabiashara kutumia SGR kwa nguvu ili kuhepuka SGR yenu kuwa" White elephant"(Hii umesema wewe), mimi nikakuambia kwamba, mkilazimisha kwa nguvu wakati ni ghali, kuna uwezekani wakapitishia Dar to Arusha kwa kutumia MGR kama watagundua ni cheaper badala ya kutumia SGR ambayo ni ghali.

Baada ya kukujibu hivyo, wewe ukasema sio rahisi kwa mfanyabiashara wa Kenya kutumia bandari ya Dar. Mimi nikakuwekea hiyo video kama mfano kukuonyesha kwamba wafanyabiashara wapo tayari kutumia njia yoyote ile ambayo kwake ni nafuu. Hiyo video wanajaribu kukwepa kodi, kama watagundua SGR toka Mombasa kwenda Nairobi ni ghali kuliko kupitia Dar hadi Nairobi, hakuna kitu kitawazuia kutopitisha Dar kwasababu mwisho wa siku kitu wanachotaka ni kupunguza gharama za kufanya biashara na kupata faida zaidi

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
Konza haitakuwa imeisha ila Lamu three berths zitakuwa zimeisha. Umetazama latest pictures za Lamu port?

imeisha wakati hamna barabara ya ku-link Lamu na Ethiopia na South Sudan? ☝️ 😂😂☝️
 
Kwani hii discussion imeanzia wapi?, tumesema kwamba hamuwezi kuwalazimisha wafanyabiashara kutumia SGR kwa nguvu ili kuhepuka SGR yenu kuwa" White elephant"(Hii umesema wewe), mimi nikakuambia kwamba, mkilazimisha kwa nguvu wakati ni ghali, kuna uwezekani wakapitishia Dar to Arusha kwa kutumia MGR kama watagundua ni cheaper badala ya kutumia SGR ambayo ni ghali.

Baada ya kukujibu hivyo, wewe ukasema sio rahisi kwa mfanyabiashara wa Kenya kutumia bandari ya Dar. Mimi nikakuwekea hiyo video kama mfano kukuonyesha kwamba wafanyabiashara wapo tayari kutumia njia yoyote ile ambayo kwake ni nafuu. Hiyo video wanajaribu kukwepa kodi, kama watagundua SGR toka Mombasa kwenda Nairobi ni ghali kuliko kupitia Dar hadi Nairobi, hakuna kitu kitawazuia kutopitisha Dar kwasababu mwisho wa siku kitu wanachotaka ni kupunguza gharama za kufanya biashara na kupata faida zaidi

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Kama wanataka kupunguza gharama ya kufanya biashara basi tutawapelekea scanner katika Namanga border tuone watatorokea wapi. Tuone kama watakosa kulipa ushuru. Hao KRA officers wa Namanga border wanastahili kukamatwa wote au kufutwa kazi kwa kuendeleza wizi wa kodi wa serikali. Mbona wanaruhusu wafanyabiashara kupita border bila kulipa ushuru?
 
Ni kweli local transporters wanaumia, for the sake of saving SGR. Serikali inafanya juu chini ili SGR isiwe white elephant, sawa Geza?
If you don't force the business people to opt for SGR, then the numbers will never add up.

You have rasilimali utawala, use it to make SGR viable. Though, was expecting katiba mpya to intervene.
 
Kama wanataka kupunguza gharama ya kufanya biashara basi tutawapelekea scanner katika Namanga border tuone watatorokea wapi. Tuone kama watakosa kulipa ushuru. Hao KRA officers wa Namanga border wanastahili kukamatwa wote au kufutwa kazi kwa kuendeleza wizi wa kodi wa serikali. Mbona wanaruhusu wafanyabiashara kupita border bila kulipa ushuru?
Tony254 wewe ni mgumu sana kuelewa. Ngoja sasa nifanye kama ninafundisha darasani.

Gharama ya mzigo inaongezeka:
1)Kodi
2)Usafirishaji

Kama kodi zote ni sawa kati ya badari ya Mombasa na mpakani Namanga, lakini gharama za kusafirisha toka Mombasa hadi Nairobi ni kubwa kuliko Dar to Nairobi, kitu kitakachowavutia kuputisha Dar ni upungufu ktk usafirishaji, sio kodi.

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
Kama wanataka kupunguza gharama ya kufanya biashara basi tutawapelekea scanner katika Namanga border tuone watatorokea wapi. Tuone kama watakosa kulipa ushuru. Hao KRA officers wa Namanga border wanastahili kukamatwa wote au kufutwa kazi kwa kuendeleza wizi wa kodi wa serikali. Mbona wanaruhusu wafanyabiashara kupita border bila kulipa ushuru?

kwani nani kakudanganya Dar port haina scanners? Usiamini media zenu mzee! dar port tangu magufuli aingie kumewekwa scanners za kufa mtu na hata international airports zote pia! achana na cheap propaganda zenu! Check from 7.12 min!





 
imeisha wakati hamna barabara ya ku-link Lamu na Ethiopia na South Sudan? ☝️ 😂😂☝️
Isiolo to Ethiopia ilikamilika zamani hata niliitumia 2017. Sasa kutoka Isiolo to Lamu ndio ilikuwa sehemu nyingine sio lami ila nilikuwekea picha hapa siku nyingine kukuonyesha kuwa lami inajengwa sasa hivi na ni muda tu kabla ya hio lami kukamilika. Usiwe na fikra kwamba barabara yote kutoka Lamu hadi Ethiopia sio lami. La hasha, zaidi ya kilomita mia tano ya lami imejengwa kutoka Isiolo hadi Moyale katika border ya Ethiopia. Nadhani huna hio habari ila habari umeipata sasa.
 
Isiolo to Ethiopia ilikamilika zamani hata niliitumia 2017. Sasa kutoka Isiolo to Lamu ndio ilikuwa sehemu nyingine sio lami ila nilikuwekea picha hapa siku nyingine kukuonyesha kuwa lami inajengwa sasa hivi na ni muda tu kabla ya hio lami kukamilika. Usiwe na fikra kwamba barabara yote kutoka Lamu hadi Ethiopia sio lami. La hasha, zaidi ya kilomita mia tano ya lami imejengwa kutoka Isiolo hadi Moyale katika border ya Ethiopia. Nadhani huna hio habari ila habari umeipata sasa.
Upande wa Ethiopia hakuna lami na hakuna mategemeo kama watajenga ndani ya miaka kumi ijayo kutokana na ukweli kwamba usalama katika Eneo hilo sio mzuri na hakuna shughuli nyingi za kiuchumi, kwahiyo hiyo barabara kama mumejenga ni kwa ajili ya natumizi yenu ya ndani, sahau kuhusu Ethiopia.

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
Upande wa Ethiopia hakuna lami na hakuna mategemeo kama watajenga ndani ya miaka kumi ijayo kutokana na ukweli kwamba usalama katika Eneo hilo sio mzuri na hakuna shughuli nyingi za kiuchumi, kwahiyo hiyo barabara kama mumejenga ni kwa ajili ya natumizi yenu ya ndani, sahau kuhusu Ethiopia.

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app

usimkatishe tamaa!
 
Bora tuwasaidie, tatizo wanajipa matumaini hewa sana, mwishowe wanakuwa demoralized na matokeo, utakumbuka walivyowekeza matumaini katika SGR na aina ya trains zitakazonunuliwa?, walipoletewa 1970 model walichanganyikiwa, sijui kwanini hawajifunzi.

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app

Cha ajabu hafahamu Ethiopia haija-commit na isitoshe ipo busy na Sudan na Eritrea zaidi!
 
Tony254 wewe ni mgumu sana kuelewa. Ngoja sasa nifanye kama ninafundisha darasani.

Gharama ya mzigo inaongezeka:
1)Kodi
2)Usafirishaji

Kama kodi zote ni sawa kati ya badari ya Mombasa na mpakani Namanga, lakini gharama za kusafirisha toka Mombasa hadi Nairobi ni kubwa kuliko Dar to Nairobi, kitu kitakachowavutia kuputisha Dar ni upungufu ktk usafirishaji, sio kodi.

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Bora wakubali kulipa kodi mimi sina shida wakipitisha mizigo Namanga ila kwenye hio video wamesema vizuri kuwa hao wafanyabiashara wanashikana na maafisa ya KRA ili kutolipa ushuru au kulipa ushuru kidogo kwa sababu hakuna scanner. Yaani hawapitii TZ tu kwa sababu ya gharama nafuu ya usafirishaji pekee ila pia kwa sababu Namanga hakuna scanner. Sasa bora wakubali kulipa ushuru mimi sina shida wakipitia Namanga. Halafu hatujui ni wafanyibiashara wangapi wameamua kupitia Namanga. Kwa hivyo hatuwezi kuconclude kuwa Wafanyibiashara wengi wanatoroka SGR. Tungoje tupate data Wakenya wangapi wanatumia Namanga. Mombasa port 2019 ilipitisha 1.4 million TEUs. Kwa hivyo hao wachache wanaopitia Namanga hawaaffect sana mizigo za Mombasa kwa sababu idadi ya mizigo zinazopitia Mombasa kila mwaka inazidi kuongezeka.


Kenya's port of Mombasa to handle 1.4 million TEUs in 2019 - Xinhua | English.news.cn
 
Kwa bahati yako mbaya sana nchi pekee niliyotembelea hapa Afrika nje ya Kenya ni Ethiopia. Halafu nilienda road trip. Ilikuwa mwaka wa 2017. Sikuwa nataka kupanda ndege ila nilikuwa nataka kuchukua wiki moja nikisafiri kwa barabara to and fro ili kujionea northern Kenya kunakaa vipi na Ethiopia kunakaa vipi. Nilijifunza mengi. Sasa si kweli hata kidogo kuwa hakuna lami upande wa Ethiopia. Lami ipo 90% ya safari yote kutoka Moyale kupitia Hawassa hadi Addis Ababa. Zaidi ya 90% ya barabara niliyopitia ilikuwa lami upande wa Ethiopia. Sasa huwezi kupingana na life experience yangu. Ukitaka unaweza kunipinga kwa kuleta recent report au evidence kuonyesha kuwa Moyale to Addis haina lami kwa asilimia 90%. Ukifanya hivyo nitaomba msamaha.
Upande wa Ethiopia hakuna lami na hakuna mategemeo kama watajenga ndani ya miaka kumi ijayo kutokana na ukweli kwamba usalama katika Eneo hilo sio mzuri na hakuna shughuli nyingi za kiuchumi, kwahiyo hiyo barabara kama mumejenga ni kwa ajili ya natumizi yenu ya ndani, sahau kuhusu Ethiopia.

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom