Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 65,136
- 91,917
tumekupa bonus 2030!Si wewe ndio ulikuwa unasema kuwa 2025 tutakuwa tunashare mizigo za Uganda 50:50? Au sio wewe?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tumekupa bonus 2030!Si wewe ndio ulikuwa unasema kuwa 2025 tutakuwa tunashare mizigo za Uganda 50:50? Au sio wewe?
Sasa hivi itakua lahisi kuwanyang'anya Kwa kua mazingira ya miundo mbinu itakuwa inashawishi mfanya biashara wa Uganda kufikirua upande wa pili tofauti na miaka ya nyuma alikua hana chaguoHata 2007 wakati mizigo za Uganda zilisimama kwa sababu ya post election violence nyie mlishindwa kutunyang'anya sasa 2022 ndio mtaweza? Halafu sio lazima vita itokee wakati wa uchaguzi. Lakini mkiweza kutunyang'anya pia ni sawa
Tony254 kuna wakati unapoteza Network kichwani, nani amekuambia hiyo 50/50 inategemea SGR?, soma tena hii.Si wewe ndio ulikuwa unasema kuwa 2025 tutakuwa tunashare mizigo za Uganda 50:50? Au sio wewe?
Tony254 kuna wakati unapoteza Network kichwani, nani amekuambia hiyo 50/50 inategemea SGR?, soma tena hii.
Dar Port, Mombasa competition heats up" kwenye post #106 hapo juu.
SGR ikikamilka tegemea 80/20.
Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Sasa tunabishana na video imesema wazi sababu ya wafanyibiashara wakora kukwepa Mombasa? Anyway wacha tusibishane zaidi ya hapo.Kwanza kitu cha kwanza unapaswa kujua na kukubali ni kwamba Dar port ina the most modern and higher technology, kuliko Mombasa port, ushahidi ukitaka nitakuwekea.
Pili ni kwamba, lengo lao ni kuhakikisha kwamba mzigo ukifika Nairobi uwe umegharimu pesa kidogo kadri iwezekanavyo, iwe ni bandarini au kwenye SGR, popote pale panapoongeza gharama ya kufanya biashara kuwa kubwa, watatafuta njia ili kukwepa.
Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Halafu ni wafanyabiashara wachache sana wanafanya huu ukora. Anyway let us agree to disagree.Kwanza kitu cha kwanza unapaswa kujua na kukubali ni kwamba Dar port ina the most modern and higher technology, kuliko Mombasa port, ushahidi ukitaka nitakuwekea.
Pili ni kwamba, lengo lao ni kuhakikisha kwamba mzigo ukifika Nairobi uwe umegharimu pesa kidogo kadri iwezekanavyo, iwe ni bandarini au kwenye SGR, popote pale panapoongeza gharama ya kufanya biashara kuwa kubwa, watatafuta njia ili kukwepa.
Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
tumekupa bonus 2030!
Ngojea hadi 2030.Sasa hivi itakua lahisi kuwanyang'anya Kwa kua mazingira ya miundo mbinu itakuwa inashawishi mfanya biashara wa Uganda kufikirua upande wa pili tofauti na miaka ya nyuma alikua hana chaguo
Rest be assured SGR Kenya will have not reached Malaba!Hahaha 2030 iko sawa. Asante
Shida moja ninayoiona ni kwamba unakosa kuelewa concepts nzima ya kufanya biashara.Halafu ni wafanyabiashara wachache sana wanafanya huu ukora. Anyway let us agree to disagree.
Don't be so sure.Rest be assured SGR Kenya will have not reached Malaba!
Don't be so sure.
Ni wapi kwenye hio video wamesema eti ni cheaper kutumia Dar to Nairobi? Nipee time-stamp. Hio ni video ya dakika tatu, niambie ni dakika ya ngapi au sekunde ya ngapi katika hio video ripota amesema kuwa wafanyabiashara wanafanya hivyo kwa sababu njia ya Dar ni cheaper?Shida moja ninayoiona ni kwamba unakosa kuelewa concepts nzima ya kufanya biashara.
Hiyo video lengo ni kukuonyesha kwamba, wafanyabiashara wapo tayari kutumia njia yoyote ambayo kwao itawapunguzia gharama za kufanya biashara.
Kama gharama za SGR hadi Nairobi itakua ni kubwa kuliko kupitishia Dar port, kwanini waditumie Dar to Nairobi?
Hata kama ni wewe ndiye mwenye mzigo, kama Dar to Nairobi ni cheaper kuliko Mombasa Nairobi, utaacha kupitishia Dar?
Hiyo ndio sababu ya hizi nchi mbili kuwekeza pesa nyingi sana katika kuboresha bandari na kujenga reli ili kupunguza gharama za biashara na kuvutia wateja wengi zaidi.
Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
In 10 years we will have paid the Chinese debt.Going from experiences of LAPSSET and Konza tech city that have taken over 10 years uncompleted, forget about GoK raising money from ur budget, then who will lend u money?
Lamu and Konza started around 2012 or 2013.Going from experiences of LAPSSET and Konza tech city that have taken over 10 years uncompleted, forget about GoK raising money from ur budget, then who will lend u money?
2030 mbali sana ikishaisha sgr dar to mwanza tu athari zake mutakua munaanza kuziona sio 2030Ngojea hadi 2030.
I am pretty sure by 2022 itakuwa haijaisha!Lamu and Konza started around 2012 or 2013.
Kama unataka TZ iipite Kenya then omba Mungu 2022 sisi tupate rais asiyependa mendeleo kama Moi. Moi hakujenga barabara sana wala reli wala nini. Alikuwa umbwa tu.Rest be assured SGR Kenya will have not reached Malaba!