SGR ya Tanzania ni "Suez Canal "ya Afrika Mashariki na Kati

SGR ya Tanzania ni "Suez Canal "ya Afrika Mashariki na Kati

U r forcing local transporters but those from Uganda u can't a reason u backed off from a mandatory transfer of cargo to Naivasha! This among the reasons why they opt for Dar port!
Ni kweli local transporters wanaumia, for the sake of saving SGR. Serikali inafanya juu chini ili SGR isiwe white elephant, sawa Geza?
 
Ni kweli local transporters wanaumia, for the sake of saving SGR. Serikali inafanya juu chini ili SGR isiwe white elephant, sawa Geza?
Sasa hiyo ni biashara gani kulazimisha watu?, Matokeo yake watatumia bandari ya Dar/Tanga, na kutumia reli hadi Arusha

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
By 2025 it will be over, this one is the most difficult part because it goes through city. Phase two is 50% complete.

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Hio 2025 ni projections tu ila mradi kama haujengwi na Wachina lazima ikawie kupita deadline. Hawa waturuki walistahili kumaliza phase 1 mwaka uliopita na sasa 2020 inakaribia kukamilika bila mradi kukamilika. Kwa hivyo usishangae hio 2025 ikibadilika na kuwa 2027.
 
This is phase 1, only 200 km. How many years will it take for all the railway to Uganda border to be built? 10 years? Hahaha
r u trying to play ignorant of the fact the 422 km phase II is concurrent being built n is over 42%? Wacha desperation mzee! i will let u know when third phase is launched on 25th November!

 
Hio 2025 ni projections tu ila mradi kama haujengwi na Wachina lazima ikawie kupita deadline. Hawa waturuki walistahili kumaliza phase 1 mwaka uliopita na sasa 2020 inakaribia kukamilika bila mradi kukamilika. Kwa hivyo usishangae hio 2025 ikibadilika na kuwa 2027.
Hata ikiwa 2027 sio mbaya, kumbuka huu ni mradi mkubwa sana kwa Afrika, hakuna reli ndefu hapa Afrika kuzidi hii kwasasa, kujenga reli ya umeme yenye urefu zaidi ya 1,5007Km, kwa muda wa miaka kumi ni kitu cha kujivunia sana.

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
Mbona tayari wameanza kutumia na wanaikimbia Mombasa ili kukwepa ushuru


Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app

Huu ni ukora na unafanywa na watu wachache. Kila nchi ina wakora ila mfanyibiashara wa kawaida hawezi kutumia Dar ambayo iko south of Mombasa. Haimake sense mzigo unatoka China kisha inaenda Dar ili irudi tena juu hadi Kenya. Hio ni long distance na mzunguko wa kipuuzi na expensive. Short route ni kuingia Mombasa badala ya kuenda chini hadi Dar au Tanga halafu kupanda tena.
 
Hio 2025 ni projections tu ila mradi kama haujengwi na Wachina lazima ikawie kupita deadline. Hawa waturuki walistahili kumaliza phase 1 mwaka uliopita na sasa 2020 inakaribia kukamilika bila mradi kukamilika. Kwa hivyo usishangae hio 2025 ikibadilika na kuwa 2027.
lets make it 2030! si mbaya pia! MGR n Uganda's pipeline will carry the onslaught torch on Kenya's share of Uganda's cargo!

Happy?
 
Huu ni ukora na unafanywa na watu wachache. Kila nchi ina wakora ila mfanyibiashara wa kawaida hawezi kutumia Dar ambayo iko south of Mombasa. Haimake sense mzigo unatoka China kisha inaenda Dar ili irudi tena juu hadi Kenya. Hio ni long distance na mzunguko wa kipuuzi na expensive. Short route ni kuingia Mombasa badala ya kuenda chini hadi Dar au Tanga halafu kupanda tena.
Mfanyabiashara kitu anachoangalia ni kupata faida kubwa hata kama ni kutumia port of Capetown, hivi unadhani kwanini watanzania wanatumia bandari ya Nombala?, Ukipiga Hesabu vizuri ukiona ukipitishia Mombasa inalipa kuliko Dar, lazima utatumia Mombasa.

Kama gharama za kusafirisha cargo kutoka Mombasa hadi Nairobi kwa kutumia SGR ni ghali kuliko kutumia MGR ya Tanga Arusha, lazima watatumia bandari ya Tanga/Dar.

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
Mfanyabiashara kitu anachoangalia ni kupata faida kubwa hata kama ni kutumia port of Capetown, hivi unadhani kwanini watanzania wanatumia bandari ya Nombala?, Ukipiga Hesabu vizuri ukiona ukipitishia Mombasa inalipa kuliko Dar, lazima utatumia Mombasa.

Kama gharama za kusafirisha cargo kutoka Mombasa hadi Nairobi kwa kutumia SGR ni ghali kuliko kutumia MGR ya Tanga Arusha, lazima watatumia bandari ya Tanga/Dar.

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Hebu tazama hio video tena. Hawa wafanyibiashara wakora hawatoroki Mombasa port kwa sababu ya bei ghali. La, hasha. Wanatoroka kwa sababu Mombasa port imeinstall scanner ya kichawi inayoweza kutazama hadi ndani ya container na kubaini ni mzigo gani mfanyibiashara amebeba. Kwa mfano,
mfanyibiashara mkora wa Kenya ambaye hataki kulipa ushuru anaamua kuimport magari high-end kama vile Range Rover sport na kuitia ndani ya container na kuideclare kama nguo. Sasa yeye anajaza makaratasi kuwa ameimport nguo kutoka Dubai kumbe ameimport magari. Sasa scanner ya Mombasa ni balaa aisee, inaona kila kitu kilicho ndani ya container kwa hivyo inawabidi wapitie huko kwenu kwa sababu nyie hamna scanner matata kama hii halafu wanapitia Namanga border kwa sababu hii border pia haina scanner kama hii. Kisha wanahonga watu wa KRA ili watie saini kuwa ni kweli huyu mkora kaimport nguo. Wakenya wachache sana wanafanya huu ukora na hawa wachache wakipatikana watatiwa mbaroni. Maafisa wa KRA huwa wanatiwa mbaroni kila wakati kwa kushiriki na wafanyibiashara wakora kuilaghai serikali ya Kenya.
 
Hata ikiwa 2027 sio mbaya, kumbuka huu ni mradi mkubwa sana kwa Afrika, hakuna reli ndefu hapa Afrika kuzidi hii kwasasa, kujenga reli ya umeme yenye urefu zaidi ya 1,5007Km, kwa muda wa miaka kumi ni kitu cha kujivunia sana.

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Si wewe ndio ulikuwa unasema kuwa 2025 tutakuwa tunashare mizigo za Uganda 50:50? Au sio wewe?
 
Hebu tazama hio video tena. Hawa wafanyibiashara wakora hawatoroki Mombasa port kwa sababu ya bei ghali. La, hasha. Wanatoroka kwa sababu Mombasa port imeinstall scanner ya kichawi inayoweza kutazama hadi ndani ya container na kubaini ni mzigo gani mfanyibiashara amebeba. Kwa mfano,
mfanyibiashara mkora wa Kenya ambaye hataki kulipa ushuru anaamua kuimport magari high-end kama vile Range Rover sport na kuitia ndani ya container na kuideclare kama nguo. Sasa yeye anajaza makaratasi kuwa ameimport nguo kutoka Dubai kumbe ameimport magari. Sasa scanner ya Mombasa ni balaa aisee, inaona kila kitu kilicho ndani ya container kwa hivyo inawabidi wapitie huko kwenu kwa sababu nyie hamna scanner matata kama hii halafu wanapitia Namanga border kwa sababu hii border pia haina scanner kama hii. Kisha wanahonga watu wa KRA ili watie saini kuwa ni kweli huyu mkora kaimport nguo. Wakenya wachache sana wanafanya huu ukora na hawa wachache wakipatikana watatiwa mbaroni. Maafisa wa KRA huwa wanatiwa mbaroni kila wakati kwa kushiriki na wafanyibiashara wakora kuilaghai serikali ya Kenya.
Kwanza kitu cha kwanza unapaswa kujua na kukubali ni kwamba Dar port ina the most modern and higher technology, kuliko Mombasa port, ushahidi ukitaka nitakuwekea.

Pili ni kwamba, lengo lao ni kuhakikisha kwamba mzigo ukifika Nairobi uwe umegharimu pesa kidogo kadri iwezekanavyo, iwe ni bandarini au kwenye SGR, popote pale panapoongeza gharama ya kufanya biashara kuwa kubwa, watatafuta njia ili kukwepa.


Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom